< Luka 24 >

1 Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.
atha saptaahaprathamadine. atipratyuu. se taa yo. sita. h sampaadita. m sugandhidravya. m g. rhiitvaa tadanyaabhi. h kiyatiibhi. h striibhi. h saha "sma"saana. m yayu. h|
2 Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi.
kintu "sma"saanadvaaraat paa. saa. namapasaarita. m d. r.s. tvaa
3 Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu.
taa. h pravi"sya prabho rdehamapraapya
4 Walipokuwa bado wanashangaa juu ya jambo hilo, mara watu wawili waliovaa mavazi yenye kung'aa sana, wakasimama karibu nao.
vyaakulaa bhavanti etarhi tejomayavastraanvitau dvau puru. sau taasaa. m samiipe samupasthitau
5 Hao wanawake wakaingiwa na hofu, wakainama chini. Ndipo wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai kati ya wafu?
tasmaattaa. h "sa"nkaayuktaa bhuumaavadhomukhyasyasthu. h| tadaa tau taa uucatu rm. rtaanaa. m madhye jiivanta. m kuto m. rgayatha?
6 Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya:
sotra naasti sa udasthaat|
7 Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka.”
paapinaa. m kare. su samarpitena kru"se hatena ca manu. syaputre. na t. rtiiyadivase "sma"saanaadutthaatavyam iti kathaa. m sa galiili ti. s.than yu. smabhya. m kathitavaan taa. m smarata|
8 Hapo wanawake wakayakumbuka maneno yake,
tadaa tasya saa kathaa taasaa. m mana. hsu jaataa|
9 wakarudi kutoka kaburini, wakawapa mitume wale kumi na mmoja na wengine habari za mambo hayo yote.
anantara. m "sma"saanaad gatvaa taa ekaada"sa"si. syaadibhya. h sarvvebhyastaa. m vaarttaa. m kathayaamaasu. h|
10 Hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: Maria Magdalene, Yoana na Maria mama wa Yakobo, pamoja na wanawake wengine walioandamana nao.
magdaliiniimariyam, yohanaa, yaakuubo maataa mariyam tadanyaa. h sa"nginyo yo. sita"sca preritebhya etaa. h sarvvaa vaarttaa. h kathayaamaasu. h
11 Mitume waliyachukua maneno hayo kama yasiyo na msingi, hivyo hawakuamini.
kintu taasaa. m kathaam anarthakaakhyaanamaatra. m buddhvaa kopi na pratyait|
12 Lakini Petro alitoka, akaenda mbio hadi kaburini. Alipoinama kuchungulia ndani, akaiona tu ile sanda. Akarudi nyumbani huku akiwa anashangaa juu ya hayo yaliyotokea.
tadaa pitara utthaaya "sma"saanaantika. m dadhaava, tatra ca prahvo bhuutvaa paar"svaikasthaapita. m kevala. m vastra. m dadar"sa; tasmaadaa"scaryya. m manyamaano yadagha. tata tanmanasi vicaarayan pratasthe|
13 Siku hiyohiyo, wawili kati ya wafuasi wake Yesu wakawa wanakwenda katika kijiji kimoja kiitwacho Emau, umbali wa kilomita kumi na moja kutoka Yerusalemu.
tasminneva dine dvau "siyyau yiruu"saalama"scatu. skro"saantaritam immaayugraama. m gacchantau
14 Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.
taasaa. m gha. tanaanaa. m kathaamakathayataa. m
15 Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao.
tayoraalaapavicaarayo. h kaale yii"suraagatya taabhyaa. m saha jagaama
16 Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.
kintu yathaa tau ta. m na paricinutastadartha. m tayo rd. r.s. ti. h sa. mruddhaa|
17 Akawauliza, “Mnazungumza nini huku mnatembea?” Nao wakasimama kimya, nyuso zao wamezikunja kwa huzuni.
sa tau p. r.s. tavaan yuvaa. m vi. sa. n.nau ki. m vicaarayantau gacchatha. h?
