< Vahiy 1 >

1 İsa Mesih'in vahyidir. Tanrı yakın zamanda olması gereken olayları kullarına göstermesi için O'na bu vahyi verdi. O da gönderdiği meleği aracılığıyla bunu kulu Yuhanna'ya iletti.
Hizi ni habari za mambo ambayo yalifunuliwa na Yesu Kristo. Mungu alimpa Kristo ufunuo huu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo yanapaswa kutukia karibuni. Kristo alimtuma malaika wake amjulishe Yohane, mtumishi wake, mambo hayo,
2 Yuhanna, Tanrı'nın sözüne ve İsa Mesih'in tanıklığına –gördüğü her şeye– tanıklık etmektedir.
naye Yohane, ameyasema yote aliyoyaona. Na hii ndio taarifa yake kuhusu ujumbe wa Mungu na ukweli uliofunuliwa na Yesu Kristo.
3 Bu peygamberlik sözlerini okuyana, burada yazılanları dinleyip yerine getirene ne mutlu! Çünkü beklenen zaman yakındır.
Heri yake mtu anayesoma kitabu hiki; heri yao wale wanaosikiliza maneno ya ujumbe huu wa kinabii na kushika yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia ambapo mambo haya yatatukia.
4 Ben Yuhanna'dan, Asya İli'ndeki yedi kiliseye selam! Var olan, var olmuş ve gelecek olandan, O'nun tahtının önünde bulunan yedi ruhtan
Mimi Yohane nayaandikia makanisa yaliyoko mkoani Asia. Nawatakieni neema na amani kutoka kwake yeye aliyeko, aliyekuwako na anayekuja; na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
5 ve ölüler arasından ilk doğan, dünya krallarına egemen olan güvenilir tanık İsa Mesih'ten sizlere lütuf ve esenlik olsun.
na kutoka kwa Yesu Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. Yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu,
6 Yücelik ve güç sonsuzlara dek, bizi seven, kanıyla bizi günahlarımızdan özgür kılmış ve bizi bir krallık haline getirip Babası Tanrı'nın hizmetinde kâhinler yapmış olan Mesih'in olsun! Amin. (aiōn g165)
akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina. (aiōn g165)
7 İşte bulutlarla geliyor! Her göz O'nu görecek, O'nun bedenini deşmiş olanlar bile. O'nun için dövünecek yeryüzünün bütün halkları. Evet, böyle olacak! Amin.
Tazama! Anakuja katika mawingu! Kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. Makabila yote duniani yataomboleza juu yake. Naam! Amina.
8 Var olan, var olmuş ve gelecek olan, Her Şeye Gücü Yeten Rab Tanrı, “Alfa ve Omega Ben'im” diyor.
“Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu Mwenye Uwezo, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja.
9 İsa'ya ait biri olarak sıkıntıda, tanrısal egemenlikte ve sabırda ortağınız ve kardeşiniz olan ben Yuhanna, Tanrı'nın sözü ve İsa'ya tanıklık uğruna Patmos denilen adada bulunuyordum.
Mimi ni Yohane, ndugu yenu; na kwa kuungana na Kristo nashiriki pamoja nanyi katika kustahimili mateso yanayowapata wale walio wa Utawala wake. Mimi nilikuwa kisiwani Patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe wa Mungu na ukweli wa Yesu.
10 Rab'bin gününde Ruh'un etkisinde kalarak arkamda borazan sesine benzer yüksek bir ses işittim.
Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa na Roho, nikasikia nyuma yangu sauti kubwa kama sauti ya tarumbeta.
11 Ses, “Gördüklerini kitaba yaz ve yedi kiliseye, yani Efes, İzmir, Bergama, Tiyatira, Sart, Filadelfya ve Laodikya'ya gönder” dedi.
Nayo ilisema, “Andika katika kitabu yote unayoyaona, ukipeleke kwa makanisa haya saba: Efeso, Smurna, Pergamoni, Thuatira, Sarde, Filadelfia na Laodikea.”
12 Bana sesleneni görmek için arkama döndüm. Döndüğümde yedi altın kandillik ve bunların ortasında, giysileri ayağına kadar uzanan, göğsüne altın kuşak sarınmış, insanoğluna benzer birini gördüm.
Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu,
na katikati yake kulikuwa na kitu kama mtu, naye alikuwa amevaa kanzu ndefu na ukanda wa dhahabu kifuani.
14 Başı, saçı ak yapağı gibi beyaz, kar gibi bembeyazdı. Gözleri alev alev yanan ateşti sanki.
Nywele zake zilikuwa nyeupe kama pamba safi, kama theluji; macho yake yalimetameta kama moto;
15 Ayakları, ocakta kor haline gelmiş parlak tunca benziyordu. Sesi, gürül gürül akan suların sesi gibiydi.
miguu yake iling'aa kama shaba iliyosafishwa katika tanuru ya moto na kusuguliwa, na sauti yake ilikuwa, kama sauti ya poromoko la maji.
16 Sağ elinde yedi yıldız vardı. Ağzından iki ağızlı keskin bir kılıç uzanıyordu. Yüzü bütün gücüyle parlayan güneş gibiydi.
Katika mkono wake wa kulia, alikuwa na nyota saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili. Uso wake uling'aa kama jua kali.
17 O'nu görünce, ölü gibi ayaklarının dibine yığıldım. O ise sağ elini üzerime koyup şöyle dedi: “Korkma! İlk ve son Ben'im.
Basi, nilipomwona tu, nilianguka mbele ya miguu yake kama maiti. Lakini yeye akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akasema, “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.
18 Diri Olan Ben'im. Ölmüştüm, ama işte sonsuzluklar boyunca diriyim. Ölümün ve ölüler diyarının anahtarları bendedir. (aiōn g165, Hadēs g86)
Mimi ni yeye aliye hai! Nilikuwa nimekufa, lakini, tazama, sasa ni mzima milele na milele. Ninazo funguo za kifo na Kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
19 Bunun için gördüklerini, şimdi olanları ve bundan sonra olacakları yaz.
Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
20 Sağ elimde gördüğün yedi yıldızla yedi altın kandilliğin sırrına gelince, yedi yıldız yedi kilisenin melekleri, yedi kandillikse yedi kilisedir.”
Siri ya nyota zile saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na siri ya vile vinara saba vya taa hii: zile nyota saba ni malaika wa makanisa; na vile vinara saba vya taa ni makanisa saba.

< Vahiy 1 >