< Luka 21 >

1 Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,
Pogledavši pak gore vidje bogate gdje meæu priloge svoje u haznu Božiju;
2 akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.
A vidje i jednu siromašnu udovicu koja metaše ondje dvije lepte;
3 Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.
I reèe: zaista vam kažem: ova siromašna udovica metnu više od sviju:
4 Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi.”
Jer svi ovi metnuše u prilog Bogu od suviška svojega, a ona od sirotinje svoje metnu svu hranu svoju što imaše.
5 Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema,
I kad neki govorahu za crkvu da je ukrašena lijepijem kamenjem i zakladima, reèe:
6 “Haya yote mnayoyaona—zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.”
Doæi æe dani u koje od svega što vidite neæe ostati ni kamen na kamenu koji se neæe razmetnuti.
7 Basi, wakamwuliza, “Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?”
Zapitaše ga pak govoreæi: uèitelju! a kad æe to biti? i kakav je znak kad æe se to dogoditi?
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate!
A on reèe: èuvajte se da vas ne prevare, jer æe mnogi doæi na ime moje govoreæi: ja sam, i vrijeme se približi. Ne idite dakle za njima.
9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.”
A kad èujete ratove i bune, ne plašite se; jer to sve treba najprije da bude; ali još nije tada pošljedak.
10 Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Tada im reèe: ustaæe narod na narod i carstvo na carstvo;
11 Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
I zemlja æe se tresti vrlo po svijetu, i biæe gladi i pomori i strahote i veliki znaci biæe na nebu.
12 Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.
A prije svega ovoga metnuæe na vas ruke svoje i goniæe vas i predavati u zbornice i u tamnice; vodiæe vas pred careve i kraljeve imena mojega radi.
13 Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.
A to æe vam se dogoditi za svjedoèanstvo.
14 Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,
Metnite dakle u srca svoja, da se prije ne pripravljate kako æete odgovarati:
15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
Jer æu vam ja dati usta i premudrost kojoj se neæe moæi protiviti ni odgovoriti svi vaši protivnici.
16 Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa.
A predavaæe vas i roditelji i braæa i roðaci i prijatelji; i pobiæe neke od vas.
17 Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu.
I svi æe omrznuti na vas imena mojega radi.
18 Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.
I dlaka s glave vaše neæe poginuti.
19 Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
Trpljenjem svojijem spasavajte duše svoje.
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.
A kad vidite da Jerusalim opkoli vojska onda znajte da se približilo vrijeme da opusti.
21 Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini.
Tada koji budu u Judeji neka bježe u gore, i koji budu u gradu neka izlaze napolje; i koji su napolju neka ne ulaze u njega:
22 Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.
Jer su ovo dani osvete, da se izvrši sve što je napisano.
23 Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa.
Ali teško trudnima i dojilicama u te dane! Jer æe biti velika nevolja na zemlji, i gnjev na ovom narodu.
24 Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
I pašæe od oštrica maèa, i odvešæe se u ropstvo po svijem narodima; i Jerusalim æe gaziti neznabošci dok se ne izvrše vremena neznabožaca.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari.
I biæe znaci u suncu i u mjesecu i u zvijezdama; i ljudima na zemlji tuga od smetnje i od huke morske i valova.
26 Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Ljudi æe umirati od straha i od èekanja onoga što ide na zemlju; jer æe se i sile nebeske pokrenuti.
27 Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
I tada æe ugledati sina èovjeèijega gdje ide na oblacima sa silom i slavom velikom.
28 Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia.”
A kad se poène ovo zbivati, gledajte i podignite glave svoje; jer se približuje izbavljenje vaše.
29 Kisha akawaambia mfano: “Angalieni mtini na miti mingine yote.
I kaza im prièu: gledajte na smokvu i na sva drveta;
30 Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
Kad vidite da veæ potjeraju, sami znate da je blizu ljeto.
31 Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Tako i vi kad vidite ovo da se zbiva, znajte da je blizu carstvo Božije.
32 Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
Zaista vam kažem da ovaj naraštaj neæe proæi dok se ovo sve ne zbude.
33 Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita.
Nebo i zemlja proæi æe, a rijeèi moje neæe proæi.
34 “Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.
Ali se èuvajte da kako vaša srca ne otežaju žderanjem i pijanstvom i brigama ovoga svijeta, i da vam ovaj dan ne doðe iznenada.
35 Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote.
Jer æe doæi kao zamka na sve koji žive po svoj zemlji.
36 Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu.”
Stražite dakle jednako i molite se Bogu da biste se udostojili uteæi od svega ovoga što æe se zbiti, i stati pred sinom èovjeèijim.
37 Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko.
I danju uèaše u crkvi, a noæu izlažaše i noæivaše na gori koja se zove Maslinska.
38 Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza.
I sav narod dolažaše izjutra k njemu u crkvu da ga slušaju.

< Luka 21 >