18 Mmoja, aitwaye Kleopa, akamjibu, “Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?”
tatastayo. h kliyapaanaamaa pratyuvaaca yiruu"saalamapure. adhunaa yaanyagha. tanta tva. m kevalavide"sii ki. m tadv. rttaanta. m na jaanaasi?
19 Naye akawajibu, “Mambo gani?” Wao wakamjibu, “Mambo yaliyompata Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu wote.
sa papraccha kaa gha. tanaa. h? tadaa tau vaktumaarebhaate yii"sunaamaa yo naasaratiiyo bhavi. syadvaadii ii"svarasya maanu. saa. naa nca saak. saat vaakye karmma. ni ca "saktimaanaasiit
20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
tam asmaaka. m pradhaanayaajakaa vicaarakaa"sca kenaapi prakaare. na kru"se viddhvaa tasya praa. naananaa"sayan tadiiyaa gha. tanaa. h;
21 Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotendeka.
kintu ya israayeliiyalokaan uddhaarayi. syati sa evaayam ityaa"saasmaabhi. h k. rtaa|tadyathaa tathaastu tasyaa gha. tanaayaa adya dinatraya. m gata. m|
22 Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
adhikantvasmaaka. m sa"nginiinaa. m kiyatstrii. naa. m mukhebhyo. asambhavavaakyamida. m "sruta. m;
23 wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.
taa. h pratyuu. se "sma"saana. m gatvaa tatra tasya deham apraapya vyaaghu. tyetvaa proktavatya. h svargiisaduutau d. r.s. taavasmaabhistau caavaadi. s.taa. m sa jiivitavaan|
24 Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona.”
tatosmaaka. m kai"scit "sma"saanamagamyata te. api strii. naa. m vaakyaanuruupa. m d. r.s. tavanta. h kintu ta. m naapa"syan|
25 Kisha Yesu akawaambia, “Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii?
tadaa sa taavuvaaca, he abodhau he bhavi. syadvaadibhiruktavaakya. m pratyetu. m vilambamaanau;
26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?”
etatsarvvadu. hkha. m bhuktvaa svabhuutipraapti. h ki. m khrii. s.tasya na nyaayyaa?
27 Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote.
tata. h sa muusaagranthamaarabhya sarvvabhavi. syadvaadinaa. m sarvva"saastre svasmin likhitaakhyaanaabhipraaya. m bodhayaamaasa|
28 Walipokikaribia kile kijiji walikokuwa wanakwenda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;
atha gamyagraamaabhyar. na. m praapya tenaagre gamanalak. sa. ne dar"site
29 lakini wao wakamsihi wakisema, “Kaa pamoja nasi, maana kunakuchwa, na usiku unakaribia.” Basi, akaingia kijijini, akakaa pamoja nao.
tau saadhayitvaavadataa. m sahaavaabhyaa. m ti. s.tha dine gate sati raatrirabhuut; tata. h sa taabhyaa. m saarddha. m sthaatu. m g. rha. m yayau|
30 Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
pa"scaadbhojanopave"sakaale sa puupa. m g. rhiitvaa ii"svaragu. naan jagaada ta nca bha. mktvaa taabhyaa. m dadau|
31 Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
tadaa tayo rd. r.s. tau prasannaayaa. m ta. m pratyabhij natu. h kintu sa tayo. h saak. saadantardadhe|
32 Basi, wakaambiana, “Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?”
tatastau mithobhidhaatum aarabdhavantau gamanakaale yadaa kathaamakathayat "saastraartha ncabodhayat tadaavayo rbuddhi. h ki. m na praajvalat?
