< Yeşaya 17 >

1 Şam'la ilgili bildiri: İşte Şam kent olmaktan çıkacak, Enkaz yığınına dönecek.
Neno kuhusu Dameski: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mji bali itakuwa lundo la magofu.
2 Aroer kentleri terk edilecek, Hayvan sürüleri orada yatacak, Onları ürküten olmayacak.
Miji ya Aroeri itaachwa na itaachiwa mifugo ambayo italala huko, bila yeyote wa kuyaogopesha.
3 Efrayim'de surlu kent kalmayacak, Şam'ın egemenliği yok olacak. Sağ kalan Aramlılar'ın onuru İsrail'in onuru gibi kırılacak. Her Şeye Egemen RAB böyle diyor.
Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu, nao uweza wa ufalme kutoka Dameski; mabaki ya Aramu yatakuwa kama utukufu wa Waisraeli,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
4 O gün Yakup soyunun görkemi sönecek, Hepsi bir deri bir kemik kalacak.
“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika.
5 İsrail, ekinin elle biçilip Başakların devşirildiği bir tarla, Refaim Vadisi'nde hasattan sonra Başakların toplandığı bir tarla gibi olacak.
Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka na kuvuna nafaka kwa mikono yake, kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke katika Bonde la Warefai.
6 Çok az kişi kurtulacak. Artakalanların sayısı, dövüldükten sonra tepesinde iki üç, Dal uçlarında dört beş zeytin tanesi kalan Zeytin ağacı gibi olacak. İsrail'in Tanrısı RAB böyle diyor.
Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki, kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa, kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni, nne au tano katika matawi yazaayo sana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli.
7 O gün insanlar kendilerini yaratana bakacaklar, gözleri İsrail'in Kutsalı'nı görecek.
Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao, na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.
8 Elleriyle yaptıkları sunaklara, parmaklarıyla biçim verdikleri Aşera putlarına, buhur sunaklarına bakmayacaklar.
Hawataziangalia tena madhabahu, kazi za mikono yao, nao hawataheshimu nguzo za Ashera, na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.
9 O gün İsrail'in güçlü kentleri İsrailliler'den kaçan Amorlular'la Hivliler'in Terk ettiği kentler gibi ıssız olacak.
Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.
10 Çünkü, ey İsrail, seni kurtaran Tanrı'yı unuttun, Sığındığın Kaya'yı anmaz oldun. Bunun yerine, güzel fidanlar, ithal asmalar dikiyorsun.
Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu, hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu. Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana na kuotesha mizabibu ya kigeni,
11 Onlar diktiğin gün filizlenip Ertesi sabah tomurcuklanabilir. Ama hastalık ve dinmez acı gününde meyve vermeyecekler.
hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue, hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.
12 Eyvah, çok sayıda ulus kükrüyor, Azgın deniz gibi gürlüyorlar. Halklar güçlü sular gibi çağlıyor.
Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi, wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka! Lo! Makelele ya mataifa wanavuma kama ngurumo za maji mengi!
13 Halklar kabaran sular gibi çağlayabilir, Ama Tanrı onları azarlayınca uzaklara kaçacaklar. Rüzgarın önünde dağdaki saman ufağı gibi, Kasırganın önünde diken yumağı gibi savrulacaklar.
Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi, wakati anapoyakemea yanakimbia mbali, yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima, kama jani livingirishwapo na dhoruba.
14 Akşam dehşet saçıyorlardı, Sabah olmadan yok olup gittiler. Bizi yağmalayanların, bizi soyanların sonu budur.
Wakati wa jioni, hofu ya ghafula! Kabla ya asubuhi, wametoweka! Hili ndilo fungu la wale wanaotupora, fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.

< Yeşaya 17 >