< Luka 15 >

1 Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
YA manjijijot guato guiya güiya, todo y publicano, yan y manisao, para umaecungog güe.
2 Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.”
Ya mangogonggong y Fariseo sija, yan y escriba ilelegñija: Este na taotao, jaresisibeja y manisao, ya mañisijaja mañocho.
3 Yesu akawajibu kwa mfano:
Ya jasangane sija ni este na acomparasion, ilegña:
4 “Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
Jaye na taotao guiya jamyo, y yanguin guaja gaña siento na quinilo, ya ufinalingaeguan ni y uno, ada ti ujanao ya udingo y nobentainuebe gui desierto asta qui jasoda ayo y malingo?
5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.
Ya anae jasoda, jaapagaye ya jamagogofgüe.
6 Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea.
Ya anae mato gui guimaña, jaagange todo y manamiguña, yan y tignangña, ya ilelegña nu sija: Nije tafanmagof, sa jagasja jusoda y gajo quinilo ni y guinin malingo.
7 Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.
Jusangane jamyo, na taegüenaoja locue uguaja gui langet, minagof yanguin un taotao na isao mañotsot, mas qui y nobentainuebe manunas na taotao ni y ti janesesita manmañotsot.
8 “Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate.
Pat, jaye na palaoan, y yanguin uguaja iyoña dies na pidason salape, ya ufinalingaeguan ni y uno; ada ti usonggue y candet ya ubale y jalom guma, ya uguesaligao asta qui usoda?
9 Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
Ya yanguin esta jasoda, jaagange y manamigaña, yan y tiguangña ya mandaña, ya ilelegña: Nije tafanmagof, sa jagasja jusoda y pidason salape ni y guinin malingo.
10 Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.”
Taegüenaoja locue jusangane jamyo, na uguaja minagof gui menan y angjet Yuus, pot y un taotao na isao ni y mañotsot.
11 Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
Ya ilegña: Un taotao guaja dos lajiña:
12 Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake.
Ya y mas patgon, ilegña as tataña: Tata, naeyo ni y patteco gui güinaja ni y para guajo. Ya jafacae para sija ni y güinajaña.
13 Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo.
Ya ti megae na jaane malofan, anae y mas patgon janafandaña todo, ya mapos asta y chago na tano; ya jagasta todo y güinajaña güije gui guipot yan bisio di gula.
14 Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika.
Ya anae jagasta todo esta: mato un dangculon ñinalang güije na tano, ya jatutujon taena.
15 Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
Ya jumanao, ya jatituye gui un taotao güije na tano: ya tinago para y fangualuanña, para unachocho babue sija.
16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.
Ya jatatanga na unabula tiyanña ni y lasas frijoles ni y jacacano y babue sija; ya taya ni un taotao numanaegüe.
17 Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
Ya anae numalo y jinasoña, ilegña: Cuanto na jotnaleron tata, mangaena pan, ya manmañoñobblaja, ya guajo güine jumatae ñalang!
18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia.
Bae jucajulo ya jujanao para as tata, ya jualog nu güiya: Tata, umisaoyo contra y langet, yan contra jago,
19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
Ti dignoyo mas na jumafanaan lajimo: naparejoyo yan y jotnalerumo sija.
20 Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
Ya cajulo, ya mapos para as tataña. Lao chagoja trabia, si tataña linie güe, ya ninamaase, ya finalagüe, ya tinegtog, ya chinicogüe.
21 “Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao.
Ya y patgon ilegña as tataña: Tata, umisaoyo contra y langet, yan contra jago; ti dignoyo mas na jumafanaan lajimo.
22 Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu!
Lao y tata ilegña ni y tentagoña sija: Chule y mas mauleg na magago ya umanaminagago; ya umapolo y aniyu gui calolotña, yan y sapatos gui adengña:
23 Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea!
Ya umacone mague un tatnero ni y mas yomog, ya umapuno ya tafañocho ya tafanmagof;
24 Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe.
Sa este y lajijo guinin matae, ya lâlâ talo; guinin malingo, ya masoda. Ya jatutujon sija manmagof.
25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.
Ya y lajiña ni y mas amco estaba gui fangualuan; ya anae guaguato ya esta jijot gui guima, jajungog y dandan yan y manbabaila:
26 Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
Ya jaagang uno gui tentago sija, ya jafaesen jafa ayo sija.
27 Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
Ya ilegña nu güiya: Y chelumo mato; ya si tatamo japuno y tatnero ni y mas yomog, sa jaresibe gae seguro yan sano.
28 Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Ya ninagoslalalo, ya ti malago jumalom: ayonae jumuyong si tataña, ya siniplica na ujalom.
29 Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu!
Ya manope ilegña as tataña: Estagüe, megae na año nae jusesetbe jao, ya taya nae ti jaosgue jafa na tinagomo: lao taya nae unnaeyo un patgon chiba para infanmagof yan y manamigujo sija:
30 Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono.
Lao anae mato este na lajimo ni y jalachae todo y güinajamo gui manputa sija; unpunueja ni y mas yomog na tatnero.
31 Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.
Ya ilegña nu güiya: Lajijo, siempre jumijitaja; ya todo y güinajajo iyomo.
32 Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.”
Lao mauleg para utafanmagof ya utafanalegria: sa este y chelumo guinin matae, ya lâlâ talo; yan guinin malingo, ya esta masoda.

< Luka 15 >