< Levililer 25 >

1 RAB Sina Dağı'nda Musa'ya şöyle dedi:
Yahweh akazungumza na Musa kwenye Mlima wa Sinai, akisema,
2 “İsrail halkına de ki, ‘Size vereceğim ülkeye girdiğiniz zaman, ülke RAB için Şabat'ı kutlamalı.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
3 Altı yıl tarlanı ekeceksin, bağını budayacaksın, ürününü toplayacaksın.
Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
4 Ama yedinci yıl toprak dinlenecek. O yıl Şabat Yılı olacak, RAB'be adanacak. Tarlanı ekmemeli, bağını budamamalısın.
Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
5 Hasadının ardından süreni biçmeyecek, budanmamış asmanın üzümlerini toplamayacaksın. O yıl ülke için dinlenme yılı olacak.
Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
6 Şabat Yılı'nda ülke ne ürün verirse, sizin için, köleleriniz, cariyeleriniz, yanınızda çalışan ücretliler ve aranızda yaşayan yabancılar için yiyecek olacak.
Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
7 Ülkede yetişen ürünler kendi hayvanlarınızı da yabanıl hayvanları da doyuracak.’”
Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
8 “‘Yedi yılda bir kutlanan Şabat yıllarının yedi kez geçmesini bekleyin. Yedi kez geçecek Şabat yıllarının toplamı kırk dokuz yıldır.
Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
9 Sonra, yedinci ayın onuncu günü, yani günahları bağışlatma günü, bütün ülkede yüksek sesle boru çalınacak.
Kisha mtapiga sauti ya tarumbeta kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho ni lazima mtapiga tarumbeta katika nchi yenu yote.
10 Ellinci yılı kutsal sayacak, bütün ülke halkı için özgürlük ilan edeceksiniz. O yıl sizin için özgürlük yılı olacak. Herkes kendi toprağına, ailesine dönecek.
Nanyi mtautenga mwaka wa hamsini kwa ajili ya Yahweh na mtatangaza uhuru katika nchi yote kwa wakazi wote. Kutakuwa na Yubile kwa ajili yenu, ambayo kwayo mali na watumwa ni lazima warejeshwe kwa familia zao.
11 Ellinci yıl sizin için özgürlük yılı olacak. O yıl ekmeyecek, ürünün ardından süreni biçmeyecek, budanmamış asmanın üzümlerini toplamayacaksınız.
Mwaka wa saba kutakuwa na Yubile kwenu. Hamtapanda wala kusimamia mavuno ya kijioteshacho chenyewe, na kukusanya kichipukacho kwenye mizabibu isiyokatiwa matawi.
12 Çünkü o yıl özgürlük yılıdır. Sizin için kutsaldır. Yalnız tarlalarda kendiliğinden yetişeni yiyebilirsiniz.
Kwa sababu hiyo ni Yubile takatifu kwenu. Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani.
13 “‘Özgürlük yılında herkes kendi toprağına dönecek.
Ni lazima muwarejeshe kila mmoja kwenye miliki yake katika mwaka huu wa Yubile.
14 Bir komşuna tarla satar ya da ondan tarla alırsan, birbirinize haksızlık yapmayacaksınız.
Iwapo utauza ardhi yoyote ya jirani yako au kununua ardhi yake, ni shrti msipunjane au kutendeana kwa hila.
15 Eğer sen ondan alıyorsan, özgürlük yılından sonraki yılların sayısına göre ödeyeceksin, o da sana ürün yıllarının sayısına göre satacak.
Iwapo unanunua ardhi kutoka kwa jirani yako, zingatia idadi ya miaka na mazao ambayo yaweza kuvunwa mpaka mwaka wa Yubile nyingine. Jirani yako anayeuza ardhi ni lazima aihesabu miaka hiyo pia.
16 Yılların sayısı çoksa fiyatı artıracak, azsa indireceksin. Çünkü sana yıllık ürünlerini satıyor.
Miaka inapoongezeka mpaka Yubile nyingine, ataongeza thamani ya ardhi, na miaka inapokuwa michache kufikia Yubile nyingine atashusha thamani, kwa sababu idadi ya mavuno inahusiana na idadi ya miaka kabla ya Yubile nyingine.
