< Job 31 >

1 Ett förbund slöt jag med mina ögon: aldrig skulle jag skåda efter någon jungfru.
Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
2 Vilken lott finge jag eljest av Gud i höjden, vilken arvedel av den Allsmäktige därovan?
Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
3 Ofärd kommer ju över de orättfärdiga, och olycka drabbar ogärningsmän.
Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
4 Ser icke han mina vägar, räknar han ej alla mina steg?
Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
5 Har jag väl umgåtts med lögn, och har min fot varit snar till svek?
Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
6 Nej, må jag vägas på en riktig våg, så skall Gud förnimma min ostrafflighet.
na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
7 Hava mina steg vikit av ifrån vägen, har mitt hjärta följt efter mina ögon, eller låder vid min händer en fläck?
Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
8 Då må en annan äta var jag har sått, och vad jag har planterat må ryckas upp med roten.
na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
9 Har mitt hjärta låtit dåra sig av någon kvinna, så att jag har stått på lur vid min nästas dörr?
Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
10 Då må min hustru mala mjöl åt en annan, och främmande män må då famntaga henne.
na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
11 Ja, sådant hade varit en skändlighet, en straffbar missgärning hade det varit,
Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
12 en eld som skulle förtära intill avgrunden och förhärja till roten all min gröda.
Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
13 Har jag kränkt min tjänares eller tjänarinnas rätt, när de hade någon tvist med mig?
Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
14 Vad skulle jag då göra, när Gud stode upp, och när han hölle räfst, vad kunde jag då svara honom?
kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
15 Han som skapade mig skapade ju och dem i moderlivet, han, densamme, har berett dem i modersskötet.
Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
16 Har jag vägrat de arma vad de begärde eller låtit änkans ögon försmäkta?
kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
17 Har jag ätit mitt brödstycke allena, utan att den faderlöse och har fått äta därav?
au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
18 Nej, från min ungdom fostrades han hos mig såsom hos en fader, och från min moders liv var jag änkors ledare.
kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
19 Har jag kunnat se en olycklig gå utan kläder, se en fattig ej äga något att skyla sig med?
ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
20 Måste ej fastmer hans länd välsigna mig, och fick han ej värma sig i ull av mina lamm?
ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
21 Har jag lyft min hand mot den faderlöse, därför att jag såg mig hava medhåll i porten?
ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
22 Då må min axel lossna från sitt fäste och min arm brytas av ifrån sin led.
Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
23 Jag måste då frukta ofärd ifrån Gud och skulle stå maktlös inför hans majestät.
Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
24 Har jag satt mitt hopp till guldet och kallat guldklimpen min förtröstan?
Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
25 Var det min glädje att min rikedom blev så stor, och att min hand förvärvade så mycket?
na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
26 Hände det, när jag såg solljuset, huru det sken, och månen, huru härligt den gick fram,
Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
27 att mitt hjärta hemligen lät dåra sig, så att jag med handkyss gav dem min hyllning?
na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
28 Nej, också det hade varit en straffbar missgärning; därmed hade jag ju förnekat Gud i höjden.
hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
29 Har jag glatt mig åt min fiendes ofärd och fröjdats, när olycka träffade honom?
Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
30 Nej, jag tillstadde ej min mun att synda så, ej att med förbannelse begära hans liv.
Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
31 Och kan mitt husfolk icke bevittna att envar fick mätta sig av kött vid mitt bord?
Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
32 Främlingen behövde ej stanna över natten på gatan, mina dörrar lät jag stå öppna utåt vägen.
(hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
33 Har jag på människovis skylt mina överträdelser och gömt min missgärning i min barm,
Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
34 av fruktan för den stora hopen och av rädsla för stamfränders förakt, så att jag teg och ej gick utom min dörr?
kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
35 Ack att någon funnes, som ville höra mig! Jag har sagt mitt ord. Den Allsmäktige må nu svara mig; ack att jag finge min vederparts motskrift!
Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
36 Sannerligen, jag skulle då bära den högt på min skuldra, såsom en krona skulle jag fästa den på mig.
Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
37 Jag ville då göra honom räkenskap för alla mina steg, lik en furste skulle jag då träda inför honom.
Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
38 Har min mark höjt rop över mig, och hava dess fåror gråtit med varandra?
Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
39 Har jag förtärt dess gröda obetald eller utpinat dess brukares liv?
ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
40 Då må törne växa upp för vete, och ogräs i stället för korn. Slut på Jobs tal.
ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.

< Job 31 >