< Ufunuo 17 >

1 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, “Njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
Vantil sagi sumlheng choi ho lah'a khat chu kahenga ahungin, chuin eihouvin, “Neihin juiyin, chutileh keiman noti lentah, twi tamtah chunga vaihomnu chunga thutanna hunglhung ding chu navetsah inge.
2 Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake.”
Amanuto chun vannoi leiset lengho jonguva, chule hiche vannoi leiset mite chu jonthanhoiya akhamnau leh ju'a amanuto jonguva ahi,” ati.
3 Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
Hiti chun vantil chun keima Lhagaova gamthip mun'a eipuiyin ahi. Keiman chuche mun'a numei khat chu sahem santhip, lu sagi neiya chule ki som nei, chule Pathen taitomna dimset kijihna chunga atou chu kamui.
4 Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha uzinzi wake.
Numeinu chun ponsandup le asanthip akisilin chule ahoiya hoi, sana le khisong mantam chule twikohchanga akijem in ahi. Amanu hin sana a kisem jukhon, jamo thu kisun dimset chule ajonthanhoiya athenlounaho chu akhut'a akichoiyin ahi.
5 Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo “Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani.”
Chule achalpanga chun min kidang le datmo umtah kisun: “Babylon khopi lentah, vannoi leiset'a numei kijoh jouse le jamo thusei dimset nu,” akitin ahi.
6 Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza Yesu. Nilipomwona nilishangaa mno.
Keiman amanu akham'a Yeshua thu hettohsah'a pang ho Pathen mithengte thisan adonkham a aum pet chu kamun ahi. Kadatmo behseh in amanu chu kave vejeng in ahi.
7 Lakini malaika akaniambia, “Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye ambaye ana vichwa saba na pembe kumi.
Vantil chun, “Ipi dinga nachuti datmo ham?” Keiman hiche numeinu le alu sagi chule aki som nei, sahem chunga atou thuguh khu naseipeh inge.
8 Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena! (Abyssos g12)
Sahem namu chu phatkhatna ana-uma ahi, hinlah tua umtalou ahi. Ajeh chu amahi lei-ong amongbeiya kon'a hungpotdoh kitding, chule tonsot mahthahna a chelut ding ahi. Chule hiche vannoi leiset mite, vannoi leiset kisem masanga pat'a aminu Hinna Lekhabua kisunlou jouse chun, sahem thisa ahung hindoh kit chu adatmo lheh diu ahi. (Abyssos g12)
9 “Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa saba ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa hivyo pia ni wafalme saba.
Hichea hin hetkhenna lunggel nei angaina akimudoh-e: Sahem alu sagi chu numeinu vaipohna, mol sagi ho vaihomtu ahi. Amaho hi leng sagi jong vetsahna ahiuve.
10 Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi.
Leng nga ho chu alhusa ahiuvin, agupna pa tua hi vaipo ahi, chule asagina chu hungnalai ding, hinlah avaipohna chomcha bou hiding ahi.
11 Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini sasa haishi tena ni mfalme wa nane, naye pia ni miongoni mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa.
Sahem asanthip anaumsa, ahia umjom talou chu leng aget channa ahi. Amahi sahem sagi tobangma ahin, chule ama jong mahthah nalam manoa ahi.
12 “Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme ambao bado hawajaanza kutawala. Lakini watapewa mamlaka ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama.
Sahem aki som ho chu leng som athaneinau pan'a vaihomna neiloulai ahiuve. Amaho chu sahemtoh phat chomkhat vai ahom khom diu ahi.
13 Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.
Amaho hi abonchauva amachu athaneinau pecheh dinga kinopto diu ahi.
14 Watapigana na Mwanakondoo, lakini Mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme.”
“Amaho kitho khomuva Kelngoinou chu kisatpi dinga kondoh diu, hinlah Kelngoinou chun amaho chu ajo ding ahi, ajeh chu Ama pakai jouse PAKAI le leng jouse LENGPA ahi. Chule Aman akouva, alhendoh'a chule tahsan umho chu Amatoh umkhom diu ahi,” ati.
15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa, watu wa kila rangi na lugha.
Chuphat in vantil chun kajah a, “Notinu vaipohna twi tamtah kiti hin chitin namtin le paotin'a kon mihonpi chu kiseina ahi.”
16 Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.
Sahem asanthip le aki som ho chun abonchauvin Notinu chu athetbol tauve. Amahon amanu hi sagoh keova alha diu, asa aneh diu, chule atibah aneh mohchengseu chu meiya ahalvam diu ahi.
17 Maana Mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la Mungu litakapotimia.
Ajeh iham itileh Pathen in alunggel uva tohgon, asuhbulhit thei dinghou akhumpeh ding ahi. Amaho chun sahem santhip chu athaneinau pecheh dinga kinopto diu, chule hitia chu Pathen Thu chu suhbulhit-a umding ahi.
18 “Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia.”
Chule hiche numeinu nangman gaova namu hi, vannoi lengho chunga vaipoa khopi chu ahi.

< Ufunuo 17 >