< Luka 8 >

1 Baada ya hayo, Yesu alipitia katika miji na vijiji akitangaza Habari Njema za Ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye.
In zgodí se po tem, in on je hodil po mestih in vaséh, učeč in oznanjujoč evangelj o kraljestvu Božjem; in dvanajsteri ž njim,
2 Pia wanawake kadhaa ambao Yesu alikuwa amewatoa pepo wabaya na kuwaponya magonjwa, waliandamana naye. Hao ndio akina Maria (aitwaye Magdalene), ambaye alitolewa pepo wabaya saba;
In nektere žene, ktere so uzdravljene bile od duhov hudobnih in od bolezni, Marija, ki se imenuje Magdalena, iz ktere je bilo sedem hudičev izšlo,
3 Yoana, mke wa Kuza, mfanyakazi mkuu wa Herode; Susana na wengine kadhaa. Hao wanawake walikuwa wakiwatumikia kwa mali yao wenyewe.
Joana žena Huza pristavnika Herodovega, in Suzana, in drugih veliko, ktere so mu služile z imenjem svojim.
4 Kundi kubwa la watu lilikuwa linakusanyika, na watu walikuwa wanamjia Yesu kutoka kila mji. Naye akawaambia mfano huu:
Ko se je pa veliko ljudstva sešlo, in tistih, kteri so iz mest prihajali k njemu, pové jim v priliki:
5 “Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda zile mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga, na ndege wakazila.
Izšel je sejalec sejat seme svoje; in ko je sejal, eno je padlo poleg ceste, in pogazilo se je, in tice nebeške so ga pozobale.
6 Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.
In drugo je padlo na skalo, in ko je pognalo, usahnilo je, ker ni imelo vlage.
7 Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.
In drugo je padlo sredi trnja, in trnje je zrastlo, in udušilo ga je.
8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikaota na kuzaa asilimia mia.” Baada ya kusema hayo, akapaaza sauti, akasema, “Mwenye masikio na asikie!”
In drugo je padlo na dobro zemljo, in ko je pognalo, doneslo je stoteri sad. Ko je to pravil, klical je: Kdor ima ušesa, da sliši, naj sliši!
9 Wanafunzi wake wakamwuliza Yesu maana ya mfano huo.
Vpraševali pa so ga učenci njegovi, govoreč: Kakošna bi bila ta prilika?
10 Naye akajibu, “Ninyi mmejaliwa kujua siri za Ufalme wa Mungu, lakini hao wengine sivyo; ila hao huambiwa kwa mifano, ili wakitazama wasiweze kuona, na wakisikia wasifahamu.
On pa reče: Vam je dano, da spoznate skrivnosti kraljestva Božjega; drugim pa v prilikah, da gledajo in ne vidijo, ter slišijo in ne umejo.
11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.
Ta prilika pa je: Seme je beseda Božja:
12 Zile zilizoanguka njiani zinaonyesha watu wale wanaosikia lile neno, halafu Ibilisi akaja na kuliondoa mioyoni mwao wasije wakaamini na hivyo wakaokoka.
A kteri so poleg ceste posejani, ti so, kteri slišijo: ali potem pride hudič in vzeme besedo iz srca njih, da ne bi verovali in zveličali se.
13 Zile zilizoanguka penye mawe zinaonyesha watu wale ambao wanaposikia juu ya lile neno hulipokea kwa furaha. Hata hivyo, kama zile mbegu, watu hao hawana mizizi maana husadiki kwa kitambo tu, na wanapojaribiwa hukata tamaa.
A kteri so na skalo posejani, ti, kteri besedo, ko so jo sklišali, z veseljem sprejemajo; in ti korenine nimajo, kteri nekaj časa verujejo, a v čas izkušnjave odpadejo.
14 Zile zilizoanguka kwenye miti ya miiba ni watu wale wanaosikia lile neno, lakini muda si muda, wanapokwenda zao, husongwa na wasiwasi, mali na anasa za maisha, na hawazai matunda yakakomaa.
Kar je pa v trnje padlo, to so ti, kteri slišijo: ali ker za skrbmí in bogastvom in slastmi življenja hodijo, udušé se, in ne donašajo sadú.
15 Na zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri ndio watu wale wanaolisikia lile neno, wakalizingatia kwa moyo mwema na wa utii. Hao huvumilia mpaka wakazaa matunda.
Kar je pa na dobro zemljo padlo, to so ti, kteri v dobrem in blagem srcu varujejo besedo, ktero so slišali, in donašajo sad v trpljenji.
16 “Watu hawawashi taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka mvunguni. Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate kuona mwanga.
Nikdor pa sveče, ko jo prižgè, ne skrije pod mernik, ali dene pod posteljo; nego postavi jo na svečnik, da ti, kteri vhajajo, vidijo luč.
17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.
