< Luka 21 >

1 Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,
U Yesu akagoza akaaona itunja niagole akazeika masongeelyo ao mukiuto.
2 akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.
Akamuona musungu ung'wi mushilwa akazeki mkumba akaziika mpia ibiili.
3 Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.
Kululo akalunga, “Tai numuie, umushilwa uyu nikinkumba uikile idu kukila ihi nazaaikile.
4 Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi.”
Awa ihi apumilye imasongeelye kunsoko aiatite maintu idu, ingi umushilwa uyu aupumilye impia yihi kunsoko zizo autite.”
5 Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema,
Niang'wi akazilunga itekeelo, nailinoneigwe na magwe nimaza nimasongeelyo aantu akalunga,
6 “Haya yote mnayoyaona—zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.”
“Kua nkani izi, aya nimukamaona, mahiku azile, nikutile igwe ata nilig'wi nilizizalekwa migulya nigwe ningiza nishalizizakumulwa. “
7 Basi, wakamwuliza, “Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?”
Kululo ikamukolya, ikalunga, “Mumanyisi inkani izi izi eapumila nali? Hangi kilingasiilyo ki ni ka nkani nikikoli pakupe kupumila?”
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate!
U Yesu akasusha, “Mutule miho muleke kukongwa, kunsoko idu akupembya kukiila lina lane aze lunga ingi nene ni matungo ahugeela” Muleke kuatyata.
9 Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.”
Anga mija uulugu nuwilei muleke kugopa, kunsoko inkani izi mpaka ipumile hanza, ingi impelo izizeikili kupumila.”
10 Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Sunga akaaila, “Ihi ikuuka kikua nihi nzuya, nutemi kua utemi.
11 Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
Izitula ni matetemeko makulu, ni nzala ni ndwala niampuku muisali, izitula ninkani yakogopa, niilingasiilyo niakogopa kupuma kilunde.
12 Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.
Ingi gwa ntongeela ankani izi yihi, akuikila imikono ao migulya anyu nukumaja, kumutwala mumatekeelo nu muitungo, kumuleta kuntongeela a temi nawa niatite uhumi kunsoko a lina lane.
13 Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.
Ili likuluguilwa lyoma nila wihengi wanyu.
14 Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,
Kululo lamuli munkolo yanyu muleka kutula nimasigo.
15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
Kunsoko kumupa inkani muhugu, nialugu anyu ihi nishaakuhuma kumigilya nukumihita.
16 Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa.
Ingi gwa muzizahitwa nia leki anyu, anyandugu anyu, antu akitaitu, ahumba eitu, hangi niang'wi azi bulagwa.
17 Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu.
Mukuhukilwa nu kila umuntu kunsoko alina lane.
18 Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.
Kululo gwa ingi kutili ata isingi niliing'wi nuitwe lanyu nukuzizalimila.
19 Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
Kua ugimya wanyu mukuiguna inkolo yanyu.
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.
Anga maona i Yerusalemu apiling'wa nia homi, ingi gwa lingi kina ugazanji wake wahugeela.
21 Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini.
Pang'wanso ao niakoli ku Yudea amankiile mumalugulu, nao niakoli pakati akisali ahege, hangi aleke kualeka ao niakoli muisali kingila.
22 Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.
Nsoko aya mahiku akulipisha, kina inkani yihi naiyandikilwe ihuma kukondaniila.
23 Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa.
Isatiko lao ao niakite inda nao niakonsha mumahiku nanso! Kunsoko izetula nu lwago luhiku mihi, nikililo kuantu awa.
24 Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
Hangi akugwa kua nsonge nia panga, hangi akuholwa usese ku ihi ihi, ni Yerusalemu ikupambatwa niantu nishaahuie, sunga imatungo na aantu nishaahuie nizikondanila.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari.
Izezeikoli ilingasiilyo mu lyoa, ng'weli ni nzota. Numihi izeze lukoli lwago mahi, azihita kulongola kunsoko amulilo nualuzi ni maingo.
26 Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Antu azitula gwa kiteta kunsoko akagopa makani ayo nazilepumila mihi, nsoko ingulu yilunde ize hingisigwa.
27 Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
Sunga azemuona ung'wana wang'wa Adamu azuzile mumalunde ni ngulu nuukulu nuakigulu.
28 Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia.”
Ingi imakani aya anga andya kupumila, imiki, humbuli imatwe anyu, kunsoko uguniki wanyu wahugeela pakupe.”
29 Kisha akawaambia mfano: “Angalieni mtini na miti mingine yote.
U Yesu akaaila kua mpyani, “Ugozi umuti, ni mite ihi.
30 Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
Iga andye kutegeta, miona unyenye nukulinga kina kipasu kikoli pakupe.
31 Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Ingi uu anga maona inkani izi yakapumila nunye lingi kina utemi wa kigulu wahugula.
32 Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
Tai, numuie, uwileli uwu shaukukila, sunga inkani izi yihi nizizapumila.
33 Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita.
Unkumbigulu ni ukukila, ingi inkani yane shaikukila lukulu.
34 “Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.
Kululo igozi unyenye, inkolo yanyu izeileke kulemeligwa nuubi ugala magai, nulwago nula mihi kunsoko uluhiku nulanso luzizilumbane kuza.
35 Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote.
Uzetula anga umuntego, kua kita umuntu nuikie mihi ihi.
36 Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu.”
Ingi mihambe kumatungo ihi, mulompe kutula mikomu kukonda kumatyaga aya ihi nazepumila, nukimika kuntongeela a ng'wana wang'wa Adamu.”
37 Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko.
Kululo matungo ang'ung'wi akapuma kunzi, akenda kulompa mlugulu nulitangwa Mizeituni.
38 Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza.
Antu ihi ikamuhanga ikidaudau ikamutegeelya akazukoli mitekeelo.

< Luka 21 >