< 1 Timoteos 1 >

1 Kurtarıcımız Tanrı'nın ve umudumuz Mesih İsa'nın buyruğuyla Mesih İsa'nın elçisi atanan ben Pavlus'tan imanda öz oğlum Timoteos'a selam! Baba Tanrı'dan ve Rabbimiz Mesih İsa'dan sana lütuf, merhamet ve esenlik olsun.
Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu,
2
nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.
3 Makedonya'ya giderken sana rica ettiğim gibi, Efes'te kal ve bazı kişilerin farklı öğretiler yaymamasını, masallarla ve sonu gelmeyen soyağaçlarıyla uğraşmamasını öğütle. Bu şeyler, imana dayanan tanrısal düzene hizmet etmekten çok, tartışmalara yol açar.
Napenda ukae huko Efeso, kama nilivyokuomba nilipokuwa ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho ya uongo. Wakomeshe watu hao.
4
Waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani.
5 Bu buyruğun amacı, pak yürekten, temiz vicdandan, içten imandan doğan sevgiyi uyandırmaktır.
Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli.
6 Bazı kişiler bunlardan saparak boş konuşmalara daldılar.
Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.
7 Kutsal Yasa öğretmeni olmak istiyorlar, ama ne söyledikleri sözleri ne de iddialı oldukları konuları anlıyorlar.
Wanapenda kuwa walimu wa Sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.
8 Yasa'yı özüne uygun biçimde kullanan için Yasa'nın iyi olduğunu biliyoruz.
Twajua kwamba Sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.
9 Çünkü biliyoruz ki, Yasa doğrular için değil, yasa tanımayanlarla asiler, tanrısızlarla günahkârlar, kutsallıktan yoksunlarla kutsala karşı saygısız olanlar, anne ya da babasını öldürenler, katiller, fuhuş yapanlar, oğlancılar, köle tüccarları, yalancılar, yalan yere ant içenler ve sağlam öğretiye karşıt olan başka ne varsa onlar için konmuştur.
Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale;
sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.
11 Mübarek Tanrı'nın bana emanet edilen yüce Müjdesi'ne göre bu böyledir.
Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri.
12 Beni güçlendiren Rabbimiz Mesih İsa'ya şükrederim. Çünkü beni güvenilir sayarak hizmetine aldı.
Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu. Namshukuru kwa kuniona mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie,
13 Bir zamanlar O'na küfreden, zalim ve küstah biri olduğum halde bana merhamet edildi. Çünkü ne yaptıysam bilgisizlikten ve imansızlıktan yaptım.
ingawa pale awali mimi nilimtukana na kumtesa na kumdhulumu. Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa ninafanya.
14 Ama Rabbimiz'in lütfu, imanla ve Mesih İsa'da olan sevgiyle birlikte bol bol üzerime döküldü.
Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana na Kristo Yesu.
15 “Mesih İsa günahkârları kurtarmak için dünyaya geldi” sözü, güvenilir ve her bakımdan kabule layık bir sözdür. Günahkârların en kötüsü benim.
Usemi huu ni wa kuaminika, na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote,
16 Ama Mesih İsa, kendisine iman edip sonsuz yaşama kavuşacak olanlara örnek olayım diye sınırsız sabrını öncelikle bende sergilemek için bana merhamet etti. (aiōnios g166)
lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele. (aiōnios g166)
17 Onur ve yücelik sonsuzlara dek bütün çağların Kralı, ölümsüz ve görünmez tek Tanrı'nın olsun! Amin. (aiōn g165)
Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee—kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina. (aiōn g165)
18 Oğlum Timoteos, senin hakkında önceden söylenen peygamberlik sözleri uyarınca, bu buyruğu sana emanet ediyorum. Öyle ki, bu sözlere dayanarak iyi savaşı sürdüresin.
Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,
19 İmana ve temiz vicdana sarıl. Bazıları temiz vicdanı bir yana iterek iman konusunda battılar.
na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine hawakusikiliza dhamiri zao na hivyo wakaiharibu imani yao.
20 Himeneos ve İskender bunlardandır. Küfretmemeyi öğrensinler diye onları Şeytan'a teslim ettim.
Miongoni mwao ni Humenayo na Aleksanda ambao nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.

< 1 Timoteos 1 >