< 1 Krönikeboken 24 >

1 Och Arons söner hade följande avdelningar: Arons söner voro Nadab och Abihu, Eleasar och Itamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Men Nadab och Abihu dogo före sin fader; och de hade inga söner. Så blevo allenast Eleasar och Itamar präster.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Och David jämte Sadok, av Eleasars söner, och Ahimelek, av Itamars söner, indelade dem och bestämde den ordning i vilken de skulle göra tjänst.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Då nu Eleasars söner befunnos hava flera huvudmän än Itamars söner, indelade man dem så, att Eleasars söner fingo sexton huvudmän för sina familjer och Itamars söner åtta huvudmän för sina familjer.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Man indelade dem genom lottkastning, de förra såväl som de senare, ty helgedomens furstar och Guds furstar togos både av Eleasars söner och av Itamars söner.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Och Semaja, Netanels son, sekreteraren, av Levi stam, tecknade upp dem i närvaro av konungen, furstarna och prästen Sadok och Ahimelek, Ebjatars son, och i närvaro av huvudmännen för prästernas och leviternas familjer. Lotterna drogos skiftevis för Eleasars och för Itamars familjer.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Den första lotten föll ut för Jojarib, den andra för Jedaja,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 den tredje för Harim, den fjärde för Seorim,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 den femte för Malkia, den sjätte för Mijamin,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 den sjunde för Hackos, den åttonde för Abia,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 den nionde för Jesua, den tionde för Sekanja,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 den elfte för Eljasib, den tolfte för Jakim,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 den trettonde för Huppa, den fjortonde för Jesebab,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 den femtonde för Bilga, den sextonde för Immer,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 den sjuttonde för Hesir, den adertonde för Happisses,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 den nittonde för Petaja, den tjugonde för Hesekiel,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 den tjuguförsta för Jakin, den tjuguandra för Gamul,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 den tjugutredje for Delaja, den tjugufjärde för Maasja.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Detta blev den ordning i vilken de skulle göra tjänst, när de gingo in i HERRENS hus, såsom det var föreskrivet för dem genom deras fader Aron, i enlighet med vad HERREN, Israels Gud, hade bjudit honom.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Vad angår de övriga Levi barn, så hörde till Amrams barn Subael, till Subaels barn Jedeja,
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 till Rehabja, det är till Rehabjas barn, huvudmannen Jissia,
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 till jishariterna Selomot, till Selomots barn Jahat.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Och benajiter voro Jeria, Amarja, den andre, Jahasiel, den tredje, och Jekameam, den fjärde.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Ussiels barn voro Mika; till Mikas barn hörde Samur.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Mikas broder var Jissia; till Jissias barn hörde Sakarja.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Meraris barn voro Maheli och Musi, Jaasia-Benos söner.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Meraris barn voro dessa av Jaasia-Beno, och vidare Soham, Sackur och Ibri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Mahelis son var Eleasar, men denne hade inga söner.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 Till Kis, det är Kis' barn, hörde Jerameel.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Men Musis barn voro Maheli, Eder och Jerimot. Dessa voro leviternas barn, efter deras familjer.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Också dessa kastade lott likasåväl som deras bröder, Arons söner, i närvaro av konung David, Sadok, Ahimelek och huvudmännen för prästernas och leviternas familjer, huvudmännen för familjerna likasåväl som deras yngsta bröder.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.

< 1 Krönikeboken 24 >