< Luka 8 >

1 Baada ya hayo, Yesu alipitia katika miji na vijiji akitangaza Habari Njema za Ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye.
Pagamaliki ago Yesu akahamba mumiji na muhijiji hingi kuvajovela vandu Lilovi la Bwina la Unkosi wa Chapanga. Vawuliwa vaki kumi na vavili vakalongosana nayu.
2 Pia wanawake kadhaa ambao Yesu alikuwa amewatoa pepo wabaya na kuwaponya magonjwa, waliandamana naye. Hao ndio akina Maria (aitwaye Magdalene), ambaye alitolewa pepo wabaya saba;
Pamonga na vadala vevawusiwi mizuka na vevalamisiwi matamu na Yesu, venavo vavi, Maliya mkolonjinji wa Magidala mweawusiwi mizuka saba yihakau,
3 Yoana, mke wa Kuza, mfanyakazi mkuu wa Herode; Susana na wengine kadhaa. Hao wanawake walikuwa wakiwatumikia kwa mali yao wenyewe.
na Yoana mdala waki Kuza, Kuza mweavi myimilila nyumba ya Helodi, Susana na vadala vangi vamahele. Vevawusili vindu yavi ndava ya kumtangatila Yesu na vawuliwa vaki vayendelela na lihengu lavi.
4 Kundi kubwa la watu lilikuwa linakusanyika, na watu walikuwa wanamjia Yesu kutoka kila mji. Naye akawaambia mfano huu:
Vandu vamahele vambwelalili Yesu kuhuma kukila muji, na msambi uvaha pawakonganiki, Yesu akavajovela luhumu ulu.
5 “Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda zile mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga, na ndege wakazila.
Mundu mweahambili kumija mbeyu zaki. Na peamija mbeyu, zingi zikagwilila munjila na vandu vakazilivatila, na videge vikahola.
6 Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.
Zingi zikagwilila paludaka luna maganga pezatumbulayi kumela zikanyala muni pavi lepi na manji.
7 Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.
Zingi zikagwilila muminga, ndi minga zikamela pamonga nazu, zikazihinya.
8 Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikaota na kuzaa asilimia mia.” Baada ya kusema hayo, akapaaza sauti, akasema, “Mwenye masikio na asikie!”
Zingi zagwili paludaka lwabwina, zikamela limonga likapambika ng'onyo. Yesu akamalisila kwa lwami luvaha, “Mweavi na makutu ga kuyuwana ayuwana!”
9 Wanafunzi wake wakamwuliza Yesu maana ya mfano huo.
Vawuliwa vaki vakamkota Yesu, luhumu lula mana yaki kyani.
10 Naye akajibu, “Ninyi mmejaliwa kujua siri za Ufalme wa Mungu, lakini hao wengine sivyo; ila hao huambiwa kwa mifano, ili wakitazama wasiweze kuona, na wakisikia wasifahamu.
Mwene akavayangula, “Nyenye muhotiswi kumanya ufiyu wa Unkosi wa Chapanga, nambu lepi kwa avo vangi, vene vijoviwa kwa luhumu, muni vakalolayi nakuhotola kulola na vakayuwana nakumanya.”
11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.
“Luhumu ulu mana yaki. Mbeyu ndi lilovi la Chapanga.
12 Zile zilizoanguka njiani zinaonyesha watu wale wanaosikia lile neno, halafu Ibilisi akaja na kuliondoa mioyoni mwao wasije wakaamini na hivyo wakaokoka.
Chechihumili kwa mbeyu zezagwili munjila, ndi luhumu lwa vandu veviyuwana lilovi la Chapanga, kangi Setani peibwela na kuliwusa mumitima yavi vakotoka kusadika na kusanguliwa.
13 Zile zilizoanguka penye mawe zinaonyesha watu wale ambao wanaposikia juu ya lile neno hulipokea kwa furaha. Hata hivyo, kama zile mbegu, watu hao hawana mizizi maana husadiki kwa kitambo tu, na wanapojaribiwa hukata tamaa.
Mewawa chechehumili kwa mbeyu zezagwili pamaganga, ndi luhumu wa vandu veviyuwana lilovi na kulipokela kwa luheku. Nambu vandu vangali mikiga mugati yavi, na lukumbi pevilingiwa vikotoka.
