< Yeşaya 2 >

1 Amots oğlu Yeşaya'nın Yahuda ve Yeruşalim'le ilgili görümü:
Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:
2 RAB'bin Tapınağı'nın kurulduğu dağ, Son günlerde dağların en yücesi, Tepelerin en yükseği olacak. Oraya akın edecek ulusların hepsi.
Katika siku za mwisho mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote, utainuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatamiminika huko.
3 Birçok halk gelecek, “Haydi, RAB'bin Dağı'na, Yakup'un Tanrısı'nın Tapınağı'na çıkalım” diyecekler, “O bize kendi yolunu öğretsin, Biz de O'nun yolundan gidelim.” Çünkü yasa Siyon'dan, RAB'bin sözü Yeruşalim'den çıkacak.
Mataifa mengi yatakuja na kusema, “Njooni, twendeni mlimani mwa Bwana, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, ili tuweze kuenenda katika mapito yake.” Sheria itatoka Sayuni, neno la Bwana litatoka Yerusalemu.
4 RAB uluslar arasında yargıçlık edecek, Birçok halkın arasındaki anlaşmazlıkları çözecek. İnsanlar kılıçlarını çekiçle dövüp saban demiri, Mızraklarını bağcı bıçağı yapacaklar. Ulus ulusa kılıç kaldırmayacak, Savaş eğitimi yapmayacaklar artık.
Atahukumu kati ya mataifa na ataamua migogoro ya mataifa mengi. Watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine, wala hawatajifunza vita tena.
5 Ey Yakup soyu, gelin RAB'bin ışığında yürüyelim.
Njooni, enyi nyumba ya Yakobo, tutembeeni katika nuru ya Bwana.
6 Ya RAB, halkını, Yakup soyunu terk ettin, Çünkü yürekleri doğu kökenli inançlarla dolu. Filistliler gibi falcılıkla uğraşıyor, Yabancılarla el sıkışıyorlar.
Umewatelekeza watu wako, nyumba ya Yakobo. Wamejaa ushirikina utokao Mashariki, wanapiga ramli kama Wafilisti na wanashikana mikono na wapagani.
7 Ülkeleri altınla, gümüşle dolu, Hazinelerinin sonu yok, Sayısız atları, savaş arabaları var.
Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, hakuna mwisho wa hazina zao. Nchi yao imejaa farasi, hakuna mwisho wa magari yao.
8 Ülkeleri putlarla dolu; Elleriyle yaptıkları, Parmaklarıyla biçim verdikleri Putların önünde eğiliyorlar.
Nchi yao imejaa sanamu, wanasujudia kazi za mikono yao, vitu vile vidole vyao vimevitengeneza.
9 Bu yüzden herkes alçaltılıp dize getirilecek. Onları bağışlama, ya RAB!
Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa: usiwasamehe.
10 RAB'bin dehşetinden, Yüce görkeminden kaçmak için kayalıklara gidin, Yerin altına saklanın.
Ingieni kwenye miamba, jificheni ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake!
11 İnsanın küstah bakışları alçaltılacak, Gururu kırılacak. O gün yalnız RAB yüceltilecek.
Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa na kiburi cha wanadamu kitashushwa, Bwana peke yake ndiye atakayetukuzwa siku hiyo.
12 Çünkü Her Şeye Egemen RAB o gün Kibirlileri, gururluları, kendini beğenmişleri alçaltacak;
Bwana Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba kwa wote wenye kujivuna na wenye kiburi, kwa wote wanaojikweza (nao watanyenyekezwa),
13 Lübnan'ın bütün ulu, yüksek sedir ağaçlarını, Başan'ın bütün meşelerini yok edecek;
kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani,
14 Bütün ulu dağları, yüksek tepeleri,
kwa milima yote mirefu na vilima vyote vilivyoinuka,
15 Bütün yüksek kuleleri, güçlü surları Yerle bir edecek;
kwa kila mnara ulio mrefu sana na kila ukuta wenye ngome,
16 Ticaret gemilerinin, güzel teknelerinin hepsini yok edecek.
kwa kila meli ya biashara, na kila chombo cha baharini cha fahari.
17 İnsanların gururu, kibiri kırılacak, O gün yalnız RAB yüceltilecek,
Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, Bwana peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,
18 Putlar tümüyle ortadan kalkacak.
nazo sanamu zitatoweka kabisa.
19 RAB kalkıp yeryüzünü sarsmaya başlayınca, İnsanlar O'nun dehşetinden Ve yüce görkeminden kaçmak için Kayalık mağaralara, yeraltı kovuklarına saklanacaklar.
Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba, na kwenye mahandaki ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
20 O gün insanlar Yeryüzünü sarsmak üzere harekete geçen RAB'bin dehşetinden Ve yüce görkeminden kaçmak için Tapmak amacıyla yaptıkları altın, gümüş putları Köstebeklere, yarasalara atıp Kaya kovuklarına, uçurumlardaki yarıklara saklanacaklar.
Siku ile, watu watawatupia panya na popo sanamu zao za fedha na za dhahabu, walizozitengeneza ili waziabudu.
Watakimbilia kwenye mapango miambani na kwenye nyufa za miamba kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
22 Ölümlü insana güvenmekten vazgeçin. Onun ne değeri var ki?
Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?

< Yeşaya 2 >