< Mezmurlar 19 >

1 Müzik şefi için - Davut'un mezmuru Gökler Tanrı'nın görkemini açıklamakta, Gökkubbe ellerinin eserini duyurmakta.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
2 Gün güne söz söyler, Gece geceye bilgi verir.
Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
3 Ne söz geçer orada, ne de konuşma, Sesleri duyulmaz.
Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
4 Ama sesleri yeryüzünü dolaşır, Sözleri dünyanın dört bucağına ulaşır. Güneş için göklerde çadır kurdu Tanrı.
Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
5 Gerdekten çıkan güveye benzer güneş, Koşuya çıkacak atlet gibi sevinir.
linafanana na bwana arusi akitoka chumbani mwake, kama shujaa afurahiavyo kukamilisha kushindana kwake.
6 Göğün bir ucundan çıkar, Öbür ucuna döner, Hiçbir şey gizlenmez sıcaklığından.
Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake.
7 RAB'bin yasası yetkindir, cana can katar, RAB'bin buyrukları güvenilirdir, Saf adama bilgelik verir,
Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
8 RAB'bin kuralları doğrudur, yüreği sevindirir, RAB'bin buyrukları arıdır, gözleri aydınlatır.
Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
9 RAB korkusu paktır, sonsuza dek kalır, RAB'bin ilkeleri gerçek, tamamen adildir.
Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
10 Onlara altından, bol miktarda saf altından çok istek duyulur, Onlar baldan, süzme petek balından tatlıdır.
Ni za thamani kuliko dhahabu, kuliko dhahabu iliyo safi sana, ni tamu kuliko asali, kuliko asali kutoka kwenye sega.
11 Uyarırlar kulunu, Onlara uyanların ödülü büyüktür.
Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
12 Kim yanlışlarını görebilir? Bağışla göremediğim kusurlarımı,
Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
13 Bilerek işlenen günahlardan koru kulunu, İzin verme bana egemen olmalarına! O zaman büyük isyandan uzak, Kusursuz olurum.
Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
14 Ağzımdan çıkan sözler, Yüreğimdeki düşünceler, Kabul görsün senin önünde, Ya RAB, kayam, kurtarıcım benim!
Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu na Mkombozi wangu.

< Mezmurlar 19 >