< Job 41 >

1 Kan du draga upp Leviatan med krok och med en metrev betvinga hans tunga?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Kan du sätta en sävhank i hans nos eller borra en hake genom hans käft?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 Menar du att han skall slösa på dig många böner eller tala till dig med mjuka ord?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 Att han skall vilja sluta fördrag med dig, så att du finge honom till din träl för alltid?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Kan du hava honom till leksak såsom en fågel och sätta honom i band åt dina tärnor?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Pläga fiskarlag köpslå om honom och stycka ut hans kropp mellan krämare?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Kan du skjuta hans hud full med spjut och hans huvud med fiskharpuner?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Ja, försök att bära hand på honom du skall minnas den striden och skall ej föra så mer.
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Nej, den sådant vågar, hans hopp bliver sviket, han fälles till marken redan vid hans åsyn.
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Så oförvägen är ingen, att han törs reta denne. Vem vågar då sätta sig upp mot mig själv?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Vem har först givit mig något, som jag alltså bör betala igen? Mitt är ju allt vad som finnes under himmelen.
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Jag vill ej höra upp att tala om hans lemmar, om huru väldig han är, och huru härligt han är danad.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Vem mäktar rycka av honom hans pansar? Vem vågar sig in mellan hans käkars par?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Hans gaps dörrar, vem vill öppna dem? Runtom hans tänder bor ju förskräckelse.
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 Stolta sitta på honom sköldarnas rader; hopslutna äro de med fast försegling.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 Tätt fogar sig den ena intill den andra, icke en vindfläkt tränger in mellan dem.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 Var och en håller ihop med den nästa, de gripa in i varandra och skiljas ej åt.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 När han fnyser, strålar det av ljus; hans blickar äro såsom morgonrodnadens ögonbryn.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Bloss fara ut ur hans gap, eldgnistor springa fram därur.
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Från hans näsborrar utgår rök såsom ur en sjudande panna på bränslet.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Hans andedräkt framgnistrar eldkol, och lågor bryta fram ur hans gap.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 På hans hals har kraften sin boning, och framför honom stapplar försagdhet.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 Själva det veka på hans buk är ett stadigt fogverk, det sitter orubbligt, såsom gjutet på honom.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 Hans hjärta är fast såsom sten, fast såsom bottenstenen i kvarnen.
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 När han reser sig, bäva hjältar, av ångest mista de all sans.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 Angripes han med ett svärd, så håller det ej stånd, ej heller spjut eller pil eller pansar.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 Han aktar järn såsom halm och koppar såsom murket trä.
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 Bågskott skrämma honom ej bort, slungstenar förvandlas för honom till strå;
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 ja, stridsklubbor aktar han såsom strå, han ler åt rasslet av lansar.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 På sin buk bär han skarpa eggar, spår såsom av en tröskvagn ristar han i dyn.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 Han gör djupet sjudande som en gryta, likt en salvokokares kittel förvandlar han vattnet.
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 Bakom honom strålar vägen av ljus, djupet synes bära silverhår.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Ja, på jorden finnes intet som är honom likt, otillgänglig för fruktan skapades han.
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 På allt vad högt är ser han med förakt, konung är han över alla stolta vilddjur.
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Job 41 >