< 1 Tarihler 1 >

1 Adem, Şit, Enoş,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Yeret,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Hanok, Metuşelah, Lemek,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Nuh. Nuh'un oğulları: Sam, Ham, Yafet.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Yafet'in oğulları: Gomer, Magog, Meday, Yâvan, Tuval, Meşek, Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Gomer'in oğulları: Aşkenaz, Difat, Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Yâvan'ın oğulları: Elişa, Tarşiş, Kittim, Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Ham'ın oğulları: Kûş, Misrayim, Pût, Kenan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Kûş'un oğulları: Seva, Havila, Savta, Raama, Savteka. Raama'nın oğulları: Şeva, Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Kûş'un Nemrut adında bir oğlu oldu. Yiğitliğiyle yeryüzüne ün saldı.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Misrayim Ludlular'ın, Anamlılar'ın, Lehavlılar'ın, Naftuhlular'ın, Patruslular'ın, Filistliler'in ataları olan Kasluhlular'ın ve Kaftorlular'ın atasıydı.
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Kenan ilk oğlu Sidon'un babası ve Hititler'in, Yevuslular'ın, Amorlular'ın, Girgaşlılar'ın, Hivliler'in, Arklılar'ın, Sinliler'in, Arvatlılar'ın, Semarlılar'ın, Hamalılar'ın atasıydı.
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Wahivi, Waariki, Wasini,
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Sam'ın oğulları: Elam, Asur, Arpakşat, Lud, Aram, Ûs, Hul, Geter, Meşek.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arpakşat Şelah'ın babasıydı. Şelah'tan Ever oldu.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Ever'in iki oğlu oldu. Birinin adı Pelek'ti, çünkü yeryüzündeki insanlar onun yaşadığı dönemde bölündü. Kardeşinin adı Yoktan'dı.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Yoktan Almodat'ın, Şelef'in, Hasarmavet'in, Yerah'ın, Hadoram'ın, Uzal'ın, Dikla'nın, Eval'ın, Avimael'in, Şeva'nın, Ofir'in, Havila'nın, Yovav'ın atasıydı. Bunların hepsi Yoktan'ın soyundandı.
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
Obali, Abimaeli, Sheba,
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Sam, Arpakşat, Şelah,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Ever, Pelek, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Seruk, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Avram –İbrahim–.
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 İbrahim'in oğulları: İshak, İsmail.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 İsmailoğulları'nın soyu: İsmail'in ilk oğlu Nevayot. Sonra Kedar, Adbeel, Mivsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Mişma, Duma, Massa, Hadat, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Yetur, Nafiş, Kedema gelir. Bunlar İsmail'in oğullarıydı.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 İbrahim'in cariyesi Ketura'nın oğulları: Zimran, Yokşan, Medan, Midyan, Yişbak, Şuah. Yokşan'ın oğulları: Şeva, Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Midyan'ın oğulları: Efa, Efer, Hanok, Avida, Eldaa. Bunların hepsi Ketura'nın soyundandı.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 İshak İbrahim'in oğluydu. İshak'ın oğulları: Esav, İsrail.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Esav'ın oğulları: Elifaz, Reuel, Yeuş, Yalam, Korah.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Elifaz'ın oğulları: Teman, Omar, Sefi, Gatam, Kenaz ve Timna'dan doğan Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Reuel'in oğulları: Nahat, Zerah, Şamma, Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Seir'in oğulları: Lotan, Şoval, Sivon, Âna, Dişon, Eser, Dişan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Lotan'ın oğulları: Hori, Homam. Timna Lotan'ın kızkardeşiydi.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Şoval'ın oğulları: Alyan, Manahat, Eval, Şefi, Onam. Sivon'un oğulları: Aya, Âna.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Âna'nın oğlu: Dişon. Dişon'un oğulları: Hamran, Eşban, Yitran, Keran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Eser'in oğulları: Bilhan, Zaavan, Yaakan. Dişan'ın oğulları şunlardı: Ûs, Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 İsrailliler'i yöneten bir kralın olmadığı dönemde, Edom'u şu krallar yönetti: Beor oğlu Bala. Kentinin adı Dinhava'ydı.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Bala ölünce, yerine Bosralı Zerah oğlu Yovav geçti.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Yovav ölünce, Temanlılar ülkesinden Huşam kral oldu.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Huşam ölünce, Midyan'ı Moav kırlarında bozguna uğratan Bedat oğlu Hadat kral oldu. Kentinin adı Avit'ti.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Hadat ölünce, yerine Masrekalı Samla geçti.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Samla ölünce, yerine Rehovot-Hannaharlı Şaul geçti.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Şaul ölünce, yerine Akbor oğlu Baal-Hanan geçti.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Baal-Hanan ölünce, yerine Hadat geçti. Kentinin adı Pai'ydi. Karısı, Me-Zahav kızı Matret'in kızı Mehetavel'di.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Sonunda Hadat da öldü. Edom beyleri şunlardı: Timna, Alva, Yetet,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholivama, Ela, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenaz, Teman, Mivsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel, İram. Edom beyleri bunlardı.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Tarihler 1 >