< Job 13 >

1 Ja, alltsammans har mitt öga sett, mitt öra har hört det och nogsamt givit akt.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Vad I veten, det vet också jag; icke står jag tillbaka för eder.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Men till den Allsmäktige vill jag nu tala, det lyster mig att gå till rätta med Gud.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Dock, I ären män som spinna ihop lögn, allasammans hopsätten I fåfängligt tal.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Om I ändå villen alldeles tiga! Det kunde tillräknas eder som vishet.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Hören nu likväl mitt klagomål, och akten på mina läppars gensagor.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Viljen I försvara Gud med orättfärdigt tal och honom till förmån bruka oärligt tal?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Skolen I visa eder partiska för honom eller göra eder till sakförare för Gud?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Icke kan sådant ändas väl, när han håller räfst med eder? Eller kunnen I gäckas med honom, såsom man kan gäckas med en människa?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Nej, förvisso skall han straffa eder, om I visen en hemlig partiskhet.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Sannerligen, hans majestät skall då förskräcka eder, och fruktan för honom skall falla över eder.
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Edra tänkespråk skola då bliva visdomsord av aska, edra försvarsverk varda såsom vallar av ler.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Tigen nu för min, så skall jag tala, gånge så över mig vad det vara må.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Ja, huru det än går, vill jag fatta mitt kött mellan tänderna och taga min själ i min hand.
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Må han dräpa mig, jag hoppas intet annat; min vandel vill jag ändå hålla fram inför honom.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Redan detta skall lända mig till frälsning, ty ingen gudlös dristar komma inför honom.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Hören, hören då mina ord, och låten min förklaring tränga in i edra öron.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Se, här lägger jag saken fram; jag vet att jag skall befinnas hava rätt.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Eller gives det någon som kan vederlägga mig? Ja, då vill jag tiga -- och dö.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Allenast två ting må du ej göra mot mig, så behöver jag ej dölja mig inför ditt ansikte:
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 din hand må du ej låta komma mig när, och fruktan för dig må icke förskräcka mig.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Sedan må du åklaga, och jag vill svara, eller ock skall jag tala, och du må gendriva mig.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Huru är det alltså med mina missgärningar och synder? Låt mig få veta min överträdelse och synd.
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Varför döljer du ditt ansikte och aktar mig såsom din fiende?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Vill du skrämma ett löv som drives av vinden, vill du förfölja ett borttorkat strå?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Du skriver ju bedrövelser på min lott och giver mig till arvedel min ungdoms missgärningar;
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 du sätter mina fötter i stocken, du vaktar på alla vägar, för mina fotsulor märker du ut stegen.
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 Och detta mot en som täres bort lik murket trä, en som liknar en klädnad sönderfrätt av mal!
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Job 13 >