< 1 Krönikeboken 8 >

1 Och Benjamin födde Bela, sin förstfödde, Asbel, den andre, och Ahara, den tredje,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha, den fjärde, och Rafa, den femte.
Noha, na Rafa.
3 Bela hade följande söner: Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naaman, Ahoa,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sefufan och Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Och dessa voro Ehuds söner, och de voro familjehuvudmän för dem som bodde i Geba, och som blevo bortförda till Manahat,
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 dit Gera jämte Naaman och Ahia förde bort dem: han födde Ussa och Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Och Saharaim födde barn i Moabs land, sedan han hade skilt sig från sina hustrur, Husim och Baara;
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 med sin hustru Hodes födde han där Jobab, Sibja, Mesa, Malkam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeus, Sakeja och Mirma. Dessa voro hans söner, huvudmän för familjer.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Med Husim hade han fött Abitub och Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Och Elpaals söner voro Eber, Miseam och Semed. Han var den som byggde Ono och Lod med underlydande orter.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Beria och Sema -- vilka voro familjehuvudmän för Ajalons invånare och förjagade Gats invånare --
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 så ock Ajo, Sasak och Jeremot.
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Och Sebadja, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mikael, Jispa och Joha voro Berias söner.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Och Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Jismerai, Jislia och Jobab voro Elpaals söner.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Och Jakim, Sikri, Sabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Silletai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaja, Beraja och Simrat voro Simeis söner.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Och Jispan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Sikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananja, Elam, Antotja,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Jifdeja och Peniel voro Sasaks söner.
Ifdeia, na Penueli.
26 Och Samserai, Seharja, Atalja,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaaresja, Elia och Sikri voro Jerohams söner.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Dessa vore huvudman för familjer, huvudmän efter sin ättföljd; de bodde i Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 I Gibeon bodde Gibeons fader, vilkens hustru hette Maaka.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Och hans förstfödde son var Abdon; vidare Sur, Kis, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ajo och Seker.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Men Miklot födde Simea. Också dessa bodde jämte sina bröder i Jerusalem, gent emot sina bröder.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Och Ner födde Kis, Kis födde Saul, och Saul födde Jonatan, Malki-Sua, Abinadab och Esbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Jonatans son var Merib-Baal, och Merib-Baal födde Mika.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Mikas söner voro Piton, Melek, Taarea och Ahas.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahas födde Joadda, Joadda födde Alemet, Asmavet och Simri, och Simri födde Mosa.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Mosa födde Binea. Hans son var Rafa; hans son var Eleasa; hans son var Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Och Asel hade sex söner, och dessa hette Asrikam, Bokeru, Ismael, Searja, Obadja och Hanan. Alla dessa voro Asels söner.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Och hans broder Eseks söner voro Ulam, hans förstfödde, Jeus, den andre, och Elifelet, den tredje.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Och Ulams söner voro tappra stridsmän, som voro skickliga i att spänna båge; och de hade många söner och sonsöner: ett hundra femtio. Alla dessa voro av Benjamins barn
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Krönikeboken 8 >