< 1 Tarihler 24 >

1 Harunoğulları'nın bağlı oldukları bölükler: Harun'un oğulları: Nadav, Avihu, Elazar, İtamar.
Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Nadav'la Avihu babalarından önce, oğul sahibi olamadan öldüler. Onun için Elazar'la İtamar kâhinlik yaptılar.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
3 Davut Elazar soyundan Sadok'la İtamar soyundan Ahimelek'in yardımıyla Harunoğulları'nı yaptıkları göreve göre bölüklere ayırdı.
Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
4 Elazaroğulları arasında İtamaroğulları'ndan daha çok önder olduğundan, buna göre bölündüler: Elazaroğulları'ndan on altı boy başı, İtamaroğulları'ndan ise sekiz boy başı çıktı.
Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
5 Gerek Elazaroğulları, gerekse İtamaroğulları arasında kutsal yerden ve Tanrı'yla ilgili hizmetlerden sorumlu önderler vardı. Bu yüzden atanmaları kayırılmaksızın kurayla yapıldı.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
6 Levili Netanel oğlu Yazman Şemaya, kralın ve görevlileri Kâhin Sadok, Aviyatar oğlu Ahimelek, kâhinler ve Levililer'in boy başlarının gözü önünde kura çekimini kaydetti. Kura sırayla, bir Elazar ailesinden, bir İtamar ailesinden çekildi.
Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
7 Birinci kura Yehoyariv'e düştü, İkincisi Yedaya'ya.
Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
8 Üçüncüsü Harim'e, Dördüncüsü Seorim'e,
ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
9 Beşincisi Malkiya'ya, Altıncısı Miyamin'e,
ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
10 Yedincisi Hakkos'a, Sekizincisi Aviya'ya,
ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
11 Dokuzuncusu Yeşu'ya, Onuncusu Şekanya'ya,
ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
12 On birincisi Elyaşiv'e, On ikincisi Yakim'e,
ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
13 On üçüncüsü Huppa'ya, On dördüncüsü Yeşevav'a,
ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
14 On beşincisi Bilga'ya, On altıncısı İmmer'e,
ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
15 On yedincisi Hezir'e, On sekizincisi Happises'e,
ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
16 On dokuzuncusu Petahya'ya, Yirmincisi Yehezkel'e,
ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
17 Yirmi birincisi Yakin'e, Yirmi ikincisi Gamul'a,
ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
18 Yirmi üçüncüsü Delaya'ya, Yirmi dördüncüsü Maazya'ya düştü.
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
19 İsrail'in Tanrısı RAB'bin buyruğu uyarınca ataları Harun'un verdiği ilkelere göre RAB'bin Tapınağı'na gidip görev yapma sırası buydu.
Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
20 Öbür Levililer: Amramoğulları'ndan Şuvael, Şuvaeloğulları'ndan Yehdeya.
Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
21 Rehavyaoğulları'ndan önder Yişşiya.
Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
22 Yisharoğulları'ndan Şelomot, Şelomotoğulları'ndan Yahat.
Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
23 Hevron'un oğulları: İlk oğlu Yeriya, ikincisi Amarya, üçüncüsü Yahaziel, dördüncüsü Yekamam.
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
24 Uzziel'in oğlu: Mika. Mika'nın oğlu: Şamir.
Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
25 Mika'nın kardeşi: Yişşiya. Yişşiya'nın oğlu: Zekeriya.
Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
26 Merarioğulları: Mahli, Muşi, Yaaziya.
Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
27 Merari'nin torunlarından Yaaziya'nın oğulları: Şoham, Zakkur, İvri.
Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
28 Mahli'den: Elazar. Elazar'ın oğlu olmadı.
Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
29 Kiş'ten: Kiş oğlu Yerahmeel.
Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
30 Muşi'nin oğulları: Mahli, Eder, Yerimot. Levi soyundan gelen boylar bunlardır.
Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
31 Bunlar da kardeşleri Harunoğulları gibi, Kral Davut'un, Sadok'un, Ahimelek'in, kâhinler ve Levililer'in boy başlarının gözü önünde kura çekti. Büyük boy başları da, kardeşleri olan küçük boy başları da kura çektiler.
Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

< 1 Tarihler 24 >