< 1 Tarihler 6 >

1 Levi'nin oğulları: Gerşon, Kehat, Merari.
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
2 Kehat'ın oğulları: Amram, Yishar, Hevron, Uzziel.
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
3 Amram'ın çocukları: Harun, Musa, Miryam. Harun'un oğulları: Nadav, Avihu, Elazar, İtamar.
Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
4 Pinehas Elazar'ın oğluydu. Avişua Pinehas'ın,
Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
5 Bukki Avişua'nın, Uzzi Bukki'nin,
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
6 Zerahya Uzzi'nin, Merayot Zerahya'nın,
Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
7 Amarya Merayot'un, Ahituv Amarya'nın,
Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
8 Sadok Ahituv'un, Ahimaas Sadok'un,
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
9 Azarya Ahimaas'ın, Yohanan Azarya'nın,
Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
10 Azarya Yohanan'ın oğluydu. –Süleyman'ın Yeruşalim'de yaptığı tapınakta kâhinlik eden oydu.–
Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
11 Amarya Azarya'nın, Ahituv Amarya'nın,
Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
12 Sadok Ahituv'un, Şallum Sadok'un,
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
13 Hilkiya Şallum'un, Azarya Hilkiya'nın,
Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
14 Seraya Azarya'nın, Yehosadak Seraya'nın oğluydu.
Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
15 RAB Nebukadnessar aracılığıyla Yahuda ve Yeruşalim halkını sürdüğünde Yehosadak da sürgüne gitmişti.
Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
16 Levi'nin oğulları: Gerşon, Kehat, Merari.
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
17 Gerşon'un oğulları: Livni, Şimi.
Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
18 Kehat'ın oğulları: Amram, Yishar, Hevron, Uzziel.
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
19 Merari'nin oğulları: Mahli, Muşi. Soylarına göre yazılan Levi oymağının boyları şunlardır:
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
20 Gerşon'un soyu: Livni Gerşon'un, Yahat Livni'nin, Zimma Yahat'ın,
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
21 Yoah Zimma'nın, İddo Yoah'ın, Zerah İddo'nun, Yeateray Zerah'ın oğluydu.
Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
22 Kehat'ın soyu: Amminadav Kehat'ın, Korah Amminadav'ın, Assir Korah'ın,
Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
23 Elkana Assir'in, Evyasaf Elkana'nın, Assir Evyasaf'ın,
Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
24 Tahat Assir'in, Uriel Tahat'ın, Uzziya Uriel'in, Şaul Uzziya'nın oğluydu.
Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
25 Elkana'nın öbür oğulları: Amasay, Ahimot.
Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
26 Elkana Ahimot'un, Sofay Elkana'nın, Nahat Sofay'ın,
Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
27 Eliav Nahat'ın, Yeroham Eliav'ın, Elkana Yeroham'ın, Samuel Elkana'nın oğluydu.
Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
28 Samuel'in oğulları: İlk oğlu Yoel, ikincisi Aviya.
Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
29 Merari'nin soyu: Mahli Merari'nin, Livni Mahli'nin, Şimi Livni'nin, Uzza Şimi'nin,
Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
30 Şima Uzza'nın, Hagiya Şima'nın, Asaya Hagiya'nın oğluydu.
Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
31 Antlaşma Sandığı RAB'bin Tapınağı'na taşındıktan sonra Davut'un orada görevlendirdiği ezgiciler şunlardır.
Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
32 Bunlar Süleyman Yeruşalim'de RAB'bin Tapınağı'nı kurana dek Buluşma Çadırı'nda ezgi okuyarak hizmet eder, belirlenmiş kurallar uyarınca görevlerini yerine getirirlerdi.
Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
33 Oğullarıyla birlikte görev yapan kişiler şunlardır: Kehatoğulları'ndan: Ezgici Heman. Heman, İsrail oğlu Levi oğlu Kehat oğlu Yishar oğlu Korah oğlu Evyasaf oğlu Assir oğlu Tahat oğlu Sefanya oğlu Azarya oğlu Yoel oğlu Elkana oğlu Amasay oğlu Mahat oğlu Elkana oğlu Suf oğlu Toah oğlu Eliel oğlu Yeroham oğlu Elkana oğlu Samuel oğlu Yoel'in oğluydu.
Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
39 Heman'ın sağ yanında görev yapan akrabası Asaf. Asaf, Levi oğlu Gerşon oğlu Yahat oğlu Şimi oğlu Zimma oğlu Etan oğlu Adaya oğlu Zerah oğlu Etni oğlu Malkiya oğlu Baaseya oğlu Mikael oğlu Şima oğlu Berekya'nın oğluydu.
na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
44 Heman'ın solunda görev yapan kardeşleri Merarioğulları'ndan: Etan. Etan, Levi oğlu Merari oğlu Muşi oğlu Mahli oğlu Şemer oğlu Bani oğlu Amsi oğlu Hilkiya oğlu Amatsya oğlu Haşavya oğlu Malluk oğlu Avdi oğlu Kiyşi'nin oğluydu.
Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
48 Bunların Levili akrabaları, çadırın, Tanrı'nın Tapınağı'nın bütün görevlerini yerine getirmek üzere atandılar.
Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
49 Ancak, Tanrı kulu Musa'nın buyruğu uyarınca, yakmalık sunu sunağında ve buhur sunağında sunu sunanlar Harun'la oğullarıydı. En Kutsal Yer'de yapılan hizmetlerden ve İsrailliler'in bağışlanması için sunulan kurbanlardan onlar sorumluydu.
Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
50 Harunoğulları şunlardır: Harun'un oğlu Elazar, onun oğlu Pinehas, onun oğlu Avişua,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
51 onun oğlu Bukki, onun oğlu Uzzi, onun oğlu Zerahya,
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
52 onun oğlu Merayot, onun oğlu Amarya, onun oğlu Ahituv,
Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
53 onun oğlu Sadok, onun oğlu Ahimaas.
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
54 İlk kurayı çeken Kehat boyundan Harunoğulları'nın sınırlarına göre yerleşim yerleri şunlardır:
Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
55 Yahuda topraklarındaki Hevron'la çevresindeki otlaklar onlara verildi.
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
56 Kentin tarlalarıyla köyleri ise Yefunne oğlu Kalev'e verildi.
Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 Sığınak kent seçilen Hevron, Livna, Yattir, Eştemoa, Hilen, Devir, Aşan, Yutta, Beytşemeş kentleriyle bunların otlakları Harunoğulları'na verildi.
Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Hileni, Debiri,
Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
60 Benyamin oymağından da Givon, Geva, Alemet, Anatot ve bunların otlakları verildi. Kehat boylarına verilen bu kentlerin toplam sayısı on üçtü.
Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
61 Geri kalan Kehatoğulları'na Manaşşe oymağının yarısına ait boylardan alınan on kent kurayla verildi.
Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
62 Gerşonoğulları'na boy sayısına göre İssakar, Aşer, Naftali ve Başan'daki Manaşşe oymağından alınan on üç kent verildi.
Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 Merarioğulları'na boy sayısına göre Ruben, Gad ve Zevulun oymaklarından alınan on iki kent kurayla verildi.
Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
64 İsrailliler bu kentleri otlaklarıyla birlikte Levililer'e verdiler.
Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
65 Yahuda, Şimon, Benyamin oymaklarından alınan ve yukarıda adları sayılan kentler kurayla verildi.
Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
66 Kehat boyundan bazı ailelere Efrayim oymağından alınan kentler verildi.
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
67 Efrayim dağlık bölgesinde sığınak kent seçilen Şekem, Gezer, Yokmoam, Beythoron, Ayalon, Gat-Rimmon ve bunların otlakları verildi.
Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
Yokmeamu, Beth-Horoni,
Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
70 İsrailliler Manaşşe oymağının yarısından alınan Aner, Bilam ve bunların otlaklarını Kehat boyunun öbür ailelerine verdiler.
Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
71 Aşağıdaki kentler Gerşonoğulları'na verildi: Manaşşe oymağının yarısına ait Başan'daki Golan, Aştarot ve bunların otlakları.
Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
72 İssakar oymağından Kedeş, Daverat, Ramot, Anem ve bunların otlakları.
Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
74 Aşer oymağından Maşal, Avdon, Hukok, Rehov ve bunların otlakları.
Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
76 Naftali oymağından Celile'deki Kedeş, Hammon, Kiryatayim ve bunların otlakları.
Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
77 Merarioğulları'na –geri kalan Levililer'e– aşağıdaki kentler verildi: Zevulun oymağından Rimmono, Tavor ve bunların otlakları.
Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
78 Ruben oymağından Eriha'nın ötesinde, Şeria Irmağı'nın doğusundaki kırda bulunan Beser, Yahsa, Kedemot, Mefaat ve bunların otlakları.
Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
80 Gad oymağından Gilat'taki Ramot, Mahanayim, Heşbon, Yazer ve bunların otlakları.
Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.

< 1 Tarihler 6 >