14 Zile zilizoanguka kwenye miti ya miiba ni watu wale wanaosikia lile neno, lakini muda si muda, wanapokwenda zao, husongwa na wasiwasi, mali na anasa za maisha, na hawazai matunda yakakomaa.
Kangi chechihumili kwa mbeyu zezagwili paminga, ndi luhumu wa vandu veviyuwana lilovi la Chapanga, pa lukumbi luhupi peviyendelela na Lilovi lenilo, vene vihinyiwa na mahengu ga kuvya na vindu vyamahele na mambu ga bwina ga pamulima, ndi na kupambika matunda gakakangala.
15 Na zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri ndio watu wale wanaolisikia lile neno, wakalizingatia kwa moyo mwema na wa utii. Hao huvumilia mpaka wakazaa matunda.
Ndi mbeyu zezagwili paludaka lwabwina, ndi luhumu wa vandu vevayuwini lilovi na kulivika mumitima yavi na kuyidakila bwina. Vikangamala mumitima mbaka kupambika matunda.”
16 “Watu hawawashi taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka mvunguni. Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate kuona mwanga.
“Vandu vipambika lepi hahi na kuyigubika na chiviga amala kuyivika kuhi kuchitanda. Nambu vandu vivika hahi panani pachibokoselu, muni vandu veviyingila mugati valola bwina.”
17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.
“Muni chochoha chechifiyiki, yati chigubukuliwa na chindu chochoha cha mfiyu yati chimanyikana na voha.”
18 “Kwa hiyo, jihadharini jinsi mnavyosikia; maana aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani kuwa anacho, kitachukuliwa.”
“Mujiyangalilayi chemwiyuwana, muni mweavi nachu yati iyonjokeswa, nambu mundu mwanga chindu, hati chila chidebe cheihololela kuvya nachu yati chinyagiwa.”
19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu.
Nyina waki na valongo vaki Yesu vakamuhambalila, ndava ya msambi wa vandu wula nakuhotola kumuhegelela.
20 Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
Mundu mmonga akamjovela Yesu, “Nyina waku na valongo vaku vayimili kuvala, vigana kukulola.”
21 Lakini Yesu akawaambia watu wote, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”
Nambu Yesu akavajovela vandu, “Nyina wangu na valongo vangu ndi vala veviyuwana lilovi la Chapanga na kulikamula.”
22 Siku moja, Yesu alipanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Tuvuke ziwa twende mpaka ng'ambo.” Basi, wakaanza safari.
Na kavili ligono limonga Yesu peakweli muwatu pamonga na vawuliwa vaki, akavajovela, “Tikupuka kumwambu ya nyanja.” Vakatumbula kukupuka.
23 Walipokuwa wanasafiri kwa mashua, Yesu alishikwa na usingizi, akalala. Dhoruba kali ikaanza kuvuma, maji yakaanza kuingia ndani ya mashua, wakawa katika hatari.
Pavahambayi muwatu wula, Yesu agonili lugono. Ndi chimbungululu chikatumbula kutova munyanja mula na manji gakatumbula kuyingila muwatu wavi mkulemala neju.
24 Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, “Bwana, Bwana! Tunaangamia!” Yesu akaamka, akaikemea dhoruba na mawimbi, navyo vikatulia, kukawa shwari.
Vawuliwa vaki vamhambali vakamuyumusa na vakamjovela, “Bambu, Bambu Tifwa!” Yesu akayumuka, akachilakalila chimbungululu chila na luyuga lwa manji ndi vikaguna na kukavya teke.
25 Kisha akawaambia, “Iko wapi imani yenu?” Lakini wao walishangaa na kuogopa huku wakiambiana, “Huyu ni nani basi, hata anaamuru dhoruba na mawimbi, navyo vinamtii?”
Kangi akavajovela vawuliwa vaki, “Kusadika kwinu kuvi koki?” Vene vakakangasa na kuyogopa kuni vijovelana, “Mundu uyu wa namuna yoki? Hati ihotola kugunisa chimbungululu na luyuga na vyene vimyidikila!”
26 Wakaendelea na safari, wakafika pwani ya nchi ya Wagerase inayokabiliana na Galilaya, ng'ambo ya ziwa.
Vakakupuka na kuhika kumbwani ya kumuji wa mulima wa Vagelasi wewalolasini na Galilaya kumwambu ya nyanja.
