< Amos 7 >

1 Egemen RAB bana şunu gösterdi: Kralın payına düşen otlar biçilmişti. Otlar yeniden yeşermeye başlarken RAB sürüyle çekirge yaratıyordu.
Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: Alikuwa anaandaa makundi ya nzige baada ya kuvunwa fungu la mfalme na wakati ule tu mimea ya pili ilipokuwa ikichipua.
2 Çekirgeler ülkedeki yeşil bitkileri yiyip bitirince: “Ey Egemen RAB, lütfen halkını bağışla!” dedim, “Yakup soyu buna nasıl dayanır? Zaten küçük bir halk!”
Wakati nzige walikuwa wamekula mimea yote ya nchi, nililia kwa sauti kuu, “Bwana Mwenyezi, samehe! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”
3 Bunun üzerine RAB düşüncesini değiştirdi. “Gerçekleşmeyecek bu” dedi.
Kwa hiyo Bwana akaghairi. Kisha Bwana akasema, “Hili halitatokea.”
4 Egemen RAB bana şunu gösterdi: Baktım, Egemen RAB halkını cezalandırmak için ateşi çağırdı. Ateş enginleri yakıp tüketti, karayı yakıp tüketmeye başladı.
Hili ndilo Bwana Mwenyezi alilonionyesha katika maono: Bwana Mwenyezi alikuwa akiita hukumu ya moto; nao ulikausha vilindi vikuu, ukateketeza nchi.
5 O zaman, “Ey Egemen RAB, lütfen dur!” dedim, “Yakup soyu buna nasıl dayanır? Zaten küçük bir halk!”
Ndipo nikalia, “Bwana Mwenyezi, nakusihi, zuia! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”
6 Bunun üzerine RAB düşüncesini değiştirdi. Egemen RAB, “Bu da gerçekleşmeyecek” dedi.
Kwa hiyo Bwana akaghairi. Bwana Mwenyezi akasema, “Hili nalo halitatokea.”
7 Başka bir görümde şunu gösterdi bana: Baktım, Rab çekül kullanılarak örülmüş dümdüz bir duvarın yanında duruyor; elinde bir çekül var.
Hili ndilo alilonionyesha katika maono: Bwana alikuwa amesimama karibu na ukuta ambao ulikuwa umejengwa kwa timazi, akiwa na uzi wa timazi mkononi mwake.
8 RAB, “Ne görüyorsun, Amos?” diye sordu. Ben de, “Bir çekül” dedim. Bunun üzerine Rab, “İşte, halkım İsrail'in ortasına da bir çekül koyacağım” dedi, “Bir daha onları esirgemeyeceğim.
Naye Bwana akaniuliza, “Je, Amosi unaona nini?” Nikamjibu, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, ninaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli; sitawahurumia tena.
9 “Yok olacak İshak soyunun tapınma yerleri, Yıkılacak İsrail'in kutsal yerleri, Kılıçla yürüyeceğim Yarovam soyunun üstüne.”
“Mahali pa Isaki pa juu pa kuabudia miungu pataangamizwa, na mahali patakatifu pa Israeli pa kuabudia pataharibiwa; kwa upanga wangu nitainuka dhidi ya nyumba ya Yeroboamu.”
10 Beytel'deki Kâhin Amatsya, İsrail Kralı Yarovam'a haber gönderip şöyle dedi: “Amos İsrail'in göbeğinde sana düzen kurdu. Ülke onun bunca sözünü kaldıramaz.
Kisha Amazia kuhani wa Betheli akatuma ujumbe kwa Yeroboamu mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi analeta fitina juu yako katikati ya Israeli. Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.
11 Çünkü Amos diyor ki, “‘Yarovam kılıçla öldürülecek, İsrail halkı kesinlikle ülkesinin dışına, Sürgüne gönderilecek.’”
Kwa kuwa hili ndilo Amosi analosema: “‘Yeroboamu atakufa kwa upanga, na kwa hakika Israeli watakwenda uhamishoni, mbali na nchi yao.’”
12 Bunun üzerine Amatsya Amos'a, “Çek git, ey bilici!” dedi, “Yahuda'ya kaç. Ekmeğini orada kazan. Orada peygamberlik et.
Kisha Amazia akamwambia Amosi, “Nenda zako, ewe mwonaji! Urudi katika nchi ya Yuda. Ujipatie riziki yako huko na kutoa unabii wako.
13 Bir daha Beytel'de peygamberlik etme. Çünkü burası kralın kutsal yeri, krallık tapınağıdır.”
Usiendelee kutoa unabii katika Betheli, kwa sababu hapa ni mahali pa mfalme pa kuabudia na Hekalu la ufalme huu.”
14 Amos, “Ben ne peygamberdim ne de peygamber oğluydum” diye karşılık verdi, “Yalnızca sığır yetiştirirdim. Yabanıl incir ağaçlarına bakardım.
Amosi akamjibu Amazia, “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii, lakini nilikuwa mchungaji wa kondoo na mtunza mikuyu.
15 RAB beni sürünün ardından aldı, ‘Git, halkım İsrail'e peygamberlik et’ dedi.
Lakini Bwana akanitoa kutoka kuchunga kondoo na kuniambia, ‘Nenda, ukawatabirie watu wangu Israeli.’
16 Şimdi kulak ver RAB'bin sözlerine: “‘İsrail'e karşı peygamberlik etme, İshak soyuna karşı konuşma!’ diyorsun.
Sasa basi, sikieni neno la Bwana. Ninyi mnasema, “‘Usitabiri dhidi ya Israeli, na uache kuhubiri dhidi ya nyumba ya Isaki.’
17 Bu yüzden RAB şöyle diyor: ‘Karın kentte fahişe olacak, Oğulların, kızların kılıçtan geçirilecek. Ölçü ipiyle paylaşılacak toprağın, Sen ise kirli sayılan toprakta can vereceksin. İsrail halkı kesinlikle ülke dışına, Sürgüne gönderilecek.’”
“Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana: “‘Mke wako atakuwa kahaba mjini, nao wana wako na binti zako watauawa kwa upanga. Shamba lako litapimwa na kugawanywa, na wewe mwenyewe utafia katika nchi ya kipagani. Nayo Israeli kwa hakika itakwenda uhamishoni, mbali na nchi yao.’”

< Amos 7 >