17 Birbirinize haksızlık yapmayacak, Tanrınız'dan korkacaksınız. Tanrınız RAB benim.
Msipunjane au kutendeana kwa hila, badala yake, yawapasa kumheshi Yahweh Mungu wenu.
18 “‘Kurallarıma uyacak, ilkelerimi özenle yerine getireceksiniz. Böylece ülkede güvenlik içinde yaşayacaksınız.
Kwa hiyo basi, ni lazima muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza. Nanyi mtaishi katika nchi katika usalama.
19 Ülke de ürün verecek, sizi doyuracak ve orada güvenlik içinde oturacaksınız.
Nayo nchi itawapa mavuno yake, nanyi mtakula matunda yenu na mtaishi humo salama.
20 Toprağımızı ekmez, ürünümüzü toplamazsak, yedinci yıl ne yiyeceğiz? diye sorarsanız,
Labda mtasema, Tutakula nini katika mwaka wa saba? Tazama, hatuwezi kupanda wala kukusanya mazao yetu.”
21 altıncı yıl size öyle bir bereket göndereceğim ki, toprak üç yıllık ürün verecek.
Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mavuno ya kutosha kwa miaka mitatu.
22 Sekizinci yıl toprağınızı ekerken, dokuzuncu yıl ürün alıncaya kadar eski ürününüzü yiyeceksiniz.
Mtapanda katika mwaka wa nane na mtaendelea kula mazao ya miaka iliyopita na kutoka kwenye ghala la chakula. Mpaka mavuno ya mwaka wa tisa yatakapofika, mtaweza kula kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa katika miaka iliyopita
23 “‘Tarlanız temelli olarak satılamaz. Çünkü bana aittir. Sizse yabancısınız, konuğumsunuz.
Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, kwa sababu ardhi ni mali yangu. Ninyi nyote mu wageni na wakazi wa muda juu ya ardhi yangu.
24 Miras alacağınız ülkenin her yerinde tarlanın asıl sahibine tarlasını geri alma hakkı tanımalısınız.
Ni lazima muitunze haki ya ukombozi kwa ajili ya ardhi yote mtakayoimiliki; itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi kutoka kwao.
25 Kardeşlerinizden biri yoksullaşır, toprağının bir parçasını satmak zorunda kalırsa, en yakın akrabası gelip toprağı geri alabilir.
Iwapo Mwisraeli mwenzako anakuwa masikini na kwa sababu hiyo anauza baadhi ya miliki yake, kisha jamaa yake wa karibu anaweza kuja na kuikomboa hiyo miliki ambayo jamaa yake kaiuza kwako.
26 Toprağını satın alacak yakın bir akrabası yoksa, sonradan durumu düzelir, yeterli para bulursa,
Iwapo mtu hana jamaa wa kuikomboa mali yake, lakini ikiwa kafanikiwa na anao uwezo wa kuikomboa,
27 satış yaptıktan sonra geçen yılları hesaplayacak ve geri kalan parayı toprağını sattığı adama ödeyip toprağına dönecek.
kisha atahesabu miaka tangu ardhi hiyo ilipouzwa na kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia. Naye anaweza kuerejea kwenye miliki yake mwenyewe.
28 Ancak toprağını geri alacak parayı bulamazsa, toprak özgürlük yılına kadar onu satın alan adama ait olacak. O yıl toprağı elinden çıkaracak, satan adam da toprağına kavuşacak.
Lakini ikiwa hawezi kuirejesha kwake ardhi aliyoiuza, nayo hiyo ardhi aliyoiuza itabaki katika umiliki wa yule aliyeinunua mpaka mwaka wa Yubile. Kwenye mwaka wa Yubile, ardhi itarejeshwa kwa mtu aliyeiuza, naye mmiliki wa asili atarejea kwenye mali yake.
29 “‘Surlu bir kentte evini satan adamın evi sattıktan tam bir yıl sonrasına kadar onu geri alma hakkı olacaktır.
Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
30 Eğer bir yıl içinde evini geri almazsa, ev temelli olarak alıcıya geçecek, kuşaklar boyunca yeni sahibinin olacaktır. Özgürlük yılında ev yeni sahibinin elinden alınmayacaktır.
Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
31 Ama surlarla çevrilmemiş köylerdeki evler tarlalar gibi işlem görecektir. İlk sahibinin evi geri alma hakkı olacak, özgürlük yılında evi satın alan onu geri verecektir.
Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta kuzizunguuka, zitahesabiwa kuwa shamba la nchi. Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe katika mwaka wa Yubile.
32 “‘Ancak Levililer kendilerine ait kentlerde sattıkları evleri her zaman geri alma hakkına sahiptirler.
Hata hivyo, nyumba zinazomilikiwa na makuhani katika miji yao zaweza kukombelewa wakati wowote.
33 Eğer bir Levili bu kentlerde sattığı evi geri alamazsa, özgürlük yılında ev kendisine geri verilecektir. Çünkü Levililer'in kentlerindeki evler onların İsrail halkının arasındaki mülkleridir.
Iwapo mmoja wa makuhani haikombowi nyumba iliyozwa, kisha nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe katika mwaka wa Yubile, kwa kuwa nyumba za miji ya makuhani ni mali yao miongoni mwa watu wa Israeli.
34 Kentlerinin çevresindeki otlaklar ise satılamaz. Çünkü bunlar onların kalıcı mülküdür.
Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa kwa sababu hiyo ni mali ya kudumu ya Makuhani.
35 “‘Bir kardeşin yoksullaşır, muhtaç duruma düşerse, ona yardım etmelisin. Aranızda kalan bir yabancı ya da konuk gibi yaşayacak.
Ikiwa mwananchi mwenzako anakuwa masikini, kiasi kwamba hawezi kujihudumia, nawe utalazimika kumsaidia kama vile ungemsaidia mgeni au mwingine yeyote kutoka nje aishie miongoni mwenu.
36 Ondan faiz ve kâr alma. Tanrın'dan kork ki, kardeşin yanında yaşamını sürdürebilsin.
Usimtoze riba au kujaribu kunufaika kutoka kwake katika njia yoyote, bali mheshimu Mungu wako ili kwamba ndugu yako aendelee kuishi nawe.
37 Ona faizle para vermeyeceksin. Ödünç verdiğin yiyecekten kâr almayacaksın.
Hutampa mkopo wa fedha na kumtoza riba, wala hutamuuzia chakula chako ili kupata faida.
38 Ben Kenan ülkesini size vermek ve Tanrınız olmak için sizleri Mısır'dan çıkaran Tanrınız RAB'bim.
Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliye kuleta wewe kutoka nchi ya Misri, ili kwamba Nikupe nchi ya Kanaani, na kwamba niwe Mungu wako.
39 “‘Aranızda yaşayan bir kardeşin yoksullaşır, kendini köle olarak sana satarsa, onu bir köle gibi çalıştırmayacaksın.
Iwapo mwananchi mwenzako atakuwa masikini na kujiuza mwenyewe kwako, hutamfanyisha kazi kama mtumwa.
40 Yanında çalışan bir işçi ya da yabancı gibi davranacaksın ona. Özgürlük yılına dek yanında çalışacak.
Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. Ni lazima awe kama yule ahudumuye nawe kwa muda mpaka mwaka wa Yubile.
41 Sonra çocuklarıyla birlikte yanından ayrılıp ailesinin yanına, atalarının toprağına dönecek.
Kisha ataondoka kwako, yeye mwenyewe na watoto wake pamoja naye, na atarejea kwenye familia yake mwenyewe na kwenye miliki ya baba yake.
42 Çünkü İsrailliler benim Mısır'dan çıkardığım kullarımdır. Köle olarak satılamazlar.
Kwa sababu wao ni watumishi wangu niliowaleta kutoka katika nchi ya Misri. Hawatauzwa kama watumwa.
43 Ona efendilik etmeyecek, sert davranmayacaksın. Tanrın'dan korkacaksın.
Usitawale juu yao kwa ukatili, bali yakupasa kumheshimu Mungu wako.
44 “‘Köleleriniz, cariyeleriniz çevrenizdeki uluslardan olmalı. Onlardan uşak ve cariye satın alabilirsiniz.
Kwa upande wa watumwa wako wakiume na watumwa wako wa kike, unaowezao kuwapata kutok kwa mataifa yanayokuzunguka, waweza kununua watumwa kutoka kwao.
