< 1 Mosebok 10 >

1 Detta är berättelsen om Noas söners släkt. De voro Sem, Ham och Jafet; och åt dem föddes söner efter floden.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 Jafets söner voro Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesek och Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Gomers söner voro Askenas, Rifat och Togarma.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Javans söner voro Elisa och Tarsis, kittéerna och dodanéerna.
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 Från dessa hava inbyggarna i hedningarnas Havsländer utbrett sig i sina länder, var efter sitt tungomål, efter sina släkter, i sina folk.
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Hams söner voro Kus, Misraim, Put och Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Kus' söner voro Seba, Havila, Sabta, Raema och Sabteka. Raemas söner voro Saba och Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Men Kus födde Nimrod; han var den förste som upprättade ett välde på jorden.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 Han var ock en väldig jägare inför HERREN; därför plägar man säga: "En väldig jägare inför HERREN såsom Nimrod."
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 Och hans rike hade sin begynnelse i Babel, Erek, Ackad och Kalne, i Sinears land.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 Från det landet drog han sedan ut till Assyrien och byggde Nineve, Rehobot-Ir och Kela,
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
12 och därtill Resen mellan Nineve och Kela; detta är "den stora staden".
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 Och Misraim födde ludéerna, anaméerna, lehabéerna, naftuhéerna,
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
14 patroséerna, kasluhéerna, från vilka filistéerna hava utgått, och kaftoréerna.
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Och Kanaan födde Sidon, som var hans förstfödde, och Het,
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 så ock jebuséerna, amoréerna, girgaséerna,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
17 hivéerna, arkéerna, sinéerna,
Mhivi, Mwarki, Msini,
18 arvadéerna, semaréerna och hamatéerna. Sedan utgrenade sig kananéernas släkter allt vidare,
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 så att kananéernas område sträckte sig från Sidon fram emot Gerar ända till Gasa, och fram emot Sodom, Gomorra, Adma och Seboim ända till Lesa.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 Dessa voro Hams söner, efter deras släkter och tungomål, i deras länder och folk.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 Söner föddes ock åt Sem, Jafets äldre broder, som blev stamfader för alla Ebers söner.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 Sems söner voro Elam, Assur, Arpaksad, Lud och Aram.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 Arams söner voro Us, Hul, Geter och Mas.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 Arpaksad födde Sela, och Sela födde Eber.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 Men åt Eber föddes två söner; den ene hette Peleg, ty i hans tid blev jorden fördelad; och hans broder hette Joktan.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 Och Joktan födde Almodad, Selef, Hasarmavet, Jera,
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Hadoram, Usal, Dikla,
Hadoram, Uzali, Dikla,
28 Obal, Abimael, Saba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 Ofir, Havila och Jobab; alla dessa voro Joktans söner.
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Och de hade sina boningsorter från Mesa fram emot Sefar, emot Östra berget.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 Dessa voro Sems söner, efter deras släkter och tungomål, i deras länder, efter deras folk.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 Dessa voro Noas söners släkter, efter deras ättföljd, i deras folk. Och från dem hava folken efter floden utbrett sig på jorden.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.

< 1 Mosebok 10 >