< Luka 4 >

1 Yesu alitoka katika mto Yordani akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akaongozwa na Roho mpaka jangwani.
Jesus then full spirit/breath: spirit holy to return away from the/this/who Jordan and to bring in/on/among the/this/who spirit/breath: spirit (in/on/among the/this/who deserted *N+kO)
2 Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.
day forty to test/tempt: tempt by/under: by the/this/who devilish/the Devil and no to eat none in/on/among the/this/who day that and to complete it/s/he (later *K) to hunger
3 Ndipo Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.”
(and *k) to say (then *no) it/s/he the/this/who devilish/the Devil if son to be the/this/who God to say the/this/who stone this/he/she/it in order that/to to be bread
4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: Mtu haishi kwa mkate tu.”
and to answer to/with it/s/he (the/this/who *no) Jesus (to say *k) to write that/since: that no upon/to/against bread alone to live the/this/who a human (but upon/to/against all declaration God *KO)
5 Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,
and to lead it/s/he (the/this/who *k) (devilish/the Devil toward mountain high *K) to show it/s/he all the/this/who kingdom the/this/who world in/on/among instant time
6 “Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza.
and to say it/s/he the/this/who devilish/the Devil you to give the/this/who authority this/he/she/it all and the/this/who glory it/s/he that/since: since I/we to deliver and which (if *NK+o) to will/desire to give it/s/he
7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”
you therefore/then if to worship before (I/we *N+kO) to be you (all *N+kO)
8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake.”
and to answer the/this/who Jesus to say it/s/he (to go *KO) (after me Satan *K) to write (for *k) lord: God the/this/who God you to worship and it/s/he alone to minister
9 Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, kwenye mnara wa Hekalu, akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu,
(and *k) to bring (then *no) it/s/he toward Jerusalem and to stand (it/s/he *ko) upon/to/against the/this/who pinnacle the/this/who temple and to say it/s/he if (the/this/who *k) son to be the/this/who God to throw: throw you from here under
10 kwa maana imeandikwa: Atawaamuru malaika wake wakulinde,
to write for that/since: that the/this/who angel it/s/he to order about you the/this/who to protect you
11 na tena, Watakuchukua mikononi mwao usije ukajikwaa mguu wako kwenye jiwe.”
and that/since: that upon/to/against hand to take up you not once/when to strike to/with stone the/this/who foot you
12 Lakini Yesu akamjibu, “Imeandikwa: Usimjaribu Bwana Mungu wako.”
and to answer to say it/s/he the/this/who Jesus that/since: that to say no to test/tempt lord: God the/this/who God you
13 Ibilisi alipokwishamjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.
and to complete all temptation/testing: temptation the/this/who devilish/the Devil to leave away from it/s/he until time/right time
14 Yesu alirudi Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu zote za jirani.
and to return the/this/who Jesus in/on/among the/this/who power the/this/who spirit/breath: spirit toward the/this/who Galilee and news to go out according to all the/this/who region about it/s/he
15 Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.
and it/s/he to teach in/on/among the/this/who synagogue it/s/he to glorify by/under: by all
16 Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu kwa sauti.
and to come/go toward (the/this/who *k) Nazareth whither to be to feed and to enter according to the/this/who to have a custom it/s/he in/on/among the/this/who day the/this/who Sabbath toward the/this/who synagogue and to arise to read
17 Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:
and to give/deliver it/s/he scroll the/this/who prophet Isaiah and (to unroll *NK+o) the/this/who scroll to find/meet the/this/who place whither to be to write
18 “Roho wa Bwana yu juu yangu, kwani amenipaka mafuta niwahubirie maskini Habari Njema. Amenituma niwatangazie mateka watapata uhuru, vipofu watapata kuona tena; amenituma niwakomboe wanaoonewa,
spirit/breath: spirit lord: God upon/to/against I/we which because of to anoint me (to speak good news *N+kO) poor to send me (to heal the/this/who to break the/this/who heart *K) to preach captive forgiveness and blind recovery of sight to send to crush in/on/among forgiveness
19 na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.”
to preach year lord: God acceptable
20 Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho.
and to roll up the/this/who scroll to pay the/this/who servant to seat and all the/this/who eye in/on/among the/this/who synagogue to be to gaze it/s/he
21 Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia likisomwa, limetimia leo.”
be first then to say to/with it/s/he that/since: that today to fulfill the/this/who a writing this/he/she/it in/on/among the/this/who ear you
22 Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakanena, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?”
and all to testify it/s/he and to marvel upon/to/against the/this/who word the/this/who grace the/this/who to depart out from the/this/who mouth it/s/he and to say (not! *N+kO) son to be (the/this/who *ko) Joseph this/he/she/it
23 Naye akawaambia, “Bila shaka mtaniambia msemo huu: Mganga jiponye mwenyewe, na pia mtasema: Yote tuliyosikia umeyafanya kule Kafarnaumu, yafanye hapa pia katika kijiji chako.”
and to say to/with it/s/he surely to say me the/this/who parable this/he/she/it physician to serve/heal you just as/how much to hear to be (toward *N+kO) (the/this/who *NK+o) Capernaum to do/make: do and here in/on/among the/this/who fatherland you
24 Akaendelea kusema, “Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake.
to say then amen to say you that/since: that none prophet acceptable to be in/on/among the/this/who fatherland it/s/he
25 Lakini, sikilizeni! Kweli kulikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli nyakati za Eliya. Wakati huo mvua iliacha kunyesha kwa muda wa miaka mitatu na nusu; kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.
