< Luk 5 >

1 Alu golo Jisu Gennesaret svparsvlv adarlo dakto ho nyi vdwv Pwknvyarnv gv gaam tvvdubv vla ninyigv kiambv chapcha nyato.
Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu.
2 Nw svparsvlv adarlo svpw anyigo pucha dubv kaapato; ngui naanv vdwv ho kayupila okv vsap a kakdungto.
Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
3 Jisu svpw akonvlo aatoku—hv Saimon gvbv rito—okv ninyia minto achukgo adar lokv nvnglwk tvkv vla. Jisu svpw lo doopv tvla okv nyitwng nga tamsarto.
Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua.
4 Vdwlo nw raanam a raanya tvkudw, nw Saimonnyi minto, “Svpw a adu dubv isi arayabv tunglwkto, okv no la noogv ajin vdwv ngui naanam lvgabv vsap a orlwkto.”
Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, “Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki.”
5 “Tamsarnv,” Saimon minto, “Ngonu siyu harkwng pvnv vbvrijvka oguguka naapama. Vbvritola no vbv mindu nvbolo, ngo vsap vdwa orlwkre.”
Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.”
6 Bunu vsap vdwa orlwkto okv vsap vdwa bokpwk tvdukubv achialv kaibv ngui vkv naatoku.
Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Vkvlvgabv bunu bunugv ajin vdwa pudumsedum labvkv vla goklwkto. Bunu aato okv svpw anyilo ngui v aku dubv naaku namv svpw vdwv isi bv hoolwk tvvtoku.
Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.
8 Ogugo ripvkudw um Saimon Pitar kaagv rikula, nw ninyigv lvpa lvkwnglo Jisu gv habolo gipv tvkula okv minto, “Ahtu! ngoogv lokv vngroto, ngo rimurnv nyi vla!”
Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, “Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!”
9 Nw okv ninyia lvkobv rinv kvvbi mvnwngngv bunugv achialvbv ngui naakunama kaangak nyatoku.
Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.
10 Saimon gv ribam ajin Jibedi gv kuunyilo Jems okv Jon bunyi ka kaangak toku. Jisu Saimonnyi minto, “Busu mabvka; vjak lokv no nyi naakar reku.”
Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu.”
11 Bunu svpw vdwa segumlo pucha toku, ogu mvnwngnga kayupila Jisunyi vngming gvtoku.
Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
12 Jisu lvkogulo Banggu akolo dooto ho hoka nyi ako apin hv yala arwnam lvvma nvgo dooto. Vdwlo nw Jisunyi kaapa tokudw, nw atubongv gipv gvrila okv Jisunyi kodwkkrwkla kooto, “Tamsarnv, no mvngduboloka, no ngam darwk dubv mvlare!”
Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: “Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa.”
13 Jisu ninyigv laakkv idaira linla okv ninyia mvsit toku. “Ngo vbv mvngrung dunv,” nw mirwkto. “Darwk tokukv!” Vjakgobv lvvma ngv nyi hum kayupila vngtoku.
Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, “Nataka, takasika!” Mara ule ukoma ukamwacha.
14 Jisu nyi hum minggapto “Yvvnyika minpa mabvka, vbvritola nyibu gvlo vngdavngra nyika okv ninyia jwngkadaka motoka; vbvrigvrila nyi mvnwngnga chimpakaapa molaka no poorung pvku vla, erin nvsenga jilaka Moses gv minkubv.”
Yesu akamwamuru: “Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.”
15 Vbvritola Jisu gv lvkwnglo kaiyayabv dupwng toku, nyi nyitwng ngv aala ninyigvlo tvvto okv bunugv lvvma vdwlokv pooya dukubv aato.
Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16 Vbvritola nw jematai kolo vngla, hoka nw kumtoku.
Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.
17 Alu golo vdwlo Jisu tamsar rilo, Parisis okv Pvbv tamsarnv nyi mego hoka dooto hoka doonv kvgonv Galili banggu mvnwng lokv okv Judia lokv okv Jerusalem lokv aanvgo. Ahtu gv jwkrw v Jisu gvlo doolwkto lvvma nvnga mvpu dubv.
Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
18 Nyi mego digwngnv nyi go gadw aolo doodubv joolaila aato, okv bunu naam arwng joolwk dubv rikwngto okv ninyia Jisu gv kaagialo joopv jidubv vla.
Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.
19 Nyitwng ngv achialv twngtv kunam lvgalo, bunu ninyia ogoloka arwnglo joolwk jiku mapa matoku. Vkvlvgabv bunu ninyia namwng aolo joocha toku, namwng nga mvkoto, okv ninyia gadw aolo doomu tvla soolu jitoku nyitwng gv pingkolo Jisu gv kaagialo.
Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.
