< Yeşu 12 >

1 İsrailliler'in bozguna uğrattığı, Şeria Irmağı'nın doğusunda, Arava'nın bütün doğusu ile Arnon Vadisi'nden Hermon Dağı'na kadar topraklarını ele geçirdiği krallar şunlardır:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Heşbon'da oturan Amorlular'ın Kralı Sihon: Krallığı Arnon Vadisi kıyısındaki Aroer'den –vadinin ortasından– başlıyor, Ammonlular'ın sınırı olan Yabbuk Irmağı'na dek uzanıyor, Gilat'ın yarısını içine alıyordu. Arava bölgesinin doğusu da ona aitti. Burası Kinneret Gölü'nden Arava –Lut– Gölü'ne uzanıyor, doğuda Beytyeşimot'a, güneyde de Pisga Dağı'nın yamaçlarına varıyordu.
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 Sağ kalan Refalılar'dan, Aştarot ve Edrei'de oturan Başan Kralı Og:
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 Kral Og, Hermon Dağı, Salka, Geşurlular'la Maakalılar'ın sınırına kadar bütün Başan'ı ve Heşbon Kralı Sihon'un sınırına kadar uzanan Gilat'ın yarısını yönetiyordu.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 RAB'bin kulu Musa'nın ve İsrailliler'in yenilgiye uğrattığı krallar bunlardı. RAB'bin kulu Musa bunların topraklarını Ruben ve Gad oymaklarıyla Manaşşe oymağının yarısına mülk olarak verdi.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 Lübnan Vadisi'ndeki Baal-Gat'tan, Seir yönünde yükselen Halak Dağı'na kadar Şeria Irmağı'nın batısında bulunan toprakların kralları –Yeşu ve İsrailliler'in yenilgiye uğrattığı kralları– şunlardır: –Yeşu, Hitit, Amor, Kenan, Periz, Hiv ve Yevus halklarına ait dağlık bölgeyi, Şefela'yı, Arava bölgesini, dağ yamaçlarını, çölü ve Negev'i İsrail oymakları arasında mülk olarak bölüştürdü.–
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 Eriha Kralı, Beytel yakınındaki Ay Kenti'nin Kralı,
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 Yeruşalim Kralı, Hevron Kralı,
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 Yarmut Kralı, Lakiş Kralı,
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 Eglon Kralı, Gezer Kralı,
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 Devir Kralı, Geder Kralı,
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 Horma Kralı, Arat Kralı,
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 Livna Kralı, Adullam Kralı,
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 Makkeda Kralı, Beytel Kralı,
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 Tappuah Kralı, Hefer Kralı,
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 Afek Kralı, Şaron Kralı,
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 Madon Kralı, Hasor Kralı,
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 Şimron-Meron Kralı, Akşaf Kralı,
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 Taanak Kralı, Megiddo Kralı,
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 Kedeş Kralı, Karmel'deki Yokneam Kralı,
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 Dor sırtlarındaki Dor Kralı, Gilgal'daki Goyim Kralı
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 ve Tirsa Kralı. Toplam otuz bir kral.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< Yeşu 12 >