< Luk 15 >

1 Alu golo lampu naakumyanv okv toakunam vdwv achialvgo Jisu gvlo tvvdubv aatoku,
Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
2 Parisis vdwvla Pvbv tamsarnv vdwv minsiminpit rapto, “So nyi si toa kunam vdwa naarwk sidu okv bunua lvkobvka dvbam tvdu!”
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”
3 Vkvlvgabv Jisu bunua so minchisinam sum mintam toku:
Yesu akawajibu kwa mfano:
4 “Vkv aingbv nonugv lokv akonv svlar ngv lwnggo doore okv bunugv lokv akonyi ngemure-nw ogu rireku? Nw chamkia gula kia nga nvmwnglo kayupila okv ngenv akin a kaapama dvdvlo makar reku.
“Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
5 Vdwlo nw mapa rikudw nw achialvbv mvngpu laku hum ninyigv gorbwnglo vvpv toku.
Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.
6 Okv um naam lo bakkor lwktoku. Vbvrikunamv nw ninyigv ajin vdwa okv namrwk vdwa gokkum tokula bunua mintoku, ‘Ngo achialvbv mvngpu duku ngo ngoogv svlar ngenv anga paakunamv. Klvi ngonu naayap lakuju!’
Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea.
7 Ho apiabv, ngo nonua mindunv, nyidomooku tolo hum kaiyabv mvngpure rimurnv nyi go mvngdin kubolo chamkia gula kia yvv mvngdin kusegu kaakumanv mamsenga.”
Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
8 “Vmalo nyimv nvgo ain lokdwng charring go doonv chargunyi ngemu toku—nw ogu ripvku? Nw mvdurrupum a baanu toku, ninyigv naam a pakak toku, okv kaapama dvdvlobv um alvyaungbv kaakar toku.
“Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.
9 Vdwlo nw hum kaapa tokudw, nw ninyigv ajin vdwa okv namrwk ajin vdwa gokdum sitoku, okv bunua mintoku, ‘Ngo achialvbv mvngpu dukunv ngo ngoogv ngemu kunam lokdwng nga paapvku. Klvi ngonu naayap lakuju!’
Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
10 Ngo nonua mindu, ho apiabv rimurnv nyi gunv mvngdin kubolo vkvgv aolo Pwknvyarnv gv gindungpingko vdwv achialvbv mvngpu yadunv.”
Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.”
11 Jisu mimbwngla minto, “Ho hoka nyi akonv nw kuunyilo anyigo dooto.
Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
12 Boruya angv ninyia minto, ‘Abu, vjak yikungyira ngo gvnga ngam jilabv,’ Vkvlvgabv abu hv yikungyira vdwa kuunyilo anyi gv pingkolo orpin sitoku.
Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake.
13 Lonyi loum kochinglo boruya angv ninyigv yikungyira vdwa pyoktoku okv morko nga gvtokula naam a vngyu toku. Nw adu koko mookulo vngtoku, hoka nw rikunamv ninyigv morko nga mvnam mvsubv mva toku.
Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.
14 Nw vdwgo gvku bvdw hum mvnwngnga mva toku. Vbvrikunamv dvmayarwng go ho mooku hoka vngtoku, okv nw hoka oguka kaaku mabv ramkar toku.
Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.
15 Vkvlvgabv nw ho mookugv nyi gonvgv lvgabv kudungkua riji dukubv vngtoku, hv ninyia ninyigv rongo adukolo lo vrik kaaria modubv vnglin motoku.
Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
16 Nw ninyigv dvse a vrik gv dvnam dvku lokv dvsu tvnvpv mvngto, vbvritola yvvka ninyia dvnam jinv kaama toku.
Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.
17 Anyung anya nga ninyigv haapok lo mvngchin raptoku okv mintoku, ‘Ngo Abu gv nyi riria modubv goknam mvnwng hvka bunu dvnam a dvlv kumabv dvmin duku, okv ngo soka kano gvbv sakap tvya dukunv!
Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
18 Ngo gudung reku okv Abu gvlo vngreku, okv minreku, Abu, ngo Pwknvyarnv nyila okv nam la rinyingla rimur tokubv.
Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia.
19 Ngo noogv kuunyilo ngv vla mindubv riya kuma; no nga noogv riria nvbv goknam nyi ako bv mvngla kubvka,’
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
20 Vkvlvgabv nw gudung toku okv ninyigv Abu gvlo vla vngkur raptoku. “Nw vjakgobv naam vngchi sengv lamtv ngv adudvto hoka ninyigv Abu hv ninyia kaapa toku; nw haapok v hau toku, okv nw joktoku, okv ninyigv laak hv ninyigv kuunyilo nga jarbwng toku, okv ninyia moopupdvtak toku.
Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
21 Kuunyilo ngv mintoku, ‘Abu, ngo Pwknvyarnv nyila nam la rinyingla rimur tokubv. Ngo noogv kuunyilo ngv vla mindubv riya kuma.’
“Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.
22 Vbvritola Abu hv ninyigv pakbu vdwa goktoku. ‘Baapubv!’ nw minto. ‘Jvtvlaklwk alvyachok nvnga bvnglwkto okv ninyia pilwkto. Ninyigv lakchinglo lakchup go pilwkto okv ninyigv lvpa lo lvsup goka.
Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!
23 Vbvrikunamv vngnyika okv svbv bakboknv akonyi paala hum mvki tvka, okv klvi ngonu naayapla dvpam go pamla kuju!
Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!
24 Ngoogv kuunyilo angv si sirokunv ngv, vbvritola vjak nw turpvku; nw ngooro kunvngv, vbvritola vjak ninyia paapv kunv.’ Okv vkvlvgabv dvpam ha pamrap toku.”
Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe.
25 “Vbvrire hoka kuunyilo achi yangv agum rongolo rito. Ninyigv lamtvlo vngkur rikulo, vdwlo naam aachidvlv bv riri hoka, nw giomin okv soomin namgv sidu a tvvpa toku.
“Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.
26 Vkvlvgabv nw pakbu ako goklwkla okv ninyia tvvkato, ‘Ogugo ridung dunvla?’
Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
27 ‘Noogv boruv naam aakur pvku,’ pakbuv mirwkto, ‘Okv noogv Abu svbv babok yachok nvgonyi paki pvkunv, ogulvgavbolo nw ninyia ayak alvdvkubv paakunam lvgabv.’
Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
28 Achi yangv achialvbv kvchakbriak laila nw naam arwnglo aamato; vkvlvgabv ninyigv Abu agumlo linto okv ninyia arwng aatokv vla kodwkkrwkla minto.
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
29 Vbvritola nw ninyigv Abunyi mirwksito, ‘Kaatoka, anying mvnwnglo ngo nyira jvbv noogv lvgabv kudungkua nga rijito, okv ngo noogv minam a vdwloka tvvmabv rinam kaama. No nga ogugo jipv? Ngoogv ajin vdwaka lvkobv dvpam dvgv laka vla yabin akoka ka jinam kaama!
Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu!
30 Vbvritola noogv kuunyilo angv si noogv yikungyira mvnwngnga randi vdwlo mva nvmin kunvngv, okv vdwlo nw naam aakur kunamv no ninyigv lvgabv svbv bakbok nvgonyi paki jiminla!’
Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.
31 Abu v mirwkto, ‘Ngoogv kuunyilo nga,’ ‘no ngam alu loki a lvkobv doobwng kunvngv, okv ngo ogugo doopv kudw mvnwngngv nokvku.
Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.
32 Vbvritola ngonuv naayap segorung okv mvngpu segorung, ogulvgavbolo no gv boruv siro kunvngv, vbvritola vjak nw turpvku; nw ngero toku, vbvritola vjak ninyia paapvku.’”
Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.”

< Luk 15 >