33 Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemu: wakawakuta wale mitume kumi na mmoja na wale wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
tau tatk. sa. naadutthaaya yiruu"saalamapura. m pratyaayayatu. h, tatsthaane "si. syaa. naam ekaada"saanaa. m sa"nginaa nca dar"sana. m jaata. m|
34 wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”
te procu. h prabhurudati. s.thad iti satya. m "simone dar"sanamadaacca|
35 Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
tata. h patha. h sarvvagha. tanaayaa. h puupabha njanena tatparicayasya ca sarvvav. rttaanta. m tau vaktumaarebhaate|
36 Wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani kwenu.”
ittha. m te paraspara. m vadanti tatkaale yii"su. h svaya. m te. saa. m madhya protthaya yu. smaaka. m kalyaa. na. m bhuuyaad ityuvaaca,
37 Wakashtuka na kushikwa na hofu wakidhani wameona mzimu.
kintu bhuuta. m pa"syaama ityanumaaya te samudvivijire tre. su"sca|
38 Lakini yeye akawaambia, “Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
sa uvaaca, kuto du. hkhitaa bhavatha? yu. smaaka. m mana. hsu sandeha udeti ca kuta. h?
39 Angalieni mikono na miguu yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana mzimu hauna mwili na mifupa kama mnionavyo.”
e. soha. m, mama karau pa"syata vara. m sp. r.s. tvaa pa"syata, mama yaad. r"saani pa"syatha taad. r"saani bhuutasya maa. msaasthiini na santi|
40 Baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono na miguu.
ityuktvaa sa hastapaadaan dar"sayaamaasa|
41 Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, “Mnacho chakula chochote hapa?”
te. asambhava. m j naatvaa saanandaa na pratyayan| tata. h sa taan papraccha, atra yu. smaaka. m samiipe khaadya. m ki ncidasti?
42 Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.
tataste kiyaddagdhamatsya. m madhu ca dadu. h
43 Akakichukua, akala, wote wakimwona.
sa tadaadaaya te. saa. m saak. saad bubhuje
44 Halafu akawaambia, “Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi.”
kathayaamaasa ca muusaavyavasthaayaa. m bhavi. syadvaadinaa. m granthe. su giitapustake ca mayi yaani sarvvaa. ni vacanaani likhitaani tadanuruupaa. ni gha. ti. syante yu. smaabhi. h saarddha. m sthitvaaha. m yadetadvaakyam avada. m tadidaanii. m pratyak. samabhuut|
45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
atha tebhya. h "saastrabodhaadhikaara. m datvaavadat,
46 Akawaambia, “Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka wafu,
khrii. s.tenettha. m m. rtiyaatanaa bhoktavyaa t. rtiiyadine ca "sma"saanaadutthaatavya nceti lipirasti;
47 na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia na Yerusalemu yahubiriwe juu ya kutubu na kusamehewa dhambi.
tannaamnaa yiruu"saalamamaarabhya sarvvade"se mana. hparaavarttanasya paapamocanasya ca susa. mvaada. h pracaarayitavya. h,
48 Ninyi ni mashahidi wa mambo hayo.
e. su sarvve. su yuuya. m saak. si. na. h|
49 Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu.”
apara nca pa"syata pitraa yat pratij naata. m tat pre. sayi. syaami, ataeva yaavatkaala. m yuuya. m svargiiyaa. m "sakti. m na praapsyatha taavatkaala. m yiruu"saalamnagare ti. s.thata|
50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
atha sa taan baithaniiyaaparyyanta. m niitvaa hastaavuttolya aa"si. sa vaktumaarebhe
51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
aa"si. sa. m vadanneva ca tebhya. h p. rthag bhuutvaa svargaaya niito. abhavat|
52 Wao wakamwabudu, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:
tadaa te ta. m bhajamaanaa mahaanandena yiruu"saalama. m pratyaajagmu. h|
53 wakakaa muda wote Hekaluni wakimsifu Mungu.
tato nirantara. m mandire ti. s.thanta ii"svarasya pra"sa. msaa. m dhanyavaada nca karttam aarebhire| iti||

< Luka 24 >