Kajti nič ni prikritega, kar se ne bo razodelo; tudi skrivnega ne, kar se ne bo zvedelo in na svetlo prišlo.
18 “Kwa hiyo, jihadharini jinsi mnavyosikia; maana aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani kuwa anacho, kitachukuliwa.”
Glejte torej, kako boste poslušali: kajti kdor imá, dalo mu se bo; a kdor nima, odvzelo mu se bo tudi to, kar misli, da ima.
19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu.
Pridejo pa k njemu mati njegova in bratje njegovi; ali za voljo ljudstva niso mogli priti do njega.
20 Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
In sporočé mu, govoreč: Mati tvoja in bratje tvoji stojé zunej, in radi bi te videli.
21 Lakini Yesu akawaambia watu wote, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
On pa odgovarjajoč, reče jim: Mati moja in bratje moji so ti, kteri besedo Božjo poslušajo in delajo po njej.
22 Siku moja, Yesu alipanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Tuvuke ziwa twende mpaka ng'ambo.” Basi, wakaanza safari.
In zgodí se en dan, in on stopi v ladjo in učenci njegovi; in reče jim: Prepeljimo se na oni kraj jezera! In odpeljejo se.
23 Walipokuwa wanasafiri kwa mashua, Yesu alishikwa na usingizi, akalala. Dhoruba kali ikaanza kuvuma, maji yakaanza kuingia ndani ya mashua, wakawa katika hatari.
A ko so se peljali, zaspí. Kar snide vihar na jezero, in potapljali so se, in bili so v nevarnosti.
24 Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, “Bwana, Bwana! Tunaangamia!” Yesu akaamka, akaikemea dhoruba na mawimbi, navyo vikatulia, kukawa shwari.
In pristopivši, zbudé ga, govoreč: Učenik! učenik! pogibamo! A on vstavši, zapretí vetru in valovju; in umirita se, in nastala je tihota.
25 Kisha akawaambia, “Iko wapi imani yenu?” Lakini wao walishangaa na kuogopa huku wakiambiana, “Huyu ni nani basi, hata anaamuru dhoruba na mawimbi, navyo vinamtii?”
In reče jim: Kje je vera vaša? A oni so se uplašili, in začudijo se, govoreč eden drugemu: Kdo neki je ta, da tudi vetrovom zapoveduje in vodi, in poslušajo ga?
26 Wakaendelea na safari, wakafika pwani ya nchi ya Wagerase inayokabiliana na Galilaya, ng'ambo ya ziwa.
In preplavijo se v zemljo Gadarensko, ktera je Galileji nasproti.
27 Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. Kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.
Ko pa izide na zemljo, sreča ga en človek iz mesta, kteri je imel hudiča uže dolgo časa, in v obleko se ni oblačil, in v hiši ni prebival, nego v grobih.
28 Alipomwona Yesu, alipiga kelele na kujitupa chini mbele yake, na kusema kwa sauti kubwa “We, Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu una shauri gani nami? Ninakusihi usinitese!”
A ko ugleda Jezusa, zakričí in pade pred-nj, in z močnim glasom reče: Kaj imaš z menoj, Jezus, sin Boga najvišega: Prosim te, nikar mene muči!
29 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. Pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani.
Ukazal je bil namreč duhu nečistemu, naj izide iz človeka: kajti uže dolgo časa ga je bil metal, in vezali so ga z verigami in vezmí, ter so ga varovali; ali potrgal je vezí, in gonil ga je hudič po puščavah.
30 Basi, Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akajibu, “Jina langu ni Jeshi” —kwa sababu pepo wengi walikuwa wamempagaa.
Vpraša pa ga Jezus, govoreč: Kako ti je ime? On pa reče: Množica; kajti obsedlo ga je bilo mnogo hudičev.
31 Hao pepo wakamsihi asiwaamuru wamtoke na kwenda kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
In prosili so ga, naj jim ne zapové iti v brezno. (Abyssos g12)
32 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa.
Bila je pa tam velika čreda svinj, ktere so se pasle na gori; in prosili so ga, naj jim dovoli, da vnidejo va-nje. In dovoli jim.
33 Kwa hiyo pepo hao wakamtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nao wakaporomoka kwenye ule mteremko mkali, wakatumbukia ziwani, wakazama majini.
In hudiči izidejo iz človeka in vnidejo v svinje; in zakadí se čreda z brega v jezero, in potonejo.
34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari, mjini na mashambani.
Videvši pa pastirji, kar se je zgodilo, pobegnejo, ter odidejo in sporočé po mestu in po vaséh.
35 Watu wakaja kuona yaliyotokea. Wakamwendea Yesu, wakamwona yule mtu aliyetokwa na pepo ameketi karibu na Yesu, amevaa nguo, ana akili zake, wakaogopa.
Ter izidejo gledat, kaj se je zgodilo; in pridejo k Jezusu, in najdejo človeka, iz kterega so bili hudiči izšli, da je oblečen in pameten, in sedí pri nogah Jezusovih; in uplašijo se.
