< Job 18 >

1 Därefter tog Bildad från Sua till orda och sade:
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 Huru länge skolen I gå på jakt efter ord? Kommen till förstånd; sedan må vi talas vid.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 Varför skola vi aktas såsom oskäliga djur, räknas i edra ögon såsom ett förstockat folk?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 Du som i din vrede sliter sönder dig själv, menar du att dör din skull jorden skall bliva öde och klippan flyttas bort från sin plats?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 Nej, den ogudaktiges ljus skall slockna ut, och lågan av hans eld icke giva något sken.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 Ljuset skall förmörkas i hans hydda, och lampan slockna ut för honom.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 Hans väldiga steg skola stäckas, hans egna rådslag bringa honom på fall.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 Ty han rusar med sina fötter in i nätet, försåten lura, där han vandrar fram;
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 snaran griper honom om hälen, och gillret tager honom fatt;
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 garn till att fånga honom äro lagda på marken och snärjande band på hans stig.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 Från alla sidor ängsla honom förskräckelser, de jaga honom, varhelst han går fram.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 Olyckan vill uppsluka honom, och ofärd står redo, honom till fall.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 Under hans hud frätas hans lemmar bort, ja, av dödens förstfödde bortfrätas hans lemmar.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 Ur sin hydda, som han förtröstar på, ryckes han bort, och till förskräckelsernas konung vandrar han hän.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 I hans hydda får främlingar bo, och svavel utströs över hans boning.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 Nedantill förtorkas hans rötter, och ovantill vissnar hans krona bort.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 Hans åminnelse förgås ifrån jorden, hans namn lever icke kvar i världen.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 Från ljus stötes han ned i mörker och förjagas ifrån jordens krets.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 Utan barn och avkomma bliver han i sitt folk, och ingen i hans boningar skall slippa undan.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Över hans ofärdsdag häpna västerns folk, och österns män gripas av rysning.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Ja, så sker det med den orättfärdiges hem, så går det dens hus, som ej vill veta av Gud.
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”

< Job 18 >