< Luka 15 >

1 Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
Linu vatelisi vonse ni vamwi vaezalivi vavakezite kwa Jesu kukuteka kwali.
2 Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”
vonse vafalisi ni vañoli vava kuñuñu, nivati, “Uzu mukwame u tambula vaezalivi, mi mane ulya navo.”
3 Yesu akawajibu kwa mfano:
Jesus avawambi iyi inguli kuvali, nati,
4 “Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
“Njeni kwenu, haiva wina imberere zina makumi ekumi imi yonke izova, kete usiye imberere zina makumi akwana iyanza ni makumi one kuvika zikwana iyanza ni zone mwinkanda, nikwichilila ya zova haisi hokayiwana?
5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.
Linu cwale hayiwana, u yi kulika hamaheta ni kusanga.
6 Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea.
Hakeza kwi nzuvo, usumpa valikani ni niva vambane nivo, nati kuvali, musange nime, nakawana imberere se izovete.'
7 Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
Niwamba kwenu nihakuva vulyo, mukuve nikusanga mwi ulu nihaiva muezalivi yenke halitekula, kuhita vantu vena makumi akwana iyanza ni one kuvika vakwana iyanza ni vone vasiyeme vasa lili kulitekula.
8 “Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.
Kapa zuna mwanakazi yavena muwayawaya we silivela i kwana ikumi, kuti azovelwe hateni yonke, kete a munike i lambi, kufiyela inzuvo, kungana kavutali kutwala chawana muwayawaya.
9 Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
Mi linu hauwana, u sumpa balikani ni vekala he mbali yakwe, nati, musange name, nawana muwayawaya wangu se uzovete.
10 Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.”
nihakuba vulyo, niwamba kwenu, kwina kusanga mukuva kwa mangeloi e Reeza muezalivi yenke ha litekula.
11 Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
Linu Jesu chati, mukwame zumwi avena vanaswisu vovele,
12 Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake.
mi wachinini cha wambila isi, 'Ita, munihe chanda cha chifumu chiwila kwangu,' chava kauhanyeza zibya zakwe.
13 Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.
Kena kuvahiti mazuba mangi, wachinini cha kunganya zibya zakwe zonse hamwina zavayoli ni kuya kwinkanda imwi kule, mi uko avaka sinyi mashelinyi akwe, cha kaula zintu zisena itunso, avashinyi mashelenyi akwe muzintu zenkanda.
14 Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.
Linu hanu hashinya zintu zonse, inzala ikando ibatasezi inkanda yonse, mi chava ni ntakazo.
15 Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
Cha yenda ni ku kaseveza ku zumwi yava kuhala mweyo inkanda, yava mutumi kuluwa ku kaha ziguluve zilyo.
16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.
Mi navatavi kukalya zilyo ziva kuliwa ziguluve kakuti kakwina yava kumuha zilyo.
17 Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
Kono mwan'a swisu wa munini ha ka volelwa ingana, cha wamba, vongayi kuvahikana vaseveza kuva ndanda vena zilyo zingi luli, mi nina kunu, nini fwa inzala!
18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia.
Munizwe kunu mi ni yende kuva ndanda, mi mu ni kawambe kuvali, “Ita, ni bafosekezi iwulu, ni mu menso enu.
19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
Kaniswaneli kusumpwa kuti ni mwanenu, mu ni pange feela nibe ni muhikana wenu.
20 Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
Cwale mwan'a swisu wamu nini cha katuka, ni kukeza mubusu bwe isi, ha ba kusina kule, isi cha mu vona, mi chali zuwa masisi, mi cha mutilila ni ku mutula manza ni ku muchunchuna.
21 “Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.
mwan'a swisu chati kwali, Ita, ni vafosekezi muvuso weulu ni ha menso enu. Ka ni swaneli kuti ni sumpwe kuti ni mwana nenu.
22 Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!
Isi chati kuva hikana vakwe, 'Mulete kapilipili inguvo indende indotu, mu mu zwatike, mi mu mu zwatike iseka kumunwe, mu mu zwatike ni nsangu kuma tende.
23 Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!
Linu mulete inamani inunite twi ihaye. Tu lye mukiti!
24 Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe.
Kakuti mwanangu wa mususwi ava fwile. mi hanu u hala, ava zovete, hanu cha wanika. mi chi va sangwa.
25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.
Linu mwana swisu wa mu kulwana avena kuluwa, ha sika hafuhi ni munzi, ava zuwi inzimbo nikuzana,
26 Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
Cha sumpa zumwi wa va hikana ni ku muvuza kuti izi zintu zi wola kuva chinzi.
27 Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
Muhikana cha mu wambila, mwancako weza mi veso vamwi haila inkomwana inunite, kakuti wa kavola na liketete.
28 Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Mwan'a swisu wa mukulwana ava vengi, mi kana avayendi mukati, mi vesi va vakezi hanze, ni kwiza ku ku mu kombelela,
29 Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu!
Kona che tava isi chati, vone, zonse izi zilimo zi ni va kusevelezi, mi kena ni vacholi mulao wako, mi nahanu kowini ku niha ni haiva kampene kanini kuti nilitavise ni valikani vangu.
30 Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.
Kono mwanako heza, ya vaali chifumu ni vanakazi va mahule, u va mwi hayili inkomwana inunite.
31 Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.
Vesi chiva wamba kwali, 'Mwanangu, wina name inako yonse, mi chonse cheli changu nji chako,
32 Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.”
Kono ni kwava hande kuti tusange ni kutava, kakuti mwancako ava fwile mi hanu chahala; ava zovete, mi hanu cha wanika.

< Luka 15 >