< Mezmurlar 96 >

1 Yeni bir ezgi söyleyin RAB'be! Ey bütün dünya, RAB'be ezgiler söyleyin!
Mwimbieni Bwana wimbo mpya; mwimbieni Bwana dunia yote.
2 Ezgi söyleyin, RAB'bin adını övün, Her gün duyurun kurtarışını!
Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
3 Görkemini uluslara, Harikalarını bütün halklara anlatın!
Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
4 Çünkü RAB uludur, yalnız O övgüye değer, İlahlardan çok O'ndan korkulur.
Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
5 Halkların bütün ilahları bir hiçtir, Oysa gökleri yaratan RAB'dir.
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
6 Yücelik, ululuk O'nun huzurundadır, Güç ve güzellik O'nun tapınağındadır.
Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
7 Ey bütün halklar, RAB'bi övün, RAB'bin gücünü, yüceliğini övün,
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8 RAB'bin görkemini adına yaraşır biçimde övün, Sunular getirip avlularına girin!
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
9 Kutsal giysiler içinde RAB'be tapının! Titreyin O'nun önünde, ey bütün yeryüzündekiler!
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
10 Uluslara, “RAB egemenlik sürüyor” deyin. Dünya sağlam kurulmuş, sarsılmaz. O halkları adaletle yargılar.
Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
11 Sevinsin gökler, coşsun yeryüzü! Gürlesin deniz içindekilerle birlikte!
Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
12 Bayram etsin kırlar ve üzerindekiler! O zaman RAB'bin önünde bütün orman ağaçları Sevinçle haykıracak. Çünkü O geliyor! Yeryüzünü yargılamaya geliyor. Dünyayı adaletle, Halkları kendi gerçeğiyle yönetecek.
mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.

< Mezmurlar 96 >