< Mezmurlar 63 >

1 Yahuda kırlarında bulunduğu zaman - Davut'un mezmuru Ey Tanrı, sensin benim Tanrım, Seni çok özlüyorum, Canım sana susamış, Kurak, yorucu, susuz bir diyarda, Bütün varlığımla seni arıyorum.
Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda. Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, nakutafuta kwa moyo wote; nafsi yangu inakuonea kiu, mwili wangu unakuonea wewe shauku, katika nchi kame na iliyochoka mahali ambapo hapana maji.
2 Kutsal yerde baktım sana, Gücünü, görkemini görmek için.
Nimekuona katika mahali patakatifu na kuuona uwezo wako na utukufu wako.
3 Senin sevgin yaşamdan iyidir, Bu yüzden dudaklarım seni yüceltir.
Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakuadhimisha.
4 Ömrümce sana övgüler sunacağım, Senin adınla ellerimi kaldıracağım.
Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.
5 Zengin yiyeceklere doyarcasına doyacağım sana, Şakıyan dudaklarla ağzım sana övgüler sunacak.
Nafsi yangu itatoshelezwa kama kwa wingi wa vyakula; kwa midomo iimbayo kinywa changu kitakusifu wewe.
6 Yatağıma uzanınca seni anarım, Gece boyunca derin derin seni düşünürüm.
Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe, ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.
7 Çünkü sen bana yardımcı oldun, Kanatlarının gölgesinde sevincimi dile getiririm.
Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu, chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.
8 Canım sana sımsıkı sarılır, Sağ elin bana destek olur.
Nafsi yangu inaambatana nawe, mkono wako wa kuume hunishika.
9 Ama canımı almak isteyenler, Yerin derinliklerine inecek,
Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa, watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.
10 Kılıcın ağzına atılacak, Çakallara yem olacak.
Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Kralsa Tanrı'da sevinç bulacak. Tanrı'nın adıyla ant içenlerin hepsi övünecek, Yalancıların ağzıysa kapanacak.
Bali mfalme atafurahi katika Mungu, wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu, bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.

< Mezmurlar 63 >