< Psaltaren 20 >

1 För sångmästaren; en psalm av David. HERREN bönhöre dig på nödens dag, Jakobs Guds namn beskydde dig.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Han sände dig hjälp från helgedomen, och stödje dig från Sion.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Han tänke på alla dina spisoffer och upptage med välbehag ditt brännoffer. (Sela)
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Han give dig vad ditt hjärta begär och fullborde alla dina rådslag.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Må vi få jubla över din seger och i vår Guds namn resa upp baneret; HERREN uppfylle alla dina böner.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Nu vet jag att HERREN giver seger åt sin smorde; han svarar honom från sin heliga himmel, genom väldiga gärningar giver hans högra hand seger.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 De andra prisa vagnar, de prisa hästar, men vi prisa HERRENS, vår Guds, namn.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 De sjunka ned och falla, men vi resa oss upp och bliva beståndande.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 HERRE, giv seger; ja, konungen svare oss på den tid då vi ropa.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psaltaren 20 >