< Ester 9 >

1 Kralın buyruğu ve fermanı, on ikinci ay olan Adar ayının on üçüncü günü yerine getirilecekti. Yahudi düşmanları o gün Yahudiler'i alt etmeyi ummuşlardı, ama tam tersi oldu; Yahudiler kendilerinden nefret edenleri alt ettiler.
Katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, amri iliyoagizwa na mfalme ilikuwa itekelezwe. Siku hii adui wa Wayahudi walikuwa wametumaini kuwashinda, lakini sasa mambo yaliwageukia na Wayahudi wakawashinda wale waliokuwa wanawachukia.
2 Yahudiler kendilerini yok etmeyi tasarlayanlara saldırmak üzere Kral Ahaşveroş'un bütün illerindeki kentlerde bir araya geldiler. Hiç kimse onlara karşı koyamadı. Çünkü Yahudi korkusu bütün halkları sarmıştı.
Wayahudi walikusanyika katika miji yao, katika majimbo ya Mfalme Ahasuero kuwashambulia wale waliokuwa wanatafuta kuwaangamiza. Hakuna yeyote aliyeweza kushindana nao, kwa sababu watu wa mataifa mengine yote waliwaogopa.
3 İl önderleri, satraplar, valiler ve kralın memurları, Mordekay'dan korktukları için Yahudiler'i desteklediler.
Nao wakuu wote wa majimbo, majemadari, watawala na maafisa wa mfalme wakawasaidia Wayahudi, kwa sababu walimhofu Mordekai.
4 Mordekay sarayda güçlü biriydi artık; ünü bütün illere ulaşmıştı. Gücü gittikçe artıyordu.
Mordekai alikuwa mtu mashuhuri katika jumba la mfalme; sifa zake zilienea katika majimbo yote naye alipata uwezo zaidi na zaidi.
5 Yahudiler bütün düşmanlarını kılıçtan geçirdiler, öldürdüler, yok ettiler. Kendilerinden nefret edenlere dilediklerini yaptılar.
Wayahudi waliwaangusha adui zao wote kwa upanga wakiwaua na kuwaangamiza, nao walifanya kile walichotaka kwa wale waliowachukia.
6 Sus Kalesi'nde beş yüz kişiyi öldürüp yok ettiler.
Katika ngome ya Shushani Wayahudi waliua na kuangamiza wanaume 500.
7 Yahudi düşmanı Hammedata oğlu Haman'ın on oğlunu –Parşandata, Dalfon, Aspata, Porata, Adalya, Aridata, Parmaşta, Arisay, Ariday ve Vayzata'yı– öldürdüler. Ama yağmaya girişmediler.
Pia waliwaua Parshendatha, Dalfoni, Aspatha,
8
Poratha, Adalia, Ardatha,
9
Parmashta, Arisai, Aridai na Waizatha,
wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui wa Wayahudi. Lakini hawakuchukua nyara.
11 Sus Kalesi'nde öldürülenlerin sayısı aynı gün krala bildirildi.
Mfalme aliarifiwa siku iyo hiyo hesabu ya waliouawa katika ngome ya Shushani.
12 O da Kraliçe Ester'e, “Yahudiler Sus Kalesi'nde Haman'ın on oğlu dahil beş yüz kişiyi öldürüp yok etmişler” dedi, “Kim bilir, öbür illerimde neler yapmışlardır? İstediğin nedir, sana vereyim; başka dileğin var mı, yerine getirilecektir.”
Mfalme akamwambia Malkia Esta, “Wayahudi wamewaua wanaume 500 na wana kumi wa Hamani ndani ya ngome ya Shushani. Wamefanyaje katika majimbo mengine ya mfalme yaliyobaki? Je, sasa haja yako ni nini? Nayo pia utapewa. Nalo ombi lako ni nini? Nalo utafanyiwa.”
13 Ester, “Eğer kral uygun görüyorsa, Sus'taki Yahudiler bugünkü fermanını yarın da uygulasınlar” dedi, “Haman'ın on oğlunun cesetleri de darağacına asılsın.”
Esta akajibu, “Ikimpendeza mfalme, uwape ruhusa Wayahudi walioko Shushani warudie amri ya leo kesho pia, na wana wa Hamani kumi wanyongwe mahali pa kunyongea watu.”
