< 2 Tarihler 16 >

1 Yahuda Kralı Asa'nın krallığının otuz altıncı yılında İsrail Kralı Baaşa Yahuda'ya saldırmaya hazırlanıyordu. Asa'nın topraklarına giriş çıkışı engellemek amacıyla, Rama Kenti'ni güçlendirmeye başladı.
Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.
2 Bunun üzerine Asa, RAB'bin Tapınağı'nın ve sarayın hazinelerindeki altın ve gümüşü çıkararak şu haberle birlikte Şam'da oturan Aram Kralı Ben-Hadat'a gönderdi:
Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la Bwana na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski.
3 “Babamla baban arasında olduğu gibi seninle benim aramızda da bir antlaşma olsun. Sana gönderdiğim bu altınlara, gümüşlere karşılık, sen de İsrail Kralı Baaşa ile yaptığın antlaşmayı boz, topraklarımdan askerlerini çeksin.”
Akasema, “Pawepo na mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”
4 Kral Asa'nın önerisini kabul eden Ben-Hadat, ordu komutanlarını İsrail kentlerinin üzerine gönderdi. İyon'u, Dan'ı, Avel-Mayim'i, Naftali'nin bütün ambarlı kentlerini ele geçirdiler.
Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali.
5 Baaşa bunu duyunca Rama'nın yapımını durdurup işe son verdi.
Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake.
6 Kral Asa bütün Yahudalılar'ı çağırttı; Baaşa'nın Rama'nın yapımında kullandığı taşlarla keresteleri alıp götürdüler. Asa bunlarla Geva ve Mispa kentlerini onardı.
Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.
7 O sırada Bilici Hanani Yahuda Kralı Asa'ya gelip şöyle dedi: “Tanrın RAB'be güveneceğine Aram Kralı'na güvendin. Bu yüzden Aram Kralı'nın ordusu elinden kurtuldu.
Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe hukumtegemea Bwana Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi mwako.
8 Kûşlular'la Luvlular, çok sayıda savaş arabaları, atlılarıyla büyük bir ordu değil miydiler? Ama sen RAB'be güvendin, O da onları eline teslim etti.
Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea Bwana yeye aliwatia mkononi mwako.
9 RAB'bin gözleri bütün yürekleriyle kendisine bağlı olanlara güç vermek için her yeri görür. Akılsızca davrandın. Bundan böyle hep savaş içinde olacaksın.”
Kwa kuwa macho ya Bwana hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”
10 Asa biliciye öfkelenip onu cezaevine attırdı. Çünkü söyledikleri onu kızdırmıştı. Halktan bazı kişilere de baskı yaptı.
Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu kwa ukatili.
11 Asa'nın yaptığı işler, başından sonuna dek, Yahuda ve İsrail krallarının tarihinde yazılıdır.
Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
12 Asa, krallığının otuz dokuzuncu yılında ayaklarından hastalandı. Durumu çok ağırdı. Hastalığında RAB'be yöneleceğine hekimlere başvurdu.
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka kwa Bwana bali kwa matabibu tu.
13 Asa krallığının kırk birinci yılında ölüp atalarına kavuştu.
Katika mwaka wa arobaini na moja wa utawala wa Asa, alikufa na kulala na baba zake.
14 Onu özel olarak hazırlanmış, güzel kokulu çeşit çeşit baharat dolu bir sedyeye yatırarak Davut Kenti'nde kendisi için yaptırdığı mezara gömdüler. Onuruna çok büyük bir ateş yaktılar.
Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea mwenyewe katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezi na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.

< 2 Tarihler 16 >