< Hezekiel 13 >

1 RAB bana şöyle seslendi:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “İnsanoğlu, peygamberlikte bulunan İsrail peygamberlerine karşı sen peygamberlik et. Kendiliğinden peygamberlik eden o peygamberlere de ki, ‘RAB'bin sözüne kulak verin!
“Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno la Bwana!
3 Egemen RAB şöyle diyor: Hiçbir görüm görmemiş ama kurdukları hayaller uyarınca davranan akılsız peygamberlerin vay başına!
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona chochote!
4 Ey İsrail, peygamberlerin yıkıntılar arasındaki çakallara benziyor.
Manabii wako, ee Israeli, ni kama mbweha katikati ya magofu.
5 RAB'bin gününde İsrail halkının savaşta direnmesi için gidip duvardaki gedikleri onarmadınız.
Hamjakwea kwenda kuziba mahali palipobomoka katika ukuta ili kuukarabati kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kwamba isimame imara kwenye vita katika siku ya Bwana.
6 Onların görümleri uydurmadır. Yaptıkları yalan peygamberliklere RAB'bin sözüdür diyorlar. Oysa onları ben göndermedim. Yine de söylediklerinin yerine geleceğini umuyorlar.
Maono yao ni ya uongo na ubashiri wao ni wa udanganyifu. Wao husema, “Bwana amesema,” wakati Bwana hakuwatuma, bado wakitarajia maneno yao kutimizwa.
7 Ben söylemediğim halde, RAB'bin sözüdür diyorsunuz. Oysa gördüğünüz görümler uydurma, yaptığınız falcılık yalan değil mi?
Je, hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu hapo msemapo, “Bwana asema,” lakini Mimi sijasema?
8 “‘Bu yüzden Egemen RAB şöyle diyor: Söylediğiniz boş sözler, gördüğünüz yalan görümlerden ötürü size karşıyım. Böyle diyor Egemen RAB.
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ya uongo wa maneno yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi ni kinyume na ninyi, asema Bwana Mwenyezi.
9 Elim uydurma görüm gören, yalan yere falcılık eden peygamberlere karşı olacak. Onlar halkımın topluluğunda bulunmayacak, İsrail halkının kütüğüne yazılmayacak, İsrail ülkesine girmeyecekler. O zaman benim Egemen RAB olduğumu anlayacaksınız.
Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.
10 “‘Esenlik yokken esenlik diyerek halkımı aldatıyorlar. Biri dayanıksız bir duvar yapınca, sahte peygamberler üzerine sıva vuruyorlar.
“‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu wangu, wakisema, “Amani,” wakati ambapo hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka chokaa,
11 Duvarı sıvayanlara de ki: Duvar yıkılacak; sağanak yağmur yağacak, ardından dolu yağdıracağım. Şiddetli bir rüzgar çıkıp duvara karşı esecek.
kwa hiyo waambie hao wanaoupaka chokaa isiyokorogwa vyema kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo wa dhoruba utavuma juu yake.
12 Duvar çökünce size, nerede duvara vurduğunuz sıva demeyecekler mi?
Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
13 “‘Onun için Egemen RAB şöyle diyor: Öfkemden duvarı yerle bir etmek için şiddetli bir rüzgar göndereceğim; kızgınlığımdan sağanak yağmur ve dolu yağdıracağım.
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza.
14 Sıva vurduğunuz duvarı yıkıp yerle bir edeceğim. Temeli açılıp ortaya çıkacak. Yıkılacak ve altında yok olacaksınız. O zaman benim RAB olduğumu anlayacaksınız.
Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana.
15 Böylece öfkemi duvarın ve duvara sıva vuranların üzerine boşaltacağım. Size duvar da duvara sıva vuran da Yeruşalim'de esenlik yokken esenlik görümleri gören İsrailli peygamberler de yok oldu diyeceğim. Egemen RAB böyle diyor.’”
Hivyo ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo hivyo wale walioupaka chokaa,
wale manabii wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati kulipokuwa hakuna amani, asema Bwana Mwenyezi.”’
17 “Sen, ey insanoğlu, kendiliğinden peygamberlik eden halkının kızlarına yüzünü çevir. Onlara karşı peygamberlik et.
“Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya binti za watu wako wanaotabiri mambo kutoka mawazo yao wenyewe. Tabiri dhidi yao
18 De ki, ‘Egemen RAB şöyle diyor: İnsanları tuzağa düşürmek için herkese bilek bağı diken, her boyda baş örtüsü yapan kadınların vay başına! Kendi canınızı korurken halkımın canını mı tuzağa düşüreceksiniz?
na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa kwenu?
19 Birkaç avuç arpayla birkaç dilim ekmek için halkımın arasında beni küçük düşürdünüz. Yalana kulak veren halkıma yalan söyleyerek ölümü hak etmemiş canları öldürdünüz, ölümü hak etmiş canları yaşattınız.
Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai wale ambao wasingeishi.
20 “‘Bundan ötürü Egemen RAB şöyle diyor: İnsanları kuş gibi tuzağa düşüren sihirli bilek bağlarınıza karşıyım. Onları bileklerinizden koparacağım. Kuş gibi tuzağa düşürdüğünüz insanları özgür kılacağım.
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega kama ndege.
21 Örtülerinizi yırtacak, halkımı elinizden kurtaracağım. Bir daha tuzağınıza düşmeyecekler. O zaman benim RAB olduğumu anlayacaksınız.
Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
22 Madem incitmek istemediğim doğru kişinin cesaretini yalanlarınızla kırdınız ve canını kurtarmak için kötü kişiyi kötü yolundan dönmemeye yüreklendirdiniz,
Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,
23 bir daha uydurma görümler görmeyecek, falcılık etmeyeceksiniz. Halkımı elinizden kurtaracağım. O zaman benim RAB olduğumu anlayacaksınız.’”
kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”

< Hezekiel 13 >