< Luka 21 >

1 Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,
A KOTIN aupwil sili ap masani, me kapwapwa kan kasedi ong ar mairong nan deun mairong.
2 akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.
A pil kotin masani, me li odi samama men kasedi ong lepta riau.
3 Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.
A kotin masani: Melel I indai ong komail, li odi samama men et kasedi ong laude sang irail karos.
4 Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi.”
Pwe mepukat karos kasedi ong mairong en Kot sang ni ar pai, a li men et kasedi sang ni a samama, a dipisou karos, me a naineki.
5 Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema,
Akai lao kasokasoiadar duen im en kaudok, me kapwata kida takai kasampwal akan o kapwa en mairong kai, ap kotin masani:
6 “Haya yote mnayoyaona—zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.”
Ran oko kokodo, karos, me komail ududial, pan karangk pasang, sota eu takai pan mi pon eu.
7 Basi, wakamwuliza, “Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?”
Irail kalelapok re a potoan ong: Saunpadak iad mepukat pan pwaida? O da pan kilel en mepukat pan wiaui?
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate!
A kotin masani: Komail kalaka, pwe meamen de kotaue komail! Pwe me toto pan kodo ni ad ai o pan inda: Ngai i o ansau korendor! A komail der idauen ir ala.
9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.”
A komail lao rong duen mauin o muei sued, ender masak, pwe mepukat pan wiaui mas, a saikenta imwi.
10 Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
A kotin masani ong irail: Toun sap eu pan u ong eu sap, o wei eu pan u ong eu wei.
11 Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
O rerer laud en sap akan pan wiaui, o lek, o song en somau pan pwaida, o pil sansal kamasapwek kai, o kilel lapalap akan pan pwarada sang nanlang.
12 Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.
A mon mepukat re pan saik komail edi, o kame komail, o panga komail la nan sinakoke kan o imateng pwen kalualang ren nanmarki o saumas akan pweki ad ai.
13 Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.
A mepukat pan wiaui ong komail, pwen kadede kin ia.
14 Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,
Komail ari inauki ong pein komail nan mongiong omail, me komail sota pan patauki, me komail pan sapengki.
15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
Pwe ngai me pan kalokaia komail, o kalolekongla, pwe me kailong kin komail, en sota kak kalikama, o so palian.
16 Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa.
A sam o in omail, o ri ol akan, o sau omail, o kompokepa kan pan panga komail la, o akai komail me re pan kamela.
17 Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu.
O aramas karos pan kailong kin komail pweki ad ai.
18 Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.
A sota pit en mong omail pit pan lokidokila.
19 Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
Dore kila kanongama maur omail:
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.
A komail lao udial, me saunpei kan kapili pena Ierusalem, komail ap asaki, me a ola korendor.
21 Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini.
A me mimi Iudäa, ni ansau o, en tangdala nan nana; o me mi nan warong a, en pitila sang; o me mimi nan sap, ender purelang i.
22 Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.
Pwe i ansaun depuk, pwe karos, me intingidier, en pwaida.
23 Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa.
Suedi ong me lisean o me kadidi seri ni ran oko! Pwe kalokolok pan lapalapia nan sap et o ongiong ong aramas pukat.
24 Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
O re pan kame kila kodlas, o salilang wei karos, o Ierusalem pan tiak pasang ren men liki kan, lao ansau en men liki kan, pan lel.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari.
O kilel akan pan wiaui ni katipin, o saunipong, o usu kan, o aramas nan sappa pan masak o pan pingidar, o madau o iluk kan pan angiang ngil laudeda;
26 Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
O aramas akan pan okila ar masak o auiaui me pan wiaui nan sappa; pwe kel en lang akan pan mokideda.
27 Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
Irail ap pan kilangada Nain aramas a kodido ni dapok ki roson o lingan kaualap.
28 Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia.”
Mepukat lao pikikidi wiaui, komail ap sarada o kasinenda, pwe a leler omail kamaioda.
29 Kisha akawaambia mfano: “Angalieni mtini na miti mingine yote.
A kotin masani karaseras eu ong irail: Kilang tuka pik o tuka karos!
30 Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
Ni omail kilang me irail wiliada, komail kin asaki, me rak o me korendor.
31 Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Iduen komail, komail lao kilang mepukat lao wiaui, komail asaki, me wein Kot korendor.
32 Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
Melel I indai ong komail, di wet sota pan imwila mon mepukat karos pan pwaida.
33 Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita.
Lan o sappa pan sorela, a ai masan akan sota pan poula.
34 “Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.
Komail ari kalaka pein komail, pwe mongiong omail de toutouki kaped en manga, o kamom sakau, o ngongongki maur et, o ran o ap madang lel dong komail.
35 Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote.
Pwe likamata insar eu, a pan ko dong karos, me kin kakauson sappa.
36 Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu.”
Komail ari masamasan o poden kapakap, pwe komail en war ong en piti sang mepukat karos, me pan wiaui, o en pat ong Nain aramas.
37 Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko.
Ni ran o a kotin kaukawewe nan im en kaudok o, a ni pong a kotieila kotikot pon dol o me adaneki Oliwe.
38 Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza.
O aramas karos sangkonai pokon dong i nan im en kaudok o, pwen rong i.

< Luka 21 >