< Misir'Dan Çikiş 13 >

1 RAB Musa'ya, “Bütün ilk doğanları bana adayın” dedi, “İsrailliler arasında insan olsun, hayvan olsun her rahmin ilk ürünü bana aittir.”
Bwana akamwambia Mose,
2
“Niwekeeni wakfu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume. Kila mtoto wa kwanza aliye kifungua tumbo miongoni mwa Waisraeli ni mali yangu, akiwa wa mwanadamu au wa mnyama.”
3 Musa halka, “Mısır'dan, köle olduğunuz ülkeden çıktığınız bugünü anımsayın” dedi, “Çünkü RAB güçlü eliyle sizi oradan çıkardı. Mayalı hiçbir şey yenmeyecek.
Ndipo Mose akawaambia watu, “Ikumbukeni siku hii, siku ambayo mlitoka katika nchi ya Misri, katika nchi ya utumwa, kwa sababu Bwana aliwatoa humo kwa mkono wenye nguvu. Msile chochote kilichotiwa chachu.
4 Bugün Aviv ayında buradan ayrılıyorsunuz.
Leo, katika mwezi wa Abibu, mnatoka.
5 RAB sizi Kenan, Hitit, Amor, Hiv ve Yevus topraklarına, atalarınıza vereceğine ant içtiği süt ve bal akan ülkeye götürdüğü zaman bu ay şu törelere uyacaksınız:
Bwana atakapokuleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha sikukuu hii katika mwezi huu:
6 Yedi gün mayasız ekmek yiyecek, yedinci gün RAB'be bayram yapacaksınız.
Kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku ya saba utamfanyia Bwana sikukuu.
7 O yedi gün içinde yalnız mayasız ekmek yiyeceksiniz. Aranızda ve ülkenizin hiçbir yerinde mayalı bir şey görülmeyecek.
Kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu, pasionekane kitu chochote kilicho na chachu miongoni mwako, wala chachu yoyote isionekane popote ndani ya mipaka yako.
8 O gün oğullarınıza, ‘Mısır'dan çıktığımızda RAB'bin bizim için yaptıklarından dolayı bunları yapıyoruz’ diye anlatacaksınız.
Siku ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa sababu ya jambo ambalo Bwana alinitendea nilipotoka katika nchi ya Misri.’
9 Bu elinizde bir belirti ve alnınızda bir anma işareti olacak; öyle ki, RAB'bin yasası hep ağzınızda olsun. Çünkü RAB güçlü eliyle sizi Mısır'dan çıkardı.
Adhimisho hili, litakuwa kama alama kwenye mkono wako na ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba sheria ya Bwana inapaswa iwe kinywani mwako. Kwa kuwa Bwana alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.
10 Siz de her yıl belirlenen tarihte bu kuralı uygulamalısınız.
Ni lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa mwaka baada ya mwaka.
11 “RAB size ve atalarınıza ant içerek söz verdiği gibi sizi Kenan topraklarına getirecektir. Orayı size verdiği zaman,
“Baada ya Bwana kukuingiza katika nchi ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,
12 ilk doğan erkek çocuklarınızın ve hayvanlarınızın hepsini RAB'be adayacaksınız. Çünkü bunlar RAB'be aittir.
inakupasa kumtolea Bwana mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya Bwana.
13 İlk doğan her sıpanın bedelini bir kuzuyla ödeyin. Bedelini ödemezseniz, boynunu kırın. Bütün ilk doğan erkek çocuklarınızın bedelini ödemelisiniz.
Kila mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa mwana-kondoo, lakini kama hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa wana wenu utamkomboa.
14 “İlerde oğullarınız size, ‘Bunun anlamı ne?’ diye sorduklarında, ‘RAB bizi güçlü eliyle Mısır'dan, köle olduğumuz ülkeden çıkardı’ diye yanıtlarsınız,
“Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu Bwana alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.
15 ‘Firavun bizi salıvermemekte diretince, RAB Mısır'da insanların ve hayvanların bütün ilk doğanlarını öldürdü. İşte bunun için hayvanların ilk doğan erkek yavrularını RAB'be kurban ediyoruz. İlk doğan erkek çocuklarımızın bedelini ise bir hayvanla ödüyoruz.’
Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu kuondoka, Bwana aliua kila mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa dhabihu kwa Bwana mzaliwa wa kwanza wa kiume, wa kila tumbo na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza wa wana wangu.’
16 Bu uygulama elinizde bir belirti ve alnınızda bir anma işareti olacak; RAB'bin bizi Mısır'dan güçlü eliyle çıkardığını anımsatacak.”
Jambo hili litakuwa kama ishara kwenye mkono wako na kama alama kwenye paji la uso wako, kwamba Bwana alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.”
17 Firavun İsrailliler'i salıverdiğinde, Filist yöresi yakın olmasına karşın, Tanrı onları oradan götürmedi. Çünkü, “Halk savaşla karşılaşınca, düşüncelerini değiştirip Mısır'a geri dönebilir” diye düşündü.
Farao alipowaachia watu waende, Mungu hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi. Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi Misri.”
18 Halkı çöl yolundan Kamış Denizi'ne doğru dolaştırdı. İsrailliler Mısır'dan silahlı çıkmışlardı.
Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani, kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda kutoka nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa kwa vita.
19 Musa Yusuf'un kemiklerini yanına almıştı. Çünkü Yusuf İsrail'in oğullarına, “Tanrı kesinlikle size yardım edecek, kemiklerimi buradan götüreceksiniz” diye sıkı sıkı ant içirmişti.
Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali hapa.”
20 Sukkot'tan ayrılıp çöl kenarında, Etam'da konakladılar.
Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi wakapiga kambi huko Ethamu pembeni mwa jangwa.
21 Gece gündüz ilerlemeleri için, RAB gündüzün bir bulut sütunu içinde yol göstererek, geceleyin bir ateş sütunu içinde ışık vererek onlara öncülük ediyordu.
Wakati wa mchana Bwana aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza katika njia yao, na wakati wa usiku aliwatangulia kwa nguzo ya moto kuwaangazia, ili waweze kusafiri mchana au usiku.
22 Gündüz bulut sütunu, gece ateş sütunu halkın önünden eksik olmadı.
Ile nguzo ya wingu wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya watu.

< Misir'Dan Çikiş 13 >