< Ezra 2 >

1 Babil Kralı Nebukadnessar'ın Babil'e sürgün ettiği insanlar yaşadıkları ilden Yeruşalim ve Yahuda'daki kendi kentlerine döndü.
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 Bunlar Zerubbabil, Yeşu, Nehemya, Seraya, Reelaya, Mordekay, Bilşan, Mispar, Bigvay, Rehum ve Baana'nın önderliğinde geldiler. Sürgünden dönen İsrailliler'in sayıları şöyleydi:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 Paroşoğulları: 2 172
wazao wa Paroshi 2,172
4 Şefatyaoğulları: 372
wazao wa Shefatia 372
5 Arahoğulları: 775
wazao wa Ara 775
6 Yeşu ve Yoav soyundan Pahat-Moavoğulları: 2 812
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7 Elamoğulları: 1 254
wazao wa Elamu 1,254
8 Zattuoğulları: 945
wazao wa Zatu 945
9 Zakkayoğulları: 760
wazao wa Zakai 760
10 Banioğulları: 642
wazao wa Bani 642
11 Bevayoğulları: 623
wazao wa Bebai 623
12 Azgatoğulları: 1 222
wazao wa Azgadi 1,222
13 Adonikamoğulları: 666
wazao wa Adonikamu 666
14 Bigvayoğulları: 2 056
wazao wa Bigwai 2,056
15 Adinoğulları: 454
wazao wa Adini 454
16 Hizkiya soyundan Ateroğulları: 98
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 Besayoğulları: 323
wazao wa Besai 323
18 Yoraoğulları: 112
wazao wa Yora 112
19 Haşumoğulları: 223
wazao wa Hashumu 223
20 Gibbaroğulları: 95
wazao wa Gibari 95
21 Beytlehemliler: 123
watu wa Bethlehemu 123
22 Netofalılar: 56
watu wa Netofa 56
23 Anatotlular: 128
watu wa Anathothi 128
24 Azmavetliler: 42
watu wa Azmawethi 42
25 Kiryat-Yearimliler, Kefiralılar ve Beerotlular: 743
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 Ramalılar ve Gevalılar: 621
wazao wa Rama na Geba 621
27 Mikmaslılar: 122
watu wa Mikmashi 122
28 Beytel ve Ay kentlerinden olanlar: 223
watu wa Betheli na Ai 223
29 Nevolular: 52
wazao wa Nebo 52
30 Magbişliler: 156
wazao wa Magbishi 156
31 Öbür Elam Kenti'nden olanlar: 1 254
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 Harimliler: 320
wazao wa Harimu 320
33 Lod, Hadit ve Ono kentlerinden olanlar: 725
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 Erihalılar: 345
wazao wa Yeriko 345
35 Senaalılar: 3 630.
wazao wa Senaa 3,630
36 Kâhinler: Yeşu soyundan Yedayaoğulları: 973
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 İmmeroğulları: 1 052
wazao wa Imeri 1,052
38 Paşhuroğulları: 1 247
wazao wa Pashuri 1,247
39 Harimoğulları: 1 017.
wazao wa Harimu 1,017
40 Levililer: Hodavya soyundan Yeşu ve Kadmieloğulları: 74.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 Ezgiciler: Asafoğulları: 128.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 Tapınak kapı nöbetçileri: Şallumoğulları, Ateroğulları, Talmonoğulları, Akkuvoğulları, Hatitaoğulları, Şovayoğulları, toplam 139.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 Tapınak görevlileri: Sihaoğulları, Hasufaoğulları, Tabbaotoğulları,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 Kerosoğulları, Siahaoğulları, Padonoğulları,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 Levanaoğulları, Hagavaoğulları, Akkuvoğulları,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 Hagavoğulları, Şalmayoğulları, Hananoğulları,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 Giddeloğulları, Gaharoğulları, Reayaoğulları,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 Resinoğulları, Nekodaoğulları, Gazzamoğulları,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 Uzzaoğulları, Paseahoğulları, Besayoğulları,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 Asnaoğulları, Meunimoğulları, Nefusimoğulları,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 Bakbukoğulları, Hakufaoğulları, Harhuroğulları,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 Baslutoğulları, Mehidaoğulları, Harşaoğulları,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 Barkosoğulları, Siseraoğulları, Temahoğulları,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 Nesiahoğulları, Hatifaoğulları.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 Süleyman'ın kullarının soyu: Sotayoğulları, Hassoferetoğulları, Perudaoğulları,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 Yalaoğulları, Darkonoğulları, Giddeloğulları,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 Şefatyaoğulları, Hattiloğulları, Pokeret-Hassevayimoğulları, Amioğulları.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 Tapınak görevlileriyle Süleyman'ın kullarının soyundan olanlar: 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 Tel-Melah, Tel-Harşa, Keruv, Addan ve İmmer'den dönen, ancak hangi aileden olduklarını ve soylarının İsrail'den geldiğini kanıtlayamayanlar şunlardır:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 Delayaoğulları, Toviyaoğulları, Nekodaoğulları: 652.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 Kâhinlerin soyundan: Hovayaoğulları, Hakkosoğulları ve Gilatlı Barzillay'ın kızlarından biriyle evlenip kayınbabasının adını alan Barzillay'ın oğulları.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 Bunlar soy kütüklerini aradılar. Ama yazılı bir kayıt bulamayınca, kâhinlik görevi ellerinden alındı.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 Vali, Urim ile Tummim'i kullanan bir kâhin çıkıncaya dek en kutsal yiyeceklerden yememelerini buyurdu.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 Bütün halk toplam 42 360 kişiydi.
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 Ayrıca 7 337 erkek ve kadın köle, kadınlı erkekli 200 ezgici, 736 at, 245 katır, 435 deve, 6 720 eşek vardı.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
ngamia 435 na punda 6,720.
68 Bazı aile başları Yeruşalim'deki RAB Tanrı'nın Tapınağı'na varınca, tapınağın bulunduğu yerde yeniden kurulması için gönülden armağanlar verdiler.
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 Her biri gücü oranında hazineye bu iş için toplam 61 000 darik altın, 5 000 mina gümüş, 100 kâhin mintanı bağışladı.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 Kâhinler, Levililer, halktan bazı kişiler –ezgiciler, tapınak görevlileri ve kapı nöbetçileri– kendi kentlerine yerleştiler. Böylece bütün İsrailliler kentlerinde yaşamaya başladılar.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

< Ezra 2 >