14 Kral bu isteklerin yerine getirilmesini buyurdu. Sus'ta ferman çıkarıldı ve Haman'ın on oğlu asıldı.
Basi mfalme akaamuru kwamba hili litendeke. Amri ilitolewa huko Shushani, nao wakawanyonga wana kumi wa Hamani.
15 Sus'taki Yahudiler Adar ayının on dördüncü günü yeniden toplanarak kentte üç yüz kişi daha öldürdüler; ama yağmaya girişmediler.
Wayahudi huko Shushani wakakusanyika pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, nao wakawaua wanaume 300 huko Shushani, lakini hawakuchukua nyara zao.
16 Krallığın illerinde yaşayan öbür Yahudiler de canlarını korumak ve düşmanlarından kurtulmak için bir araya geldiler. Kendilerinden nefret edenlerden yetmiş beş bin kişiyi öldürdüler, ama yağmaya girişmediler.
Wakati ule ule, Wayahudi wengine waliokuwa kwenye majimbo ya mfalme, wakakusanyika kujilinda nao wakapata nafuu kutokana na adui zao. Waliua adui zao wapatao 75,000 lakini hawakugusa nyara zao.
17 Bütün bunlar Adar ayının on üçüncü günü oldu. Yahudiler on dördüncü gün dinlendiler ve o günü şölen ve eğlence günü ilan ettiler.
Hili lilitendeka siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari na siku ya kumi na nne walipumzika na kuifanya siku ya karamu na furaha.
18 Sus'taki Yahudiler ise kendilerini savunmak için on üçüncü ve on dördüncü günler bir araya geldiler. On beşinci gün de dinlendiler. O günü şölen ve eğlence günü ilan ettiler.
Wayahudi huko Shushani, hata hivyo, walikuwa wamekusanyika siku ya kumi na tatu na ya kumi na nne, pia siku ya kumi na tano walipumzika na kuifanya siku ya karamu na furaha.
19 Taşradaki kentlerde yaşayan Yahudiler işte bu nedenle Adar ayının on dördüncü gününü şölen ve eğlence günü olarak kutlarlar ve birbirlerine yemek sunarlar.
Ndiyo sababu Wayahudi wanaokaa vijijini na katika miji midogo huadhimisha siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari kama siku ya furaha na karamu, siku ambayo wao hupeana zawadi mmoja kwa mwingine.
20 Mordekay bu olayları kayda geçirdi. Ardından Kral Ahaşveroş'un uzak, yakın bütün illerinde yaşayan Yahudiler'e mektuplar gönderdi.
Mordekai aliandika matukio haya, naye akapeleka barua kwa Wayahudi wote walioko katika majimbo ya Mfalme Ahasuero, majimbo yaliyo mbali na karibu,
21 Her yıl Adar ayının on dördüncü ve on beşinci günlerini kutlamalarını buyurdu.
akiwataka kila mwaka washerehekee siku ya kumi na nne na ya kumi na tano ya mwezi wa Adari
22 Çünkü o günler, Yahudiler'in düşmanlarından kurtulduğu günlerdir. O ay kederlerinin sevince, yaslarının mutluluğa dönüştüğü aydır. Mordekay o günlerde şölenler düzenleyip eğlenmelerini, birbirlerine yemek sunmalarını, yoksullara armağanlar vermelerini buyurdu.
kama wakati ambao Wayahudi walipata nafuu kutoka kwa adui zao na kama mwezi ambao huzuni yao iligeuzwa kuwa furaha na kuomboleza kwao kuwa siku ya kusherehekea. Aliwaandikia kushika siku hizo kama siku za karamu na za furaha na kupeana zawadi za vyakula wao kwa wao na zawadi kwa maskini.
23 Böylece Yahudiler, Mordekay'ın buyruğunu kabul ederek başlattıkları kutlamaları sürdürdüler.
Hivyo Wayahudi walikubali kuendeleza sherehe walizokuwa wamezianza, wakifanya lile Mordekai alilokuwa amewaandikia.