upon/to/against truth then to say you much widow to be in/on/among the/this/who day Elijah in/on/among the/this/who Israel when to shut the/this/who heaven upon/to/against year Three and month six as/when to be hunger great upon/to/against all the/this/who earth: country
26 Hata hivyo, Eliya hakutumwa kwa mjane yeyote ila kwa mwanamke mjane wa Sarepta, Sidoni.
and to/with none it/s/he to send Elijah if: not not toward Zarephath the/this/who (Sidonian *N+kO) to/with woman widow
27 Tena, katika nchi ya Israeli nyakati za Elisha kulikuwa na wenye ukoma wengi. Hata hivyo, hakuna yeyote aliyetakaswa ila tu Naamani, mwenyeji wa Siria.”
and much leprous to be in/on/among the/this/who Israel upon/to/against Elisha the/this/who prophet and none it/s/he to clean if: not not Naaman the/this/who Syrian
28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.
and to fill all wrath in/on/among the/this/who synagogue to hear this/he/she/it
29 Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa juu ya kilima, wakampeleka mpaka kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini.
and to arise to expel it/s/he out/outside(r) the/this/who city and to bring it/s/he until (the/this/who *k) brow the/this/who mountain upon/to/against which the/this/who city to build it/s/he (so *N+kO) to cast down it/s/he
30 Lakini Yesu akapita katikati yao, akaenda zake.
it/s/he then to pass through through/because of midst it/s/he to travel
31 Kisha Yesu akashuka mpaka Kafarnaumu katika mkoa wa Galilaya, akawa anawafundisha watu siku ya Sabato.
and to descend toward Capernaum city the/this/who Galilee and to be to teach it/s/he in/on/among the/this/who Sabbath
32 Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
and be astonished upon/to/against the/this/who teaching it/s/he that/since: since in/on/among authority to be the/this/who word it/s/he
33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na roho ya pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:
and in/on/among the/this/who synagogue to be a human to have/be spirit/breath: spirit demon unclean and to yell voice/sound: voice great
34 “We! Yesu wa Nazareti! Kwa nini unatuingilia? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni mjumbe Mtakatifu wa Mungu!”
(to say *ko) ha!/aha! which? me and you Jesus Nazareth to come/go to destroy me to know you which? to be the/this/who holy the/this/who God
35 Lakini Yesu akamkemea huyo pepo akisema: “Nyamaza! Mtoke mtu huyu!” Basi, huyo pepo baada ya kumwangusha yule mtu chini, akamtoka bila kumdhuru hata kidogo.
and to rebuke it/s/he the/this/who Jesus to say to muzzle and to go out (away from *N+kO) it/s/he and to throw/lay down it/s/he the/this/who demon toward the/this/who midst to go out away from it/s/he nothing to hurt it/s/he
36 Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, “Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!”
and to be amazement upon/to/against all and to talk with to/with one another to say which? the/this/who word this/he/she/it that/since: since in/on/among authority and power to command the/this/who unclean spirit/breath: spirit and to go out
37 Habari zake zikaenea mahali pote katika mkoa ule.
and to depart sound about it/s/he toward all place the/this/who region
38 Yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba amponye.
to arise then (away from *N+kO) the/this/who synagogue to enter toward the/this/who home Simon (the/this/who *k) mother-in-law then the/this/who Simon to be to hold/oppress fever great and to ask it/s/he about it/s/he
39 Yesu akaenda akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Mara yule mama akainuka, akawatumikia.
and to approach above it/s/he to rebuke the/this/who fever and to release: leave it/s/he instantly then to arise to serve it/s/he
40 Jua lilipokuwa linatua, wote waliokuwa na wagonjwa wao mbalimbali waliwaleta kwake; naye akaweka mikono yake juu ya kila mmoja wao, akawaponya wote.
to set then the/this/who sun (all *N+kO) just as/how much to have/be be weak: ill illness various to bring it/s/he to/with it/s/he the/this/who then one each it/s/he the/this/who hand (to put/lay on to serve/heal *N+kO) it/s/he
41 Pepo waliwatoka watu wengi, wakapiga kelele wakisema: “Wewe u Mwana wa Mungu!” Lakini Yesu akawakemea, wala hakuwaruhusu kusema, maana walimfahamu kwamba yeye ndiye Kristo.
to go out then and demon away from much (to shout *N+kO) and to say that/since: that you to be (the/this/who Christ *K) the/this/who son the/this/who God and to rebuke no to allow it/s/he to speak that/since: since to perceive: know the/this/who Christ it/s/he to exist
42 Kesho yake asubuhi Yesu aliondoka akaenda mahali pa faragha. Watu wakawa wanamtafuta, na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia ili asiondoke kwao.
to be then day to go out to travel toward deserted place and the/this/who crowd (to seek after *N+kO) it/s/he and to come/go until it/s/he and to hold back/fast it/s/he the/this/who not to travel away from it/s/he
43 Lakini yeye akawaambia, “Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo.”
the/this/who then to say to/with it/s/he that/since: that and the/this/who other city to speak good news me be necessary the/this/who kingdom the/this/who God that/since: since (upon/to/against *N+kO) this/he/she/it (to send *N+kO)
44 Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.
and to be to preach (toward the/this/who synagogue *N+kO) the/this/who (Judea *N+KO)

< Luka 4 >