27 Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. Kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.
Yesu peahulwiki muwatu na kulivatila mbwani, mundu mmonga wa muji wula, mweavi na mizuka ambwelalili. Mundu mwenuyo kwa magono gamahele awala lepi nyula wala atamili lepi munyumba yoyoha yila, ndi atamali mumbugu la kuzikila vandu.
28 Alipomwona Yesu, alipiga kelele na kujitupa chini mbele yake, na kusema kwa sauti kubwa “We, Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu una shauri gani nami? Ninakusihi usinitese!”
Peamuweni Yesu akavemba kwa lwami luvaha na kumgwilila pamagendelu, “Wa, Yesu veve Mwana wa Chapanga Mkulu! Una kyani na nene? Pepayi chonde kotoka kuning'aha!”
29 Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. Pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani.
Ajovili genago muni Yesu amali kuuhakalila mzuka wula umuwukayi mundu yula. Pamahele mzuka wamzangila mundu yula pamonga na vandu kumuvika mugati na kumkunga minyololo mu mawoko na mumagendelu nambu pamahele adenyayi vifungo vyenivyo, na kujumbiswa kwa makakala ga mzuka wenuwo mbaka kulugangatu.
30 Basi, Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akajibu, “Jina langu ni Jeshi” —kwa sababu pepo wengi walikuwa wamempagaa.
Yesu akamkota, “Liina laku yani?” Akayangula, “Liina langu Msambi.” Ndava mizuka yamahele yamuyingili.
31 Hao pepo wakamsihi asiwaamuru wamtoke na kwenda kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
Mizuka yila yikamjovela Yesu pepayi chonde akotoka kuyipeleka kuligodi langali mwishu. (Abyssos g12)
32 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa.
Kwavi na maguluvi gamahele gevadimayi kuchitumbi pandu penapo, ndi mizuka yila yikamuyupa Yesu yihamba kuyingila mumaguluvi gala. Yesu akayileka yihamba.
33 Kwa hiyo pepo hao wakamtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nao wakaporomoka kwenye ule mteremko mkali, wakatumbukia ziwani, wakazama majini.
Ndi mizuka yila yikamuwuka mundu yula yikagayingila maguluvi gala, na msambi wa maguluvi ukahelela munyanja na kuyongomela, gakafwa mumanji.
34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari, mjini na mashambani.
Vadimaji va maguluvi pevaloli gegahumali vakajumba, kuhamba kumuji na kumigunda kuvajovela vandu ujumbi.
35 Watu wakaja kuona yaliyotokea. Wakamwendea Yesu, wakamwona yule mtu aliyetokwa na pepo ameketi karibu na Yesu, amevaa nguo, ana akili zake, wakaogopa.
Vandu vakabwela kulola gegahumalili, vakamuhambalila Yesu, vamuwene mundu mwe yamuhumili mizuka yula, atamili papipi na magendelu ga Yesu, awali nyula, na avi na luhala lwaki bwina. Voha vakayogopa.
36 Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.
Vandu vevagaweni mambu genago, vakavajovela vayavi chealamiswi mundu yula.
37 Wakazi wa nchi ya Gerase walishikwa na hofu kubwa. Kwa hiyo wakamwomba Yesu aondoke, aende zake. Hivyo Yesu alipanda tena mashua, akaondoka.
Vakolonjinji voha wa ku Gelasi vakavya na wogohi neju. Vakamuyupa Yesu awukayi ahamba kungi. Yesu akakwela muwatu akawuka.
38 Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
Mundu mweamuwusi mizuka yula, amuyupili Yesu valongosanayi. Nambu Yesu nakumuyidakila, ndi akamjovela,
39 “Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea.” Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea.
“Wuya kunyumba yaku ukavajovelayi gaakuhengili Chapanga.” Ndi mundu yula akahamba kila pandu kumuji woha akuvajovela vandu chaamhengili Yesu.
40 Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea.
Yesu paawuyili kumwambu yingi ya nyanja, avakoli msambi wa vandu vampokali chaluheku, ndava voha vamlindilayi.
