< Eyüp 18 >

1 Şuahlı Bildat şöyle yanıtladı:
Bildadi Mshuhi akajibu:
2 “Ne zaman bitecek bu sözler? Biraz anlayışlı olun da konuşalım.
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
3 Niçin hayvan yerine konuyoruz, Gözünüzde aptal sayılıyoruz?
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
4 Sen kendini öfkenle paralıyorsun, Senin uğruna dünyadan vaz mı geçilecek? Kayalar yerini mi değiştirecek?
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
5 “Evet, kötünün ışığı sönecek, Ateşinin alevi parlamayacak.
“Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
6 Çadırındaki ışık karanlığa dönecek, Yanındaki kandil sönecek.
Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
7 Adımlarının gücü zayıflayacak, Kurduğu düzene kendi düşecek.
Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
8 Ayakları onu ağa götürecek, Kendi ayağıyla tuzağa basacak.
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
9 Topuğu kapana girecek, Tuzak onu kapacak.
Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
10 Toprağa gizlenmiş bir ilmek, Yoluna koyulmuş bir kapan bekliyor onu.
Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
11 Dehşet saracak onu her yandan, Her adımında onu kovalayacak.
Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
12 Gücünü kıtlık kemirecek, Tökezleyince, felaket yanında bitiverecek.
Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
13 Derisini hastalık yiyecek, Kollarıyla bacaklarını ölüm yutacak.
Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
14 Güvenli çadırından atılacak, Dehşet kralının önüne sürüklenecek.
Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
15 Çadırında ateş oturacak, Yurdunun üzerine kükürt saçılacak.
Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
16 Kökleri dipten kuruyacak, Dalları üstten solacak.
Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
17 Ülkede anısı yok olacak, Adı dünyadan silinecek.
Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
18 Işıktan karanlığa sürülecek, Dünyadan kovulacak.
Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
19 Ne çocuğu ne torunu kalacak halkı arasında, Yaşadığı yerde kimsesi kalmayacak.
Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
20 Batıdakiler onun yıkımına şaşacak, Doğudakiler dehşet içinde bakacak.
Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
21 Evet, kötülerin yaşamı işte böyle son bulur, Tanrı'yı tanımayanların varacağı yer budur.”
Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”

< Eyüp 18 >