24 Çünkü bütün Yahudiler'in düşmanı Agaklı Hammedata oğlu Haman onları yok etmek için düzen kurmuştu. Onları ezip yok etmek için pur, yani kura çekmişti.
Kwa maana Hamani mwana wa Hamedatha Mwagagi, adui wa Wayahudi wote, alikuwa amepanga hila dhidi ya Wayahudi ili kuwaangamiza, na alikuwa amepiga puri (yaani kura) kwa ajili ya maangamizi na uharibifu wao.
25 Ama kral durumu öğrenince, Haman'ın Yahudiler'e karşı kurduğu düzen geri tepti; kral, Haman'ın ve oğullarının darağacına asılmaları için yazılı buyruklar verdi.
Lakini wakati shauri hilo baya lilipoarifiwa kwa mfalme, alitoa amri iliyoandikwa kwamba mipango mibaya ambayo Hamani ameipanga dhidi ya Wayahudi inapasa imrudie juu ya kichwa chake mwenyewe, na kwamba yeye na wanawe waangikwe mahali pa kunyongea watu.
26 Pur sözcüğünden ötürü bu günlere Purim adı verildi. Böylece Yahudiler, Mordekay'ın mektubunda yazılı olanlardan, görüp geçirdiklerinden ve başlarına gelenlerden ötürü bu iki günü buyrulduğu biçimde ve günlerde her yıl kutlamayı kabul ettiler. Bu gelenek kendileri için, soylarından olanlar ve onlara katılan herkes için geçerli olacaktı.
(Kwa hiyo siku hizi ziliitwa Purimu, kutokana na neno puri.) Kwa sababu ya kila kitu kilichoandikwa kwenye barua hii na kwa sababu ya yale waliyoyaona na yale yaliyowatokea,
Wayahudi wakachukua na kuifanya desturi kwamba wao na wazao wao na wote ambao walijiunga nao wangefanya bila kuacha kushika siku hizi mbili kila mwaka, kwa njia ilivyoelekezwa na kwa wakati wake.
28 Böylece bu günler her ilde, her kentte ve her ailede kuşaktan kuşağa anımsanacak ve kutlanacaktı. Purim günleri Yahudiler için son bulmayacak ve bu günlerin anısı kuşaklar boyu sürecekti.
Siku hizi zinapasa zikumbukwe na kuadhimishwa katika kila kizazi, kila jamaa na katika kila jimbo na kila jiji. Nazo siku hizi za Purimu kamwe zisikome kusherehekewa na Wayahudi, wala kumbukumbu zake zisipotee miongoni mwa wazao wake.
29 Avihayil'in kızı Kraliçe Ester ve Yahudi Mordekay Purim'le ilgili bu ikinci mektubu tam yetkiyle yazıp uygulamaya koydular.
Basi Malkia Esta binti Abihaili, pamoja na Mordekai, Myahudi, waliandika kwa mamlaka yote kuthibitisha barua hii ya pili kuhusu Purimu.
30 Mordekay, Ahaşveroş'un egemenliği altındaki yüz yirmi yedi ilde yaşayan Yahudiler'e esenlik ve güvenlik dilekleriyle dolu mektuplar gönderdi.
Naye Mordekai akatuma barua kwa Wayahudi wote katika majimbo 127 ya ufalme wa Ahasuero, barua zenye maneno ya amani na matumaini,
31 Kraliçe Ester'le birlikte daha önce kararlaştırdıkları gibi, Purim günlerini belirlenen tarihte kutlamalarını buyuruyordu. Bu kutlamalara kendilerinin de, soylarından gelenlerin de katılmalarını, oruç tutmada ve ağıt yakmada belirlenen kurallara uymalarını istedi.
ili kuimarisha siku hizi za Purimu katika majira yake yaliyowekwa, kama Mordekai, Myahudi na Malkia Esta walivyowaamuru, na walivyojiimarisha wenyewe na wazao wao kuhusu nyakati za kufunga na kuomboleza.
32 Purim'e ilişkin bu düzenlemeler Ester'in buyruğuyla onaylandı ve kayda geçirildi.
Amri ya Esta ilithibitisha taratibu hizi kuhusu Purimu, nayo ikaandikwa katika kumbukumbu.

< Ester 9 >