< 1 Krönikeboken 1 >

1 Adam, Set, Enos,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jered,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Hanok, Metusela, Lemek,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noa, Sem, Ham och Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Jafets söner voro Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesek och Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Gomers söner voro Askenas, Difat och Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Javans söner voro Elisa och Tarsisa, kittéerna och rodanéerna.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Hams söner voro Kus, Misraim, Put och Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Kus' söner voro Seba, Havila, Sabta, Raema och Sabteka. Raemas söner voro Saba och Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Men Kus födde Nimrod; han var den förste som upprättade ett välde på jorden.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Och Misraim födde ludéerna, anaméerna, lehabéerna, naftuhéerna,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 patroséerna, kasluhéerna, från vilka filistéerna hava utgått, och kaftoréerna.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Och Kanaan födde Sidon, som var hans förstfödde, och Het,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 så ock jebuséerna, amoréerna och girgaséerna,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 hivéerna, arkéerna, sinéerna,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 arvadéerna, semaréerna och hamatéerna.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Sems söner voro Elam, Assur, Arpaksad, Lud och Aram, så ock Us, Hul, Geter och Mesek.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpaksad födde Sela, och Sela födde Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Men åt Eber föddes två söner; den ene hette Peleg, ty i hans tid blev jorden fördelad; och hans broder hette Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Och Joktan födde Almodad, Selef, Hasarmavet, Jera,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Usal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Saba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Havila och Jobab; alla dessa voro Joktans söner.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arpaksad, Sela,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Regu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Tera,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram, det är Abraham
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Abrahams söner voro Isak och Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Detta är deras släkttavla: Nebajot, Ismaels förstfödde, vidare Kedar, Adbeel och Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Misma och Duma, Massa, Hadad och Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis och Kedma. Dessa voro Ismaels söner.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Och de söner som Ketura, Abrahams bihustru, födde voro Simran, Joksan, Medan, Midjan, Jisbak och Sua. Joksans söner voro Saba och Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Och Midjans söner voro Efa, Efer, Hanok, Abida och Eldaa. Alla dessa voro Keturas söner.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Och Abraham födde Isak. Isaks söner voro Esau och Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Esaus söner voro Elifas, Reguel, Jeus, Jaelam och Kora.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Elifas' söner voro Teman och Omar, Sefi och Gaetam, Kenas, Timna och Amalek
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Reguels söner voro Nahat, Sera, Samma och Missa.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Men Seirs söner voro Lotan, Sobal, Sibeon, Ana, Dison, Eser och Disan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Lotans söner voro Hori och Homam; och Lotans syster var Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Sobals söner voro Aljan, Manahat och Ebal, Sefi och Onam. Och Sibeons söner voro Aja och Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Anas söner voro Dison. Och Disons söner voro Hamran, Esban, Jitran och Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Esers söner voro Bilhan, Saavan, Jaakan. Disans söner voro Us och Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Och dessa voro de konungar som regerade i Edoms land, innan ännu någon israelitisk konung var konung där: Bela, Beors son, och hans stad hette Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 När Bela dog, blev Jobab, Seras son, från Bosra, konung efter honom.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 När Jobab dog, blev Husam från temanéernas land konung efter honom.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 När Husam dog, blev Hadad, Bedads son, konung efter honom, han som slog midjaniterna på Moabs mark; och hans stad hette Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 När Hadad dog, blev Samla från Masreka konung efter honom.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 När Samla dog, blev Saul, från Rehobot vid floden, konung efter honom.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 När Saul dog, blev Baal-Hanan, Akbors son, konung efter honom
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 När Baal-Hanan dog, blev Hadad konung efter honom; och hans stad hette Pagi, och hans hustru hette Mehetabel, dotter till Matred, var dotter till Me-Sahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Men när Hadad hade dött, voro dessa Edoms stamfurstar: fursten Timna, fursten Alja, fursten Jetet,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 fursten Oholibama, fursten Ela, fursten Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 fursten Kenas, fursten Teman, fursten Mibsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 fursten Magdiel, fursten Iram. Dessa voro Edoms stamfurstar.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Krönikeboken 1 >