< Luka 15 >

1 Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
Bai batoza ushuru boti ni benge bene sambi baichile kwa Yesu ni kumpekania.
2 Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”
Mafarisayo ni baandishi batinung'unika kababaya, mundu yoo hubakaribisha bene sambi ni lya nabo.”
3 Yesu akawajibu kwa mfano:
Yesu kabaya mfano wono kwabe, kabaya,
4 “Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
“Nyai kwinu, kati abi ni ngondolo mia jimo ni mei teo anobite yumo kati yabo, apala kuwaleka balo tisini na tisa mupongote, ni ayende kumpala yolo ywanobite mpaka kumbona?
5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.
Ni ywewmbe maite mpatike umbeka mulipamba lyake ni pulaika.
6 Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea.
Paika kunyumba, ubakema mbwiga kwa yango ni jirani yake nakuwabakiya mupurahi pamope ni nee, kwa kuwa nimpatike ngondolo ywango ywaobite.'
7 Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
Nindakuwabakia nyonyonyo kupabaa ni puraha kumaunde kwaajili ya mwene sambi yumo yatubu, zaidi ya bene haki tisini na tisa babile ntopo hoha ya tubu.
8 “Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.
Au kuna nnwawa gani ywabile ni sarafu komi za mbanje, payaobite ni sarafu jimo, hapa washa taa ni pyaya nyumba ni kuipala kwa bidii hadi kuipata?
9 Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
Ni paibona hubakema mbwiga kwaa yake majirani bake kuwabakia mpurahi pamope ni nee, kwa kuwa niipatike sarafu yango yaniobite.
10 Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.”
Hata nyoo nindakuwabakiya ibile puraha nnonge ya malaika wa Nnongo kwaajili ya mwene sambi yumo tubu.”
11 Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
Ni Yesu atibaya, “mundu yumo abile ni bana abele
12 Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake.
Yolo nchunu atikum'bakiya tate bake, tate unipei sehemu ya mali yango yoti kuirithi. Nga atibagana mali yake kati yabo.
13 Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.
Machoba ganambone kwaa yolo nchunu atokusanya vyoti anavyomiliki naboka kilambo cha mbale, na kwoo atitapanya mbanje yake, kwa pema ilebe yaipalite kwaa, na tapanya mbanje yake kwa anasa,
14 Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.
Naye pabweni ayomwile tumiya yoti njala kolo itiyingya pakilambo chelo nayembe atumbwile panga abi na uhitaji.
15 Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
Atiyenda ni kuajiri mwene kwa yumo wa raia wa kilambo chelo, ni yembe atikumpeleka kumng'unda wake lisha magobe.
16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.
Ni atitamani kuishibisha kwa maakapi yabalile kwa sababu ntopo mundu ywampei kilebe chochoti cha lya.
17 Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
Ila yolo mwana nchunu patambwile mwoyoni mwake, abaite ni atumishi alenga wa tate bango bana chakulya chanambone cha tosha ni nenga nibile pano, ni waa na njala!
18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia.
Nipala boka ni yenda kwa tate bango, ni umbakiya, “Tate nikosite kunani ya maunde ni nnongi ya minyo gako.
19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
Nistahilli kwaa kemelwa mwana wako kae, unipange kati yumo wa atumwa bako.”
20 Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
Ndipo atiboka ni yenda kwa tate bake, pabile angaliu palipite napatate bake amweni akiya ayei lubela ni kumkumbatiya ni kumnoniya. Yolo mwana atikum'bakiya,
21 “Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.
“Tate nikosite kunani ya maunde ni nnonge ya minyo gako nistaili kwaa kemelwa mwana wako.'
22 Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!
Yolo tate atikuwabakiya atumishi bake,'mulileti upesi nganju ya ibile bora, mukamuwalike mujei ni pete mu'ingonji ni ilatu mumagolo.
23 Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!
Boka po munileti ndama yolo yanonite nakumchinja uliye ni kupurai.
24 Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe.
Kwa kuwa mwana wango atiwaa naywembe abi hai. Ati oba nakwe atibonekana batumbwile shangilia.
25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.
Bai yolo mwana wake mpendo abile kumngunda. Pabayowine ni karibia kunyumba ayowine malobe ya nyambo ni ng'anda.
26 Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
Amkemite mtumishi yumo nakumlokiya makowe gano maana yake namani”
27 Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
Mtumishi akam'bakiya mnunako haichile ni tate bako atikumchinjia ndama yanenipe kwasababu atibuya salama,'
28 Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Mwana mpendo atikasirika akani jingiya nkati ni tate bake apitike panja kumpembeya.
29 Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu!
Ila atikuyangwa tate bake baya, “lola nenga nitikutumikiya miaka yanambone, wala nikosite kwaa amri yako, lakini unipei kwaa mwana mbui lenga niweche sherekea ni rafiki zango.
30 Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.
Lakini paichile yono mwana wako watapakinye mali yako yoti pamope ni makahaba atikunchinjia ndama yanenipe.
31 Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.
Tate akabakiya,'mwana wango, wenga u pamope ni nenga kila machoba goti ni vyoti yanibile vyo vyako wenga.
32 Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.”
Ila yapangite vyema kwitu kumpangiya sherehe ni purai, yono mbwiga wako atiwaa, nanambeambe abi nkoti, ni atioba ni ywembe apatikine.”

< Luka 15 >