< 2 Krallar 11 >

1 Ahazya'nın annesi Atalya, oğlunun öldürüldüğünü duyunca, kral soyunun bütün bireylerini yok etmeye çalıştı.
Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme.
2 Ne var ki, Kral Yehoram'ın kızı, Ahazya'nın üvey kızkardeşi Yehoşeva, Ahazya oğlu Yoaş'ı kralın öldürülmek istenen öteki oğullarının arasından alıp kaçırdı ve dadısıyla birlikte yatak odasına gizledi. Çocuğu Atalya'dan gizleyerek kurtarmış oldu.
Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, aliyekuwa pia dada yake Ahazia, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala na kumficha humo ili Athalia asimwone; kwa hiyo hakuuawa.
3 Atalya ülkeyi yönetirken, çocuk altı yıl boyunca RAB'bin Tapınağı'nda dadısıyla birlikte gizlendi.
Alibaki amefichwa pamoja na yaya wake katika Hekalu la Bwana kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.
4 Yedinci yıl Yehoyada haber gönderip Karyalılar'ın ve muhafızların yüzbaşılarını çağırttı. Onları RAB'bin Tapınağı'nda toplayarak onlarla bir antlaşma yaptı. Hepsine RAB'bin Tapınağı'nda ant içirdikten sonra kralın oğlu Yoaş'ı kendilerine gösterdi.
Katika mwaka wa saba, Yehoyada akatumania wakuu wa vikundi vya mamia, na Wakari, na walinzi, nao wakaletwa kwake katika Hekalu la Bwana. Alifanya agano nao na kuwaapisha katika Hekalu la Bwana. Ndipo akawaonyesha mwana wa mfalme.
5 Onlara şu buyrukları verdi: “Şabat Günü göreve gidenlerin üçte biri kral sarayını koruyacak,
Akawaamuru akisema, “Hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Ninyi ambao mko makundi matatu mnaoingia zamu siku ya Sabato, theluthi yenu inayolinda jumba la kifalme,
6 üçte biri Sur Kapısı'nda, üçte biri de muhafızların arkasındaki kapıda bulunacak. Sırayla tapınak nöbeti tutacaksınız.
theluthi nyingine Lango la Suri, na theluthi nyingine lango lililo nyuma ya walinzi, ambao hupeana zamu kulinda Hekalu,
7 Şabat Günü görevleri biten öbür iki bölükteki askerlerin tümü RAB'bin Tapınağı'nın çevresinde durup kralı koruyacak.
nanyi ambao mko katika makundi mengine mawili ambao kwa kawaida hupumzika Sabato, wote mtalinda Hekalu kwa ajili ya mfalme.
8 Herkes yalın kılıç kralın çevresini sarsın, yaklaşan olursa öldürün. Kral nereye giderse, ona eşlik edin.”
Jipangeni kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha yake mkononi. Yeyote anayesogelea safu zenu lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”
9 Yüzbaşılar Kâhin Yehoyada'nın buyruklarını tam tamına uyguladılar. Şabat Günü göreve gidenlerle görevi biten adamlarını alıp Yehoyada'nın yanına gittiler.
Wakuu wa vikosi vya mamia wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, nao wakaja kwa kuhani Yehoyada.
10 Kâhin RAB'bin Tapınağı'ndaki Kral Davut'tan kalan mızraklarla kalkanları yüzbaşılara dağıttı.
Ndipo akawapa wale wakuu mikuki na ngao zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Bwana.
11 Kralı korumak için sunağın ve tapınağın çevresine tapınağın güneyinden kuzeyine kadar silahlı muhafızlar yerleştirildi.
Wale walinzi, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, wakajipanga kumzunguka mfalme, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.
12 Yehoyada kralın oğlu Yoaş'ı dışarı çıkarıp başına taç koydu. Tanrı'nın Yasası'nı da ona verip krallığını ilan ettiler. Onu meshedip alkışlayarak, “Yaşasın kral!” diye bağırdılar.
Yehoyada akamtoa mwana wa mfalme na kumvika taji, akampa nakala ya agano, na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta, nao watu wakapiga makofi na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”
13 Atalya muhafızlarla halkın çıkardığı gürültüyü duyunca, RAB'bin Tapınağı'nda toplananların yanına gitti.
Athalia aliposikia kelele iliyofanywa na walinzi pamoja na watu, akawaendea watu pale penye Hekalu la Bwana.
14 Baktı, kral geleneğe uygun olarak sütunun yanında duruyor; yüzbaşılar, borazan çalanlar çevresine toplanmış. Ülke halkı sevinç içindeydi, borazanlar çalınıyordu. Atalya giysilerini yırtarak, “Hainlik! Hainlik!” diye bağırdı.
Akaangalia, na tazama alikuwako mfalme, akiwa amesimama karibu na nguzo, kama ilivyokuwa desturi. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa pembeni mwa mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wakifurahi na kupiga tarumbeta. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kulia, “Uhaini! Uhaini!”
15 Kâhin Yehoyada yüzbaşılara, “O kadını aradan çıkarın. Ardından kim giderse kılıçtan geçirin” diye buyruk verdi. Çünkü kadının RAB'bin Tapınağı'nda öldürülmesini istemiyordu.
Kuhani Yehoyada akawaagiza majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Hatauawa ndani ya Hekalu la Bwana.”
16 Atalya yakalandı ve sarayın At Kapısı'na götürülüp öldürüldü.
Basi wakamkamata Athalia, na alipofika mahali ambapo farasi huingilia katika viwanja vya jumba la mfalme, wakamuulia hapo.
17 Yehoyada RAB'bin halkı olmaları için RAB ile kral ve halk arasında bir antlaşma yaptı. Ayrıca halkla kral arasında da bir antlaşma yaptı.
Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Bwana na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa Bwana. Akafanya pia agano kati ya mfalme na watu.
18 Ülke halkı gidip Baal'ın tapınağını yıktı. Sunaklarını, putlarını parçaladılar; Baal'ın Kâhini Mattan'ı da sunakların önünde öldürdüler. Kâhin Yehoyada RAB'bin Tapınağı'na nöbetçiler yerleştirdi.
Watu wote wa nchi wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu na sanamu, na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu. Kisha Yehoyada kuhani akawaweka walinzi kwenye Hekalu la Bwana.
19 Sonra yüzbaşıları, Karyalılar'ı, muhafızları ve halkı yanına aldı. Kralı RAB'bin Tapınağı'ndan getirdiler. Muhafızlar Kapısı'ndan geçerek sarayına götürdüler, kral tahtına oturttular.
Pamoja naye akawachukua majemadari wa mamia, Wakari, walinzi na watu wote wa nchi, nao kwa pamoja wakamteremsha mfalme kutoka Hekalu la Bwana na kwenda kwenye jumba la mfalme, wakiingilia njia ya lango la walinzi. Ndipo mfalme akachukua nafasi yake kwenye kiti cha enzi,
20 Ülke halkı sevinç içindeydi, ancak kent suskundu. Çünkü Atalya sarayda kılıçla öldürülmüştü.
nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia, kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga nyumbani kwa mfalme.
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.

< 2 Krallar 11 >