< Yeşaya 12 >

1 İsrail halkı o gün, “Ya RAB, sana şükrederiz” diyecek, “Bize öfkelenmiştin ama öfken dindi, Bizi avuttun.
Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
2 Tanrı kurtuluşumuzdur. O'na güvenecek, yılmayacağız. Çünkü RAB gücümüz ve ezgimizdir. O kurtardı bizi.”
Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
3 Kurtuluş pınarlarından sevinçle su alacaksınız.
Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
4 O gün diyeceksiniz ki, “RAB'be şükredin, O'nu adıyla çağırın, Halklara duyurun yaptıklarını, Adının yüce olduğunu duyurun!
Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
5 RAB'be ezgiler söyleyin, Çünkü görkemli işler yaptı. Bütün dünya bilsin bunu.
Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
6 Ey Siyon halkı, sesini yükselt, sevinçle haykır! Çünkü aranızda bulunan İsrail'in Kutsalı büyüktür.”
Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

< Yeşaya 12 >