< Eyüp 10 >

1 “Yaşamımdan usandım, Özgürce yakınacak, İçimdeki acıyla konuşacağım.
“Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
2 Tanrı'ya: Beni suçlama diyeceğim, Ama söyle, niçin benimle çekişiyorsun.
Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
3 Hoşuna mı gidiyor gaddarlık etmek, Kendi ellerinin emeğini reddedip Kötülerin tasarılarını onaylamak?
Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
4 Sende insan gözü mü var? İnsanın gördüğü gibi mi görüyorsun?
Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
5 Günlerin ölümlü birinin günleri gibi, Yılların insanın yılları gibi mi ki,
Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
6 Suçumu arıyor, Günahımı araştırıyorsun?
ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
7 Kötü olmadığımı, Senin elinden beni kimsenin kurtaramayacağını biliyorsun.
ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
8 “Senin ellerin bana biçim verdi, beni yarattı, Şimdi dönüp beni yok mu edeceksin?
“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
9 Lütfen anımsa, balçık gibi bana sen biçim verdin, Beni yine toprağa mı döndüreceksin?
Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
10 Beni süt gibi dökmedin mi, Peynir gibi katılaştırmadın mı?
Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
11 Bana et ve deri giydirdin, Beni kemiklerle, sinirlerle ördün.
ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
12 Bana yaşam verdin, sevgi gösterdin, İlgin ruhumu korudu.
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
13 “Ama bunları yüreğinde gizledin, Biliyorum aklındakini:
“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
14 Günah işleseydim, beni gözlerdin, Suçumu cezasız bırakmazdın.
Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
15 Suçluysam, vay başıma! Suçsuzken bile başımı kaldıramıyorum, Çünkü utanç doluyum, çaresizim.
Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
16 Başımı kaldırsam, aslan gibi beni avlar, Şaşılası gücünü yine gösterirsin üstümde.
Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
17 Bana karşı yeni tanıklar çıkarır, Öfkeni artırırsın. Orduların dalga dalga üzerime geliyor.
Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
18 “Niçin doğmama izin verdin? Keşke ölseydim, hiçbir göz beni görmeden!
“Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
19 Hiç var olmamış olurdum, Rahimden mezara taşınırdım.
Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
20 Birkaç günlük ömrüm kalmadı mı? Beni rahat bırak da biraz yüzüm gülsün;
Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
21 Dönüşü olmayan yere gitmeden önce, Karanlık ve ölüm gölgesi diyarına,
kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
22 Zifiri karanlık diyarına, Ölüm gölgesi, kargaşa diyarına, Aydınlığın karanlığı andırdığı yere.”
nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”

< Eyüp 10 >