< 1 Korintliler 1 >

1 Tanrı'nın isteğiyle Mesih İsa'nın elçisi olmaya çağrılan ben Pavlus ve kardeşimiz Sostenis'ten Tanrı'nın Korint'teki kilisesine selam! Mesih İsa'da kutsal kılınmış, kutsal olmaya çağrılmış olan sizlere ve hepimizin Rabbi İsa Mesih'in adını her yerde anan herkese Babamız Tanrı'dan ve Rab İsa Mesih'ten lütuf ve esenlik olsun.
Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
2
tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
3
Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
4 Tanrı'nın Mesih İsa'da size bağışladığı lütuftan ötürü sizin için her zaman Tanrım'a şükrediyorum.
Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
5 Mesih'le ilgili tanıklığımız sizde pekiştiği gibi Mesih'te her bakımdan –her tür söz ve bilgi bakımından– zenginleştiniz.
Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
6
kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
7 Şöyle ki, Rabbimiz İsa Mesih'in görünmesini beklerken hiçbir ruhsal armağandan yoksun değilsiniz.
hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
8 Rabbimiz İsa Mesih kendi gününde kusursuz olmanız için sizi sonuna dek pekiştirecektir.
Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Sizleri Oğlu Rabbimiz İsa Mesih'le paydaşlığa çağıran Tanrı güvenilirdir.
Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
10 Kardeşler, Rabbimiz İsa Mesih'in adıyla yalvarıyorum: Hepiniz uyum içinde olun, aranızda bölünmeler olmadan aynı düşünce ve görüşte birleşin.
Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
11 Kardeşlerim, Kloi'nin ev halkından aranızda çekişmeler olduğunu öğrendim.
Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
12 Şunu demek istiyorum: Her biriniz, “Ben Pavlus yanlısıyım”, “Ben Apollos yanlısıyım”, “Ben Kefas yanlısıyım” ya da “Ben Mesih yanlısıyım” diyormuş.
Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, “Mimi ni wa Paulo,” mwingine: “Mimi ni wa Apolo,” mwingine: “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine: “Mimi ni wa Kristo,”.
13 Mesih bölündü mü? Sizin için çarmıha gerilen Pavlus muydu? Pavlus'un adıyla mı vaftiz edildiniz?
Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Hiç kimse benim adımla vaftiz edildiğinizi söylemesin diye Krispus'la Gayus'tan başka hiçbirinizi vaftiz etmediğim için Tanrı'ya şükrediyorum.
Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
16 Evet, bir de İstefanas'ın ev halkını vaftiz ettim; bunun dışında kimseyi vaftiz ettiğimi anımsamıyorum.
(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
17 Çünkü Mesih beni vaftiz etmeye değil, Mesih'in çarmıhtaki ölümü boşa gitmesin diye, bilgece sözlere dayanmaksızın Müjde'yi yaymaya gönderdi.
Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
18 Çarmıhla ilgili bildiri mahva gidenler için saçmalık, biz kurtulmakta olanlar içinse Tanrı gücüdür.
Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
19 Nitekim şöyle yazılmıştır: “Bilgelerin bilgeliğini yok edeceğim, Akıllıların aklını boşa çıkaracağım.”
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
20 Hani nerede bilge kişi? Din bilgini nerede? Nerede bu çağın hünerli tartışmacısı? Tanrı dünya bilgeliğinin saçma olduğunu göstermedi mi? (aiōn g165)
Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu. (aiōn g165)
21 Mademki dünya Tanrı'nın bilgeliği uyarınca Tanrı'yı kendi bilgeliğiyle tanımadı, Tanrı iman edenleri saçma sayılan bildiriyle kurtarmaya razı oldu.
Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
22 Yahudiler doğaüstü belirtiler ister, Grekler'se bilgelik arar.
Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
23 Ama biz çarmıha gerilmiş Mesih'i duyuruyoruz. Yahudiler bunu yüzkarası, öteki uluslar da saçmalık sayarlar.
lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
24 Oysa Mesih, çağrılmış olanlar için –ister Yahudi ister Grek olsun– Tanrı'nın gücü ve Tanrı'nın bilgeliğidir.
lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
25 Çünkü Tanrı'nın “saçmalığı” insan bilgeliğinden daha üstün, Tanrı'nın “zayıflığı” insan gücünden daha güçlüdür.
Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
26 Kardeşlerim, aldığınız çağrıyı düşünün. Birçoğunuz insan ölçülerine göre bilge, güçlü ya da soylu kişiler değildiniz.
Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
27 Ne var ki, Tanrı bilgeleri utandırmak için dünyanın saçma saydıklarını, güçlüleri utandırmak için de dünyanın zayıf saydıklarını seçti.
Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
28 Dünyanın önemli gördüklerini hiçe indirmek için dünyanın önemsiz, soysuz, değersiz gördüklerini seçti.
Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29 Öyle ki, Tanrı'nın önünde hiç kimse övünemesin.
Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30 Ama siz Tanrı sayesinde Mesih İsa'dasınız. O bizim için tanrısal bilgelik, doğruluk, kutsallık ve kurtuluş oldu.
Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31 Bunun için yazılmış olduğu gibi, “Övünen, Rab'le övünsün.”
Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana.”

< 1 Korintliler 1 >