< 2 Krönikeboken 33 >

1 Manasse var tolv år gammal, när han blev konung, och han regerade femtiofem år i Jerusalem.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
2 Han gjorde vad ont var i HERRENS ögon, efter den styggeliga seden hos de folk som HERREN hade fördrivit för Israels barn.
Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
3 Han byggde åter upp de offerhöjder som hans fader Hiskia hade brutit ned, och reste altaren åt Baalerna och gjorde Aseror, och tillbad och tjänade himmelens hela härskara.
Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
4 Ja, han byggde altaren i HERRENS hus, det om vilket HERREN hade sagt: "I Jerusalem skall mitt namn vara till evig tid."
Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
5 Han byggde altaren åt himmelens hela härskara på de båda förgårdarna till HERRENS hus.
Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
6 Han lät ock sina barn gå genom eld i Hinnoms sons dal och övade teckentyderi, svartkonst och trolldom och skaffade sig andebesvärjare och spåmän och gjorde mycket som var ont i HERRENS ögon, så att han förtörnade honom.
Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
7 Och avgudabelätet som han hade låtit göra satte han i Guds hus, om vilket Gud hade sagt till David och till hans son Salomo: "Vid detta hus och vid Jerusalem, som jag har utvalt bland alla Israels stammar, vill jag fästa mitt namn för evig tid.
Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
8 Och jag skall icke mer låta Israel vandra bort ifrån det land som jag har bestämt åt edra fäder, om de allenast hålla och göra allt vad jag har bjudit dem, alldeles efter den lag, de stadgar och rätter som de hava fått genom Mose."
Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
9 Men Manasse förförde Juda och Jerusalems invånare, så att de gjorde mer ont än de folk som HERREN hade förgjort för Israels barn.
Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
10 Och HERREN talade till Manasse och hans folk, men de aktade icke därpå.
Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
11 Då lät HERREN den assyriske konungens härhövitsmän komma över dem; de slogo Manasse i bojor och fängslade honom med kopparfjättrar och förde honom till Babel.
Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
12 Men när han nu var i nöd, bön föll han inför HERREN, sin Gud, och ödmjukade sig storligen för sina fäders Gud.
Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
13 Och när han så bad till honom, lät han beveka sig och hörde hans bön och lät honom komma tillbaka till Jerusalem såsom konung. Och då besinnade Manasse att HERREN är Gud.
Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
14 Därefter byggde han en yttre mur till Davids stad västerut mot Gihon i dalen, intill Fiskporten, och runt omkring Ofel, och gjorde den mycket hög. Och han insatte krigshövitsmän i alla befästa städer i Juda.
Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
15 Och han skaffade bort de främmande gudarna och avgudabelätet ur HERRENS hus, så ock alla de altaren som han hade byggt på det berg där HERRENS hus stod och i Jerusalem, och kastade dem utanför staden.
Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
16 Och han upprättade HERRENS altare och offrade tackoffer och lovoffer därpå, och uppmanade Juda att tjäna HERREN, Israels Gud.
Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
17 Men folket offrade ännu på höjderna, dock allenast åt HERREN, sin Gud.
Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
18 Vad nu mer är att säga om Manasse och om hans bön till sin Gud och om de ord som siarna talade till honom i HERRENS, Israels Guds, namn, det står i Israels konungars krönika.
Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
19 Och om hans bön och huru han blev bönhörd, och om all hans synd och otrohet, och om de platser på vilka han byggde offerhöjder och ställde upp sina Aseror och beläten, innan han ödmjukade sig, härom är skrivet i Hosais krönika.
Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
20 Och Manasse gick till vila hos sina fäder, och man begrov honom där han bodde. Och hans son Amon blev konung efter honom.
Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
21 Amon var tjugutvå år gammal, när han blev konung, och han regerade två år i Jerusalem.
Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
22 Han gjorde vad ont var i HERRENS ögon, såsom hans fader Manasse hade gjort; åt alla de beläten som hans fader Manasse hade låtit göra offrade Amon, och han tjänade dem.
Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
23 Men han ödmjukade sig icke för HERREN, såsom hans fader Manasse hade gjort, utan denne Amon hopade skuld på skuld.
Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
24 Och hans tjänare sammansvuro sig mot honom och dödade honom hemma i hans hus.
Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
25 Men folket i landet dräpte alla som hade sammansvurit sig mot konung Amon. Därefter gjorde folket i landet hans son Josia till konung efter honom.
Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.

< 2 Krönikeboken 33 >