45 Ayrıca aranızda yaşayan yabancıların çocuklarını, ister ülkenizde doğmuş olsun ister olmasın, satın alıp onlara sahip olabilirsiniz.
Unaweza pia kununua watumwa kutoka kwa wageni wanaoishi miongoni mwenu, yaani, kutoka familia zao waliopamoja nawe, wale wtoto waliozaliwa katika nchi yako. Wanaweza kuwa mali yako.
46 Onları miras olarak çocuklarınıza bırakabilirsiniz. Yaşamları boyunca size kölelik edecekler. Ancak bir İsrailli kardeşine efendilik etmeyecek, sert davranmayacaksın.
Unaweza kuzalisha watumwa hao kama urithi kwa watoto wako baada yako, ili kuwamiliki kama mali. Kutoka kwao waweza kununua watumwa daima, lakini hamtawezi kutawala kwa ukali juu ya ndugu zenu walio miogoni mwa watu wa Israeli.
47 “‘Aranızda yaşayan bir yabancı ya da geçici olarak kalan biri zenginleşir, buna karşılık bir İsrailli kardeşin yoksullaşıp kendini ona ya da ailesinin bir bireyine köle olarak satarsa,
Iwapo mgeni anayeishi nawe kwa muda anakuwa tajiri, na ikiwa mmoja wa Waisraeli amekuwa masikini na kujuza mwenyewe kwa familia ya mgeni, au kwa mtu fulani katika familia,
48 satıldıktan sonra geri alınma hakkı vardır. Kardeşlerinden biri, amcası, amcasının oğlu veya yakın akrabalarından, ailesinden biri onu geri alabilir. Ya da yeterli para bulursa, kendisi özgürlüğünü geri alabilir.
baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa. Anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Iwapo anaweza kurejeshwa. Mtu fulani katika familia yake anaweza kumkomboa.
Anaweza kuwa mjomba wake, au mjomba wa mwanawe, anayemkomboa yeye, au yeyote aliye ndugu yake wa karibu kutoka kwa ukoo wake. Au, iwapo ni mwenye mafanikio, anaweza kujikomboa mwenyewe.
50 Efendisiyle hesap görmeli. Kendisini sattığı yıldan özgürlük yılına kadar geçen yılları sayacaklar. Özgürlüğünün bedeli, kalan yılların sayısına göre bir işçinin gündelik ücreti üzerinden hesap edilecektir.
Ni lazima apatane na mtu aliyemnunua, itawapasa kuhesabu miaka tangu mwaka aliojiuza kwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile. Ile thamani ya ukombozi wake ihesabiwe kulingana na kiwango cha mshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa, kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi kwa yule aliyemnunua.
51 Eğer geriye çok yıl kalıyorsa, buna göre özgürlüğünün bedeli olarak satın alındığı fiyatın bir bölümünü ödeyecek.
Endapo kutakuwa kungali na miaka mingi iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atalazimika kulipa fungu kubwa la fedha kwa ajili ya ukombozi ambao ni uwino wa idadi ya miaka hiyo.
52 Eğer özgürlük yılına yalnız birkaç yıl kalmışsa, ona göre hesap ederek özgürlüğünün bedelini ödemelidir.
Iwapo kuna miaka michache tu iliyobaki mpaka mwaka wa Yubile, atapatana na aliyemnunua ili kuipitia idadi ya miaka iliyobaki mpaka Yubile, naye atalazimika kulipia ukombozi wake kulingana na idadi ya miaka.
53 Efendisinin yanında yıllık sözleşmeyle çalışan bir işçi gibi yaşamalıdır. Senin önünde efendisinin ona sert davranmamasını sağlayacaksın.
Naye atatendewa kama mtu aliyeajiriwa mwaka kwa mwaka. Utahakikisha kwamba hatendewi kwa ukali.
54 “‘Bu yollardan özgürlüğüne kavuşamasa bile, özgürlük yılında çocuklarıyla birlikte özgür olacaktır.
Iwapo hakukombolewa katika njia hizi, basi atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake.
55 Çünkü İsrailliler benim kullarım, Mısır'dan çıkardığım kendi kullarımdır. Tanrınız RAB benim.’”
Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi. Wao ni watumishi wangu ambao Niliwatoa katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< Levililer 25 >