36 Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.
Sporočé pa jim tudi ti, kteri so bili videli, kako je obsedenec ozdravel.
37 Wakazi wa nchi ya Gerase walishikwa na hofu kubwa. Kwa hiyo wakamwomba Yesu aondoke, aende zake. Hivyo Yesu alipanda tena mashua, akaondoka.
In zaprosi ga vsa množica iz okolice Gadarenske, naj odide od njih; kajti strah velik jih je preletal. A on stopi v ladjo in se vrne.
38 Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
Prosil pa ga je mož, iz kterega so bili izšli hudiči, da bi bil ž njim; ali Jezus ga odpravi, govoreč:
39 “Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea.” Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea.
Vrni se na dom svoj, in pripoveduj, kaj ti je storil Bog. Pa odide, po vsem mestu oznanjujoč, kaj mu je storil Jezus.
40 Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea.
Zgodí se pa, ko se vrne Jezus, sprejme ga ljudstvo; kajti vsi so ga pričakovali.
41 Hapo akaja mtu mmoja aitwaye Yairo, ofisa wa sunagogi. Alijitupa miguuni pa Yesu, akamwomba aende nyumbani kwake,
In glej, pa pride mož, kteremu je bilo ime Jair, (in ta je bil starešina v shajališči, ) in pade Jezusu pred noge, in prosil ga je, naj vnide v hišo njegovo;
42 kwa kuwa binti yake wa pekee, mwana wa pekee mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa mahututi. Yesu alipokuwa akienda, watu wakawa wanamsonga kila upande.
Kajti imel je hčer edinico pri dvanajstih letih, in ta je umirala. A ko je šel, stiskalo ga je ljudstvo.
43 Kulikuwa na mwanamke mmoja kati ya lile kundi la watu, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote kwa waganga, hakuna aliyefaulu kumponya.
In žena, ktera je imela krvotok uže dvanajst let, in je bila vse imenje svoje potrošila na zdravnike, ktere ni mogel nobeden uzdraviti.
44 Huyo mwanamke alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake. Papo hapo akaponywa ugonjwa wake wa kutokwa damu.
Pristopi od zadi in se dotakne robú obleke njegove; in precej se je ustavil vir krví njene.
45 Yesu akasema, “Ni nani aliyenigusa?” Wote wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa. Naye Petro akasema, “Mwalimu, umati wa watu umekuzunguka na kukusonga!”
Pa reče Jezus: Kdo se me je dotaknil? Ko so se pa vsi odgovarjali, reče Peter in kteri so bili ž njim; Učenik, ljudstvo te gnjete in stiska, pa praviš: Kdo se me je dotaknil?
46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”
Jezus pa reče: Nekdo se me je dotaknil; kajti jaz sem očutil, da je odšla moč od mene.
47 Yule mwanamke alipoona kwamba hawezi kujificha, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa mbele ya Yesu. Hapo akaeleza mbele ya wote kisa cha kumgusa Yesu na jinsi alivyoponyeshwa mara moja.
Videč pa žena, da se ni prikrila, pristopi drhtajoč, in pade pred-nj, in pové mu pred vsem ljudstvom, za kaj se ga je dotaknila, in kako je ozdravela precej.
48 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
On jej pa reče: Zaupaj, hčer! vera tvoja ti je pomogla; pojdi v miru.
49 Alipokuwa bado akiongea, Yairo akaletewa habari kutoka nyumbani: “Binti yako ameshakufa, ya nini kumsumbua Mwalimu zaidi?”
Ko je še govoril, pride nekdo od starešine shajališčnega, govoreč mu: Umrla je hčer tvoja; ne trudi učenika.
50 Yesu aliposikia hayo akamwambia Yairo, “Usiogope; amini tu, naye atapona.”
Slišavši pa to Jezus, odgovorí mu, govoreč: Ne boj se! le veruj, in ozdravela bo.
51 Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana.
Ko je pa prišel v hišo, ni dal nikomur vniti, razen Petru in Jakobu in Janezu, in očetu in materi deklice.
52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!”
Vsi pa so jokali, in tarnali po njej. On pa reče: Ne jokajte! ni umrla, nego spí.
53 Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.
In posmehovali so mu se, vedoč, da je umrla.
54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto amka!”
On pa izgnavši vse, in prijemši jo za roko, zakliče, govoreč: Deklica, vstani!
55 Roho yake ikamrudia, akaamka mara. Yesu akaamuru wampe chakula.
In vrne se duh nje, in vstala je precej; in ukaže jim, naj jej dadó jesti.
56 Wazazi wake walishangaa, lakini Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote hayo yaliyotendeka.
In zavzemeta se roditelja njena; a on jima naročí, naj nikomur ne povesta, kar se je zgodilo.

< Luka 8 >