< Mezmurlar 129 >

1 Hac ilahisi Gençliğimden beri bana sık sık saldırdılar; Şimdi söylesin İsrail:
Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
2 “Gençliğimden beri bana sık sık saldırdılar, Ama yenemediler beni.
wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
3 Çiftçiler saban sürdüler sırtımda, Upuzun iz bıraktılar.”
Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
4 Ama RAB adildir, Kesti kötülerin bağlarını.
Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
5 Siyon'dan nefret eden herkes Utanç içinde geri çekilsin.
Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
6 Damlardaki ota, Büyümeden kuruyan ota dönsünler.
Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
7 Orakçı avucunu, Demetçi kucağını dolduramaz onunla.
kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
8 Yoldan geçenler de, “RAB sizi kutsasın, RAB'bin adıyla sizi kutsarız” demezler.
Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”

< Mezmurlar 129 >