< Yeremya 43 >

1 Yeremya Tanrıları RAB'bin bütün bu sözlerini –Tanrıları RAB'bin onun aracılığıyla kendilerine ilettiği her şeyi– halka bildirmeyi bitirince
Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia,
2 Hoşaya oğlu Azarya, Kareah oğlu Yohanan ve bütün küstah adamlar ona, “Yalan söylüyorsun!” dediler, “Tanrımız RAB, ‘Yerleşmek üzere Mısır'a gitmeyin’ demek için göndermedi seni bize.
Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
3 Bizi öldürsünler, Babil'e sürsünler diye Kildaniler'in eline teslim etmek için Neriya oğlu Baruk seni bize karşı kışkırtıyor.”
Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”
4 Böylece Kareah oğlu Yohanan, bütün ordu komutanları ve halk RAB'bin Yahuda'da kalmalarına ilişkin buyruğuna karşı geldiler.
Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda.
5 Kareah oğlu Yohanan'la bütün ordu komutanları, sürüldükleri uluslardan yerleşmek üzere Yahuda'ya geri dönen Yahuda halkını alıp götürdüler.
Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.
6 Muhafız birliği komutanı Nebuzaradan'ın Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya'nın sorumluluğuna bırakmış olduğu bütün kadınları, erkekleri, çocukları, kral kızlarını da götürdüler. Peygamber Yeremya'yla Neriya oğlu Baruk'u da alıp
Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.
7 RAB'bin sözünü dinlemeyerek Mısır'a gittiler. Tahpanhes'e vardılar.
Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.
8 Tahpanhes'te RAB Yeremya'ya şöyle seslendi:
Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
9 “Yahudiler'in gözü önünde eline büyük taşlar al, Tahpanhes'te firavun sarayının girişindeki tuğla kaldırımın harcına göm.
“Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
10 Onlara de ki, ‘İsrail'in Tanrısı, Her Şeye Egemen RAB şöyle diyor: İşte kulum Babil Kralı Nebukadnessar'ı buraya getirtip tahtını harca gömdüğüm bu taşların üzerine kuracağım. Nebukadnessar otağını bu taşların üzerine kuracak.
Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.
11 Gelip Mısır'ı bozguna uğratacak. Ölüm için ayrılanlar ölüme, Sürgün için ayrılanlar sürgüne, Kılıç için ayrılanlar kılıca gidecek.
Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.
12 Mısır ilahlarının tapınaklarını ateşe verip yakacak, ilahları alıp götürecek. Çoban giysisiyle kendisini nasıl örterse, o da Mısır'ı öyle örtecek. Sonra oradan sağ salim çıkacak.
Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.
13 Mısır'daki Güneş Tapınağı'nın dikili taşlarını kıracak, Mısır ilahlarının tapınaklarını ateşe verecek.’”
Humo ndani ya hekalu la jua nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’”

< Yeremya 43 >