41 Hapo akaja mtu mmoja aitwaye Yairo, ofisa wa sunagogi. Alijitupa miguuni pa Yesu, akamwomba aende nyumbani kwake,
Penapo akabwela mundu mmonga liina laki Yailusi avi chilongosi wa nyumba ya kukonganekela akamfugamila Yesu mumagendelu, akamuyupa Yesu ahamba kunyumba yaki,
42 kwa kuwa binti yake wa pekee, mwana wa pekee mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa mahututi. Yesu alipokuwa akienda, watu wakawa wanamsonga kila upande.
muni msikana waki ngayuyoyo mmonga, wa miiyaka kumi na yivili avi mtamu papipi kufwa. Yesu avi mukuhamba, msambi wa vandu wavi kumuhinya kila upandi.
43 Kulikuwa na mwanamke mmoja kati ya lile kundi la watu, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote kwa waganga, hakuna aliyefaulu kumponya.
Kwavi na mdala mmonga pagati ya msambi wula wa vandu, avi na utamu wa kuhuma ngasi miyaka kumi na yivili, amalili kuwusa vindu vyaki vyoha kuvapela valamisa, kawaka mweahotwili kumlamisa.
44 Huyo mwanamke alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake. Papo hapo akaponywa ugonjwa wake wa kutokwa damu.
Mdala yula akamlanda Yesu mumbele akapamisa lugunyilu lwa pahi lwa nyula ya Yesu. Bahapo akalama.
45 Yesu akasema, “Ni nani aliyenigusa?” Wote wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa. Naye Petro akasema, “Mwalimu, umati wa watu umekuzunguka na kukusonga!”
Yesu akajova, “Yani mweanipamisi?” Vandu vakajova, Kawaka mundu mwaakupamisi. Petili akajova, “Bambu msambi wa vandu vakutindili na kukuhinya!”
46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”
Nambu Yesu akajova, “Avili mundu mweanipamisi, muni nijiyuwini makakala ganihumili.”
47 Yule mwanamke alipoona kwamba hawezi kujificha, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa mbele ya Yesu. Hapo akaeleza mbele ya wote kisa cha kumgusa Yesu na jinsi alivyoponyeshwa mara moja.
Mdala yula paajiloli nakuhotola kujifiha, akabwela kuni hivagaya akamfugamila Yesu mumagendelu. Akamjovela pavandu voha ndava ya kumpamisa Yesu na chaalami bahapo.
48 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
Yesu akamjovela, “Msikana wangu, kusadika kwaku kukulamisi, uhamba na uteke.”
49 Alipokuwa bado akiongea, Yairo akaletewa habari kutoka nyumbani: “Binti yako ameshakufa, ya nini kumsumbua Mwalimu zaidi?”
Yesu paavi akona ilongela, akabwela mundu kuhuma kunyumba ya Yailo, akamjovela Yailo, “Leka kumung'aha Muwula, mwana waku mwene afwili.”
50 Yesu aliposikia hayo akamwambia Yairo, “Usiogope; amini tu, naye atapona.”
Yesu peayuwini genago, akamjovela Yailo, “Kotoka kuyogopa, sadika ndu, yati ilama.”
51 Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana.
Peahikili panyumba pala, akavatola Petili na Yohani na Yakobo pamonga na dadi na nyina wa msikana yula akayingila nawu mugati, vandu vangi avalekili kuvala.
52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!”
Vandu voha vavembayi na malilu kwa lipyanda ndava ya mwana yula. Nambu Yesu akavajovela, “Mkotoka kuvemba, muni mwana uyu afwili lepi, agonili ndu.”
53 Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.
Voha vakamuheka, muni vamanyili kuvya mwana yula afwili.
54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto amka!”
Kangi Yesu akamkamula chiwoko mwana yula na kumkemela, “Mwana yimuka!”
55 Roho yake ikamrudia, akaamka mara. Yesu akaamuru wampe chakula.
Mpungu waki ukamuwuyila, bahapo akayimuka. Yesu akavajovela mumpela chakulya.
56 Wazazi wake walishangaa, lakini Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote hayo yaliyotendeka.
Dadi na nyina wa mwana yula vakakangasa, Nambu Yesu akavajovela vakotoka kumjovela mundu yoyoha mambu gala gegahengiki.

< Luka 8 >