< Nehemya 10 >

1 Antlaşmayı mühürleyenler şunlardı: Hakalya oğlu Vali Nehemya ve Sidkiya.
Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
2 Kâhinler: Seraya, Azarya, Yeremya,
Seraya, Azaria, Yeremia,
3 Paşhur, Amarya, Malkiya,
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4 Hattuş, Şevanya, Malluk,
Hatushi, Shebania, Maluki,
5 Harim, Meremot, Ovadya,
Harimu, Meremothi, Obadia,
6 Daniel, Ginneton, Baruk,
Danieli, Ginethoni, Baruku,
7 Meşullam, Aviya, Miyamin,
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8 Maazya, Bilgay, Şemaya.
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
9 Levililer: Azanya oğlu Yeşu, Henadat oğullarından Binnuy, Kadmiel;
Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
10 arkadaşları Şevanya, Hodiya, Kelita, Pelaya, Hanan,
na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
11 Mika, Rehov, Haşavya,
Mika, Rehobu, Hashabia,
12 Zakkur, Şerevya, Şevanya,
Zakuri, Sherebia, Shebania,
13 Hodiya, Bani, Beninu.
Hodia, Bani na Beninu.
14 Halk önderleri: Paroş, Pahat-Moav, Elam, Zattu, Bani,
Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
15 Bunni, Azgat, Bevay,
Buni, Azgadi, Bebai,
16 Adoniya, Bigvay, Adin,
Adoniya, Bigwai, Adini,
17 Ater, Hizkiya, Azzur,
Ateri, Hezekia, Azuri,
18 Hodiya, Haşum, Besay,
Hodia, Hashumu, Besai,
19 Harif, Anatot, Nevay,
Harifu, Anathothi, Nebai,
20 Magpiaş, Meşullam, Hezir,
Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
21 Meşezavel, Sadok, Yaddua,
Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
22 Pelatya, Hanan, Anaya,
Pelatia, Hanani, Anaya,
23 Hoşea, Hananya, Haşşuv,
Hoshea, Hanania, Hashubu,
24 Halloheş, Pilha, Şovek,
Haloheshi, Pilha, Shobeki,
25 Rehum, Haşavna, Maaseya,
Rehumu, Hashabna, Maaseya,
26 Ahiya, Hanan, Anan,
Ahiya, Hanani, Anani,
27 Malluk, Harim, Baana.
Maluki, Harimu na Baana.
28 “Halkın geri kalanı, kâhinler, Levililer, tapınak görevlileri ve kapı nöbetçileri, ezgiciler, Tanrı'nın Yasası uğruna çevre halklardan ayrılmış olan herkes, karıları ve anlayıp kavrayacak yaştaki oğullarıyla, kızlarıyla birlikte
“Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
29 soylu kardeşlerine katıldılar. Tanrı'nın, kulu Musa aracılığıyla verdiği yasaya göre yaşamak, Egemenimiz RAB'bin bütün buyruklarına, ilkelerine, kurallarına uymak üzere ant içtiler, uymayacaklara lanet okudular.
basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
30 “Çevremizdeki halklara kız verip kız almayacağız.
“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
31 “Çevre halklardan Şabat Günü ya da kutsal bir gün eşya veya tahıl satmak isteyen olursa almayacağız. Yedi yılda bir toprağı sürmeyeceğiz ve bütün alacaklarımızı sileceğiz.
“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
32 “Tanrımız'ın Tapınağı'nın giderlerini karşılamak üzere hepimiz sorumluluk alıyoruz. Her yıl şekelin üçte birini vereceğiz. Bu para adak ekmekleri, günlük tahıl sunusu ve yakmalık sunular, Şabat günleri, Yeni Aylar ve öbür bayramlarda sunulan kurbanlar, kutsal sunular, İsrail'in günahlarını bağışlatacak sunular ve Tanrımız'ın Tapınağı'nın öteki işleri için harcanacak.
“Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
34 “Kâhinler, Levililer ve halk hep birlikte kura çektik. Aileler her yıl Kutsal Yasa'ya uygun olarak Tanrımız RAB'bin sunağında yakılmak üzere belirli zamanlarda odun getirecek.
“Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
35 “Ayrıca her yıl toprağımızın ve meyve ağaçlarımızın ilk ürününü RAB'bin Tapınağı'na götüreceğiz.
“Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
36 “Yasaya uygun olarak, ilk doğan oğullarımızı, hayvanlarımızı, ilk doğan sığırlarımızı ve davarlarımızı Tanrımız'ın Tapınağı'na, tapınakta hizmet eden kâhinlere götüreceğiz.
“Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
37 “Hamurlu yiyeceklerimizin, kaldırdığımız ürünlerin, bütün ağaçlarımızın meyvelerinin, yeni şarabımızın, zeytinyağımızın ilkini Tanrımız'ın Tapınağı'nın depolarına getirip kâhinlere vereceğiz. Toprağımızın ondalığını Levililer'e vereceğiz, çünkü çalıştığımız bütün kentlerde ondalıkları onlar topluyor.
“Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
38 Levililer ondalıkları toplarken Harun soyundan bir kâhin yanlarında bulunacak. Levililer topladıkları ondalığın onda birini Tanrımız'ın Tapınağı'ndaki depolara, hazine odalarına bırakacak.
Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
39 İsrail halkıyla Levililer, buğdaydan, yeni şaraptan, zeytinyağından verilen armağanları, tapınak eşyalarının, kâhinlerin, tapınak kapı nöbetçilerinin ve ezgicilerin bulunduğu odalara koyacaklar. “Artık Tanrımız'ın Tapınağı'nı göz ardı etmeyeceğiz.”
Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”

< Nehemya 10 >