< Mezmurlar 26 >

1 Davut'un mezmuru Beni haklı çıkar, ya RAB, Çünkü dürüst bir yaşam sürdüm; Sarsılmadan RAB'be güvendim.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
2 Dene beni, ya RAB, sına; Duygularımı, düşüncelerimi yokla.
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
3 Çünkü sevgini hep göz önünde tutuyor, Senin gerçeğini yaşıyorum ben.
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 Yalancılarla oturmam, İkiyüzlülerin suyuna gitmem.
Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
5 Kötülük yapanlar topluluğundan nefret ederim, Fesatçıların arasına girmem.
ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
6 Suçsuzluğumu göstermek için ellerimi yıkar, Sunağının çevresinde dönerim, ya RAB,
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 Yüksek sesle şükranımı duyurmak Ve bütün harikalarını anlatmak için.
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
8 Severim, ya RAB, yaşadığın evi, Görkeminin bulunduğu yeri.
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
9 Günahkârların, Eli kanlı adamların yanısıra canımı alma.
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10 Onların elleri kötülük aletidir, Sağ elleri rüşvet doludur.
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
11 Ama ben dürüst yaşarım, Kurtar beni, lütfet bana!
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12 Ayağım emin yerde duruyor. Topluluk içinde sana övgüler sunacağım, ya RAB.
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.

< Mezmurlar 26 >