20 Vdwlo Jisu bunugv vkvnvgo achialvbv mvngjwng kunama kaapa tokudw, nw nyi hum minto, “Ngoogv ajin a, noogv rimur vdwa mvngnga jipv kunv.”
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
21 Pvbv tamsarnv vdwv okv Parisis vdwv bunu atu v minrap nyato, “Yvvla so nyi si svkvnvgo nyarjitari dunv! Pwknvyarnv mvngchik rimur vdwa mvngnga mvngdunv!”
Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: “Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!”
22 Jisu bunugv mvngnam a chintoku, okv bunua minto, “Ogubv nonu svkvnvgo mvngdunv?
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
23 So si minpubv minse gure, ‘Noogv rimur vdwa mvngnga ropvku,’ vmalo miya svgure ‘Gudung gvrila okv vnglakuka’?
Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
24 Vbvrinam v, ngo nonua himpa more, Nyia Kuunyilo ngv siching gwngda so jwkrw doodunv rimura mvngnga dubv.” Vkvlvgabv nw digwngnv nyi um minto, “Ngo nam mindunv, gudungto, noogv kartaknvnv nga naarapto, okv naam bv vngnyiku!”
Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani.”
25 Vjakgobv nyi mvnwnggv kaagialo nyi angv gudung toku, ninyigv dootak kartaknvnv nga naatoku, okv Pwknvyarnvnyi hartvla, naam bv vngtoku.
Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu.
26 Bunu mvnwng ngv achialvbv kaangak tangak nyatoku! achialvbv busu datoku, bunu Pwknvyarnvnyi hartv yingla minto “Ngonu silu kaasartabo rungnvgo kaatokubv!”
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
27 So kochingbv, Jisu agumlo vnglinto, okv lampu nakumyanv nyigo kaapato aminv Lebi, ninyigv opislo dooto. Jisu ninyia minto, “Nga vngming gvlaak,”
Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, “Nifuate!”
28 Lebi gudung datoku, ogumvnwngnga kayu toku, okv Jisunyi vngming gvtoku.
Lawi akaacha yote, akamfuata.
29 Vbvrikunamv Jisu gv lvgabv Lebi ninyigv naamlo kainv dvmam go mvpvtoku, okv goklwknam nyen lokv lampu naakumyanv nyi ngv twngtv yato okv kvvbi nyi hvkv ta.
Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao.
30 Parisis nyi megola okv Pvbv tamsarnv nyi mego bunugv apumlo rinvgo bunu Jisu gv lvbwlaksu vdwa miakaayala minto, “Nonu ogubv lampu naayanv vdwa okv toa kunam nyi vdwa dvbam tvngbam dunv?” vla bunu tvuto.
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
31 Jisu bunua mirwkto, “Yvvnyi hv chvrv nvngv daktor lodanv mvngma dvnv, vbvritola v bunu mwng yvvbunudw lvvma dunv.
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
32 Mvngdwnv nyi vdwa mvngdin modubv ngo aama, vbvritola toa kunam vdwgvbv.”
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu.”
33 Nyi mego Jisunyi minto, “Jon gv lvbwlaksu vdwv yikla dookidu okv kumdakumra dvkv, okv Parisis vdwgv lvbwlaksu vdwvkam vbvridu; vbvritola noogv lvbwlaksu vdwv dvki okv twngki nyadu.”
Watu wengine wakamwambia Yesu, “Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.”
34 Jisu mirwkto, “No vbv dvminchok dunvri nyidalo makburiji bongngv najibongv okv ninyigv ajin vdwa doodv mogvrila nyen vdwa ogu dvmatvngma bv vngmu dubvi? Vdwloka vbvrirung mare!
Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao?
35 vbvritola vkvnv alu hv aare vdwlo makburiji bongngv bunugv lokv naarorikudw vbvrikubolo ho bunu yikrap reku.”
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga.”
36 Jisu mindvjito bunua so minchisinam sam: “Yvvka vji jenw nga ariap go pulinla jekulo hamtak lwknv kaama. Nw vbvrikubolo vji jinw nga takmure, okv ho jinw ariap v jekulo ape simare.
Yesu akawaambia mfano huu: “Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.
37 Yvvka anggor ala anw nga anggor ala aku pumchup lo pwtamlwknv kaama, ogulvgavbolo vbvribolo pumchup hv takla anggor ala ngv yarpok linla pumchup hv alv kumare.
Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.
38 Ho mabvya anggor ala anw nga pumchup anw lo pwlwk rungsego!
Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!
39 Okv yvvka anggor ala aku tvnggvrila anw lodanv vla mvngmadvnv. Nw mindu, ‘anggor ala aku v alvyadu.’”
Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